Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

Irish Times - Tanzania Inahatarisha Dunia

Wewe ndo mji.nga wa kupindukia! Unaongea kama Tanzania iko kwenye sayari yake pekee!
Wewe umeshaambiwa Dunia inataka kuondoa CORONA ila Tanzania haichukui hatua zozote ! Hivyo CORONA virus aliyeko Tanzania ataendekea ku- undergo mutation na kuwa threat kwa Dunia nzima!
Tuliwambia elimu ya Tanzania inazalisha watu sawa na misukule ona sasa mlivyo wengi !
Nyie ( Misukule) mna akili kuliko Israel wanaochanja watu wao!
Hutua zipi unataka zichukuliwe ili kuondoa corona?

Huyo Virus aliyeko tz umemjuaje na hatupimi?
 
Wewe ndo mji.nga wa kupindukia! Unaongea kama Tanzania iko kwenye sayari yake pekee!
Wewe umeshaambiwa Dunia inataka kuondoa CORONA ila Tanzania haichukui hatua zozote ! Hivyo CORONA virus aliyeko Tanzania ataendekea ku- undergo mutation na kuwa threat kwa Dunia nzima!
Tuliwambia elimu ya Tanzania inazalisha watu sawa na misukule ona sasa mlivyo wengi !
Nyie ( Misukule) mna akili kuliko Israel wanaochanja watu wao!
Kwa hiyo Israel wakichanjwa na wewe unatakiwa kuchanjwa? Mbona wewe ndio msukule?
 
Kwani covid inauwa watoto, where do you get your statistics
Soma vizuri sana na kwa makini comment yangu nadhani utanielewa tu ni nini namaanisha!

Alafu ugonjwa wowote ule uwe wa maambukizi au wakurithi au utakaokupata wowote ule uwa auchagui wakumuuwa kama ni mtoto au mkubwa au umesahau mwaka jana america wale watoto mapacha wa miezi 7 waliokufa na covid habari kamili nenda kai review @bbcswahili
 
Kwao hao wanaodai wanajua kupambana na corona kisayansi corona imeweka kambi kisawa sawa, s,kulikoni wwedZ^✓ ?
Tanzania tuna mbinu yetu ya kupambana na korona yaani: Mungu kwanza tahadhari baadaye. Wao sayansi inatosha Mungu hahusiki. Tusubiri matokeo baada ya miezi kadhaa jibu litakuwa dhahiri tena Kama lilivyokuwa dhahiri mwaka Jana.
 
Wewe ndo mji.nga wa kupindukia! Unaongea kama Tanzania iko kwenye sayari yake pekee!
Wewe umeshaambiwa Dunia inataka kuondoa CORONA ila Tanzania haichukui hatua zozote ! Hivyo CORONA virus aliyeko Tanzania ataendekea ku- undergo mutation na kuwa threat kwa Dunia nzima!
Tuliwambia elimu ya Tanzania inazalisha watu sawa na misukule ona sasa mlivyo wengi !
Nyie ( Misukule) mna akili kuliko Israel wanaochanja watu wao!
Sijapata kuona mtu bogaz kama wewe hivi tanzania ndio imekuwa ni kikwazo cha dunia kuiondoa corona sindio?🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu jaribu kufikiria kama wanaume tunavyofikiriaga bana sio unafikiria kama wanaodamshi.
 
Kwa hiyo Israel wakichanjwa na wewe unatakiwa kuchanjwa? Mbona wewe ndio msukule?
Naona nabishana na mtu mjinga nisiyemfahamu ! Achana na mimi tafuta wajinga wenzako mnaofanana!
Israel na Tanzania ni Nchi gani ina wanasayansi waliobobea katika nyanja zote!
Chanjo zote mnazopokea hapa Nchini ikiwemo ARV za ukimwi mnazomeza huwa mnazitengeneza ninyi!
Wenye akili wameshaona ANGUKO kuu la Tanzania kiuchumi linakuja kutokana na kuongozwa na watu wasio na Maarifa ila wanajifanya wajuaji wa kila kitu!
 
Sijapata kuona mtu bogaz kama wewe hivi tanzania ndio imekuwa ni kikwazo cha dunia kuiondoa corona sindio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu jaribu kufikiria kama wanaume tunavyofikiriaga bana sio unafikiria kama wanaodamshi.
Wewe endelea kuwalamba miguu hao wazungu ,mwanzoni walisema wanaota maiti za watu weusi zikitapakaa barabarani sasa wameumbuka wanakufa wao kama kuku chanjo za kwao sisi waje watufanyie majaribio kwanini ?narudia tena Tanzania hatuwezi kuwa kikwazo katika mapambano haya maana kila nchi inatafuta njia zake kupambana na covid maana so far mpaka sasa wataalamu hawajatuambia kama dawa imepatikana nyie mnaowaabudu wazungu endeleeni kuwatukuza lakini sisi tunafuata msimamo wa Rais wetu mpendwa Dk John Pombe Joseph Magufuli over
 
Hatua ipi mliyofikia ? kwan mmefanya nin kuzuia corona zaidi ya kuiacha tuu.
Hata ukiona kama limeachwa jua ni hatua nayo maana kama jambo halina manufaa kwako ya faida au hasara yanini udili nalo sasa?😂😂😂😂
 
Naona nabishana na mtu mjinga nisiyemfahamu ! Achana na mimi tafuta wajinga wenzako mnaofanana!
Israel na Tanzania ni Nchi gani ina wanasayansi waliobobea katika nyanja zote!
Chanjo zote mnazopokea hapa Nchini ikiwemo ARV za ukimwi mnazomeza huwa mnazitengeneza ninyi!
Wenye akili wameshaona ANGUKO kuu la Tanzania kiuchumi linakuja kutokana na kuongozwa na watu wasio na Maarifa ila wanajifanya wajuaji wa kila kitu!
Wewe ndio mjinga wa kupindukia nyie ndio mnaowaabudu wazungu kama mama zenu pumbafu kabisa hamia uko mtuache sisi na mapambano yetu sisi tulizaliwa hapa hapa na tutakufa kwa ajili ya nchi yetu over
 
Naona nabishana na mtu mjinga nisiyemfahamu ! Achana na mimi tafuta wajinga wenzako mnaofanana!
Israel na Tanzania ni Nchi gani ina wanasayansi waliobobea katika nyanja zote!
Chanjo zote mnazopokea hapa Nchini ikiwemo ARV za ukimwi mnazomeza huwa mnazitengeneza ninyi!
Wenye akili wameshaona ANGUKO kuu la Tanzania kiuchumi linakuja kutokana na kuongozwa na watu wasio na Maarifa ila wanajifanya wajuaji wa kila kitu!
Baki na maujinga yako huko huko usinitolee mimi mipovu yako hapa.

Mimi pia sitaki kubishana na jitu linalojidharau na kufikiri lenyewe si mtu ila mzungu tu.
 
Naona nabishana na mtu mjinga nisiyemfahamu ! Achana na mimi tafuta wajinga wenzako mnaofanana!
Israel na Tanzania ni Nchi gani ina wanasayansi waliobobea katika nyanja zote!
Chanjo zote mnazopokea hapa Nchini ikiwemo ARV za ukimwi mnazomeza huwa mnazitengeneza ninyi!
Wenye akili wameshaona ANGUKO kuu la Tanzania kiuchumi linakuja kutokana na kuongozwa na watu wasio na Maarifa ila wanajifanya wajuaji wa kila kitu!
Acha kukariri upumbavu uanaobadilika kilasiku.
Umehama kwenye hoja ya msingi umeingia kwenye science na madawa ya ARV.
Jibu kwa hoja tatizo kushikiwa kwenu akili na kuudharau utu wenu mukiambiwa siku dawa ya corona ni manii za mjusi lazima mpigwe chanjo mutakubali nakushadadia.
 
Sijapata kuona mtu bogaz kama wewe hivi tanzania ndio imekuwa ni kikwazo cha dunia kuiondoa corona sindio?🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu jaribu kufikiria kama wanaume tunavyofikiriaga bana sio unafikiria kama wanaodamshi.
Wewe ni Msukule ambao haujawahi kutoka nje ya Tanzania!
CORONA ni Global Pandemic hivyo kui- fight inatakiwa na ndivyo ilivyo ni Global Approach , sijui hata kama wewe msukule unanielewa!
Nadhani hujui hata maana ya WHO?
 
Acha kukariri upumbavu uanaobadilika kilasiku.
Umehama kwenye hoja ya msingi umeingia kwenye science na madawa ya ARV.
Jibu kwa hoja tatizo kushikiwa kwenu akili na kuudharau utu wenu mukiambiwa siku dawa ya corona ni manii za mjusi lazima mpigwe chanjo mutakubali nakushadadia.
Peleka ujinga wako kwa wenzako, hujui chochote ,zaidi ushabiki wa kijin.ga!
 
Marekani ina vifo 500,000 na bado idadi inaendelea wao hawahatarishi dunia ila tz.

Hawa watu akili zao na za hawa washabiki wao wa hapa kwetu ukijumlisha na yule mbelgiji akili zao zipo kwenye visigino
Wewe jinga unajua mpaka sasa wangapi wamekufa kwa corona tz? Marekani wapo wazi, ukifa kwa covid wanatangaza hadharani. Juzi hapa covid imemuondoa Kijazi, nyie mnasema ugonjwa wa moyo. Pambaf
 
Corona ni biashara tu kama ilivyo biashara zingine lengo lilikuwa nikutengeneza gonjwa litakalo idhuru Asia na Africa pamoja na bara la ulaya kwa nchi ndogo ndogo huku G7 wakidhani aitawafikia changamoto inakuja kuona mpaka wao imewagusa na wanahangaika kuuondoa nchini mwao na wakifanikiwa kuondoa watafunga mipaka nakulazimisha serikali za duniani kununua dawa zao za chanjo nakutibu nk ili wapige pesa ulimwenguni.
 
Wewe jinga unajua mpaka sasa wangapi wamekufa kwa corona tz? Marekani wapo wazi, ukifa kwa covid wanatangaza hadharani. Juzi hapa covid imemuondoa Kijazi, nyie mnasema ugonjwa wa moyo. Pambaf
Wewe ndio jinga! Hivi vifo utaficha? Huko uliko mataani kwako wamekufa wangapi kwa corona?

Ukienda makaburi ya jirani kwenye mtaa wako kuna ongezeko la % ngapi la makaburi mapya?
 
Back
Top Bottom