Irene Uwoya: Msanii anayenivutia Bongo

NoooH!! demu wa kawaida sana, badu sijaona kinacho wachanganya, hamfikii demu wangu, tulieni iko siku nitamleta hapa kwa thread

safi sana boys jifunzeni kwa ngangasyonga,make ur girl the priority afu ndo hao wengine wanafuatia
 
huyu nae yupo juu pia ila hamfikii Irene

DSC01856.JPG

You are very candid man....Thumbs up!!!! Irene is more beautiful....
 
Irene kifaa mfunyukuzi nakubaliana nawe 200% , Hayo mengine hakuna binadamu aliyekamilika !
 
Huyu mtoto mke wa mwanandinga Ndikumana wa kule Cyprus raia wa Rwanda kwa kweli ana mvuto wa kipekee mie huwa naangalia movies zake zote alizoshirikishwa ni kifaa cha ukweli


DSC00486.JPG

DSC00465.JPG

Hebu check hilo tanasamu lenye bashasha

DSC00447.JPG

Hapa kiwa katika one of the movie scene

irene_wedding.jpg


irene+uwoya.jpg


Siku ya harusi yake alipendeza sana


Wenye picha zaidi za huyu staa na wengine kina aunty, wema, johari nk wekeni kwenye thread hii...

hivi hii ndoa bado ipo? Maana nasikia mrembo ni baunsa.
 
El Toro inaelekea wewe na mimi tuna ugonjwa unaofanana! Unajua sio vizuri kumtamani mke wa mtu lakini wakati mwingine jamani!
 
Uzuri wa Msanii ni uwezo wake wa kuperform. Ata angekuwa na Sura ya Kiboko kama anaweza mambo jukwaani huyo ndo msanii. Na hii ndo iliwafanya ata watanzania kumchagua handsome
 
Huyu mtoto mke wa mwanandinga Ndikumana wa kule Cyprus raia wa Rwanda kwa kweli ana mvuto wa kipekee mie huwa naangalia movies zake zote alizoshirikishwa ni kifaa cha ukweli


DSC00486.JPG

DSC00465.JPG

Hebu check hilo tanasamu lenye bashasha

DSC00447.JPG

Hapa kiwa katika one of the movie scene

irene_wedding.jpg


irene+uwoya.jpg


Siku ya harusi yake alipendeza sana


Wenye picha zaidi za huyu staa na wengine kina aunty, wema, johari nk wekeni kwenye thread hii...


hapa mungu alijitahidi katika suala zima la uumbaji
 
Kila nikimuangalia huyu mrembo huwa naishiwa kabisa @ Preta upoooo??

Uwoya-new-2.gif

Huyu binti katulia sana ila watu wanamjaji kwa jinsi alivyo mchangamfu na anavyopenda kuvaa lakini sisi tunaomjua si kicheche wala nini. Anajamaa mmoja tu ambaye huwa anapata mbali na mumewe. watu wanamzushia tu
 
Back
Top Bottom