Irene Uwoya: Msanii anayenivutia Bongo

huyu nae yupo juu pia ila hamfikii Irene

DSC01856.JPG
Jamani wekeni picha za maana sio vikatuni kama hiki, ebo!!!!
 
Wa kawaida huyo, hawezi kumfikia binti yangu!!! Ni bomba kama mama yake na kuzidi!!! Mama yake angeshiriki umiss enzi hizo ni lazima angeshinda tu!!! Hata sasa hivi wenye wake ingebidi na sisi tupambanishe vifaa vyetu, ni vimodo ile mbaya. Ili mradi usikute unamlisha vitimoto na minyama na bia, basi tumbo utafikiri anasubiri kuingia leba wodi!!! Tengeneza mkeo na mabinti zako umwambie mke wako awafundishe namna ya kula kwa afya na kutengeneza figure naturally. UIsipofanya hivyo mapema basi wataenda kununua ya kichina.
 
kumbe uzuri zaidi wa mtu ni kuvaa tuchupi! maana sijaona kipya sana zaidi ya kuonekana ni kabinti mchetuko
 
Wa kawaida huyo, hawezi kumfikia binti yangu!!! Ni bomba kama mama yake na kuzidi!!! Mama yake angeshiriki umiss enzi hizo ni lazima angeshinda tu!!! Hata sasa hivi wenye wake ingebidi na sisi tupambanishe vifaa vyetu, ni vimodo ile mbaya. Ili mradi usikute unamlisha vitimoto na minyama na bia, basi tumbo utafikiri anasubiri kuingia leba wodi!!! Tengeneza mkeo na mabinti zako umwambie mke wako awafundishe namna ya kula kwa afya na kutengeneza figure naturally. UIsipofanya hivyo mapema basi wataenda kununua ya kichina.
mkuu maane ni PM basi mkuu nitumie picha za binti yako mpaka hapa nishammaind bro ukizingatia wewe GREAT THINKER mwenzangu tutaelewana tu,serious mkuu nitumie au hutaki mkwe GREAT THINKER mkuu:)
 
Uzuri ni nini, na kipimo chake ni nini, na ubaya ni nini?
Separation kati ya uzuri na ubaya ni nini, na ina upana kiasi gani, au je ni range, say btn x and y?"
Lets be specific!
 
hakuna mwanamke ambaye sio mzuri - inategemea:
environment (alipo)
mshiko - hela za kununua sabuni - kuoga maji safi - kuwa na muda wa kumpuzika etc.
utunzaji wa nywele, kucha etc.
mavazi nadhifu
Any woman who take care of herself is beautiful - uzuri wa nje lakini - sijasema wa moyo
 
Huyu mtoto mke wa mwanandinga Ndikumana wa kule Cyprus raia wa Rwanda kwa kweli ana mvuto wa kipekee mie huwa naangalia movies zake zote alizoshirikishwa ni kifaa cha ukweli


DSC00486.JPG

DSC00465.JPG

Hebu check hilo tanasamu lenye bashasha

DSC00447.JPG

Hapa kiwa katika one of the movie scene

irene_wedding.jpg


irene+uwoya.jpg


Siku ya harusi yake alipendeza sana


Wenye picha zaidi za huyu staa na wengine kina aunty, wema, johari nk wekeni kwenye thread hii...

dont make a w**** a house wife..
 
But hiyo ya kuvuta punda, ni bint alitakiwa kuvutwa au huyo njomba kama ilivokaa! mie imenichanganya kidogo
 
NoooH!! demu wa kawaida sana, badu sijaona kinacho wachanganya, hamfikii demu wangu, tulieni iko siku nitamleta hapa kwa thread
 
Back
Top Bottom