Cha kweli kule japani
Ahaaaaaa! Hapo nimeelewa. Nikidhani mwanakijiji mnyakyusa kutoka Marekani na connection ya KLM-Lufthansa ya Dar .....Du! uliniacha hoi.katika ulimwengu wa kufikirika, kitu chochote kinawezekana...nguruwe wanaweza kuwa na mbawa, miti yaweza kuimba, na waliokufa wanaweza kufufuka na kuanza kuua walio hai!