Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,459
- 21,179
Irene Uwoya baada ya kupost kumbukizi ya kifo cha aliyewahi kuwa mume wake, marehemu
Hamadi Ndikumana (Katauti) mashabiki wamemjia juu na kumwambia aache unafiki maana yeye ndiye sababu ya Ndikumana kufariki.
Ndikumana na Irene walifunga ndoa mwaka 2009 na kubatika kupata mtoto mmoja wa kiume anayeitwa Krish.
Ndikumana na Irene ,harusi yao ilikuwa gumzo sana enzi hizo maana ilikuwa harusi ya gharama mno kuwahi kutokea.
Ndikumana kabla ya kifo chake aliteseka mno kuhusu Irene na kupungua kwa maokoto kulichangia.
Kilichokuwa kikimuumiza zaidi Ndikumana ni kusalitiwa na Irene na mtoto mdogo kabisa ,ambaye ni dogo janja.
Ndikumana alifariki kwa mshtuko wa moyo baada ya kupata taarifa ya Irene kuolewa na dogo janja.
Marehemu Ndikumana alikuwa anacheza nafasi ya ulinzi wa pembeni akicheza pande zote kulia na kushoto alijizolea umaarufu kiasi cha mashabiki kumpachika jina la Kataut kutokana na uwezo wake wa kupokonya mpira washambuliaji (Tackling).
Uwezo wake ulionekana kuwa mkubwa zaidi kwenye soka akiwa na umri wa miaka 19 tu kiasi cha kuzivutia klabu mbalimbali za Ulaya. Kataut alifanikiwa kuzichezea timu za KV Turnhout na KV Mechelen za Ubelgiji kati ya miaka ya 2000 na 2003.
Baadae alijiunga na klabu ya RSC Anderlecht ya hukohuko Ubelgiji kabla ya kucheza klabu zingine kadhaa kwenye nchi mbalimbali barani Ulaya hadi mwaka 2011 alipomalizana rasmi na klabu ya soka ya APOP Kinyras Peyias FC ya Cyprus ambapo alirejea nyumbani Rwanda na kisha kujiunga na klabu ya Stand United ya Shinyanga ambapo hakudumu sana.
Rayol Sports ilibaki kuwa nyumbani kwa Kataut kutokana na upendo wa mashabiki wa klabu hiyo kwake tangu akiwa mdogo ambapo baada ya kustaafu kucheza soka aliibukia kwenye majukumu ya ukocha akiwa kocha msaidizi wa Rayol Sports chini. August 8 aliiongoza Rayol Sports dhidi ya Simba kwenye Tamasha la ‘Simba Day’ ambapo walipoteza kwa bao 1-0.
Ndikumana na Irene walifunga ndoa mwaka 2009 na kubatika kupata mtoto mmoja wa kiume anayeitwa Krish.
Ndikumana na Irene ,harusi yao ilikuwa gumzo sana enzi hizo maana ilikuwa harusi ya gharama mno kuwahi kutokea.
Ndikumana kabla ya kifo chake aliteseka mno kuhusu Irene na kupungua kwa maokoto kulichangia.
Kilichokuwa kikimuumiza zaidi Ndikumana ni kusalitiwa na Irene na mtoto mdogo kabisa ,ambaye ni dogo janja.
Ndikumana alifariki kwa mshtuko wa moyo baada ya kupata taarifa ya Irene kuolewa na dogo janja.
Marehemu Ndikumana alikuwa anacheza nafasi ya ulinzi wa pembeni akicheza pande zote kulia na kushoto alijizolea umaarufu kiasi cha mashabiki kumpachika jina la Kataut kutokana na uwezo wake wa kupokonya mpira washambuliaji (Tackling).
Uwezo wake ulionekana kuwa mkubwa zaidi kwenye soka akiwa na umri wa miaka 19 tu kiasi cha kuzivutia klabu mbalimbali za Ulaya. Kataut alifanikiwa kuzichezea timu za KV Turnhout na KV Mechelen za Ubelgiji kati ya miaka ya 2000 na 2003.
Baadae alijiunga na klabu ya RSC Anderlecht ya hukohuko Ubelgiji kabla ya kucheza klabu zingine kadhaa kwenye nchi mbalimbali barani Ulaya hadi mwaka 2011 alipomalizana rasmi na klabu ya soka ya APOP Kinyras Peyias FC ya Cyprus ambapo alirejea nyumbani Rwanda na kisha kujiunga na klabu ya Stand United ya Shinyanga ambapo hakudumu sana.
Rayol Sports ilibaki kuwa nyumbani kwa Kataut kutokana na upendo wa mashabiki wa klabu hiyo kwake tangu akiwa mdogo ambapo baada ya kustaafu kucheza soka aliibukia kwenye majukumu ya ukocha akiwa kocha msaidizi wa Rayol Sports chini. August 8 aliiongoza Rayol Sports dhidi ya Simba kwenye Tamasha la ‘Simba Day’ ambapo walipoteza kwa bao 1-0.