Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Mzee Kazi na Kipimo cha watu , naomba wewe na mimi tuanze badala ya kusema vyama ya Upinzani vianze . Maana kwenye Vyama kuna watu na wao ni watu kama wewe wanaweza kuwa na mawazo kama yako mazuri lakini hawasogei karibu kama unavyosema ukiwa mbali . Hebu tujongee tuone kwa nini kwafuka moshi kule .

Unasemaje ?
 
Mzee Kazi na Kipimo cha watu , naomba wewe na mimi tuanze badala ya kusema vyama ya Upinzani vianze . Maana kwenye Vyama kuna watu na wao ni watu kama wewe wanaweza kuwa na mawazo kama yako mazuri lakini hawasogei karibu kama unavyosema ukiwa mbali . Hebu tujongee tuone kwa nini kwafuka moshi kule .

Unasemaje ?

Lunyungu,
Mimi Binafsi hiyo kazi ya kuelimisha watu kuhusu hilo nimelifanya na ninaendelea kulifanya hata hapa nilipo kuhakikisha mageuzi ya kweli yanatokea.Lakini vile vile kuna mgawanyo wa kazi(division of Labour) na kuhusu hili ndiyo hao wenzetu wa vyama mbadala ambao tayari walijiweka kwenye siasa moja kwa moja kama kazi ,na wanamtandao wa kuwafikia wananchi wenzetu kwa wingi zaidi, vile vile baadhi yao wanapata ruzuku ambazo zinatokana na walipa kodi wanaume na wanawake wa Nchi yetu ,hivyo wanawajibika moja kwa moja kuhakikisha kodi hizo zinatumika vyema ikiwa ni pamoja na kutoa Elimu ya kutukomboa kutoka ukoloni uzawa uliohodhiwa na misingi na sheria nyingi(KATIBA) za Tangu Chama Kimoja.Kwa Faida yako ni kwamba nilishawahi kuingia kwenye mchakato wa nafasi ya ubunge mwaka 1990 Lakini wagombeaji tulikuwa 77 na nilishindwa na sababu za kushindwa nilizielewa ikiwemo Takrima.Jamani Hii Takrima Haikuanza zama za vyama vingi bali ilikuwepo Tangu zama za chama kimoja,kwa tulioshiriki wakati huo katika chaguzi mbali mbali kwa ukaribu tunalifahamu.Ila tu kwasasa limeota mizizi.Na wakati ule angalau watu wachache walikuwa wana uhuru wa kufikiri zaidi na hata kama hukuwa na TAKRIMA Lakini unakubalika hutokea kupata nafasi kama ukibahatika, Lakini Mawazo ya waliowengi zama hizi ni toa tukupe jambo ambalo limeua kabisa uwezo wa kufikiri kwa wapiga kura kuanzia ngazi ya mchakato vyamani na hadi ngazi ya kupiga kura majimboni,hata kama una nia njema ya kupata uwakilishi ili kusimamia haki za msingi kwa Watanzania wote kwa mujibu wa sheria ikiwemo haki ya kushirikishwa katika upatikanaji wa rasimu ya katiba ,ambayo itakidhi matakwa ya umma na hatimae kuwa Katiba kamili.
Hata hivyo mungu akipenda nimejipanga,nimejifunza mengi,ninaendelea kujifunza na kuongeza uzoefu kiutawala na kiutendaji ,katika maeneo mbali mbali kuanzia Uchumi, Biashara,sera na mipango,utawala bora,haki za binaadamu,utaifa,sera za nje,mipango miji,huduma za jamii, Afya ya jamii,utawala wa Fedha , bajeti,mipango na matumizi,mipango na vipaumbele,usuhulishaji migogoro, Vigezo vya kufikia Maamuzi Bora na siasa ya jamii.Lengo ni kuingia kwenye Mchakato wa uwakilishi bungeni 2010 mungu akipenda.Niliwahi kugombea JIMBO ALILOGOMBEA Mh. John Mnyika kwa tiketi ya Chadema ambaye ni mwana JF .Hayo ndiyo yangu kwa kifupi,Sasa sijui wewe mipango yako ni nini?kwani huo moshi nilishaouna unavyofuka na ninafikiri sasa umekuwa ni moto unaohitaji zana za kisasa na utaalam wa hali ya juu ili kuweza kuukabili kama tunahitaji kuuzima.
 
Kalamu,
Enzi za Mwalimu tulikuwa maskini, lakini tulijua nchi ni yetu na siku moja tutafika. Leo tunaendelea kuwa maskini lakini tunalazimishwa kukunja mikia yetu katikati ya miguu yetu. Sikiliza anayosema Kazi Ndiyo Kipimo, utaelewa nasema nini. Leo mwekezaji (mnyonyaji) ndiye mkombozi, kwa kuwa tu anakula sahani moja na wale walioturubuni tukawapa ridhaa kutuongoza.
 
Mmewapa Mbwa Nchi yetu sasa tunalia kama Mbwa koko meno nje hakuna huruma .Kazi kubwa tunayo mbeleni.
 
IO,
In 1965 Kwame Nkrumah aliandika kitabu "Neo-Colonialism, The Last Stage of Imperialism." Ukikipata kisome. Aligusia haya haya tunayoshuhudia leo viongozi wa Afrika wakigeuka kuwa makuhadi au mawakala wa International Corporations, kwa kuahidiwa visenti vichache tu na Mercedes Benz wakati wanawaacha raia wao solemba.
 
jasus,
your very right there.
viongozi wetu afrika wameuza uhuru wao na sasa inabidi waongee yale tu ya kuwafurahisha watu wa washington dc.
 
Tanzania supports Iran on nuclear programme

2007-11-30 08:58:54
By Pastory Nguvu

The Government yesterday expressed its full support for Iran`s peaceful use of nuclear energy.

The stand was part of the gist of remarks by Vice President Ali Mohamed Shein when he met journalists at the Mwalimu Nyerere International Airport in Dar es Salaam upon his return from a ten-day tour in Iran and Egypt.

Dr Shein was responding to a journalist who had wanted to know Tanzania�s position on Iran`s highly contested nuclear programme.

The West, led by United States, opposes the Gulf state`s nuclear enrichment plan on fears that Iran might use the energy in the production of nuclear weapons.

However, Iranian President Mahmoud Ahmedinejad has repeatedly stated that the energy was meant solely for generating power and other peaceful means.

`Our position is that we as a country support the use of Iran`s nuclear power project for peaceful purposes just as we had earlier agreed in Cuba,` stated the Vice President.

But he was emphatic that there was no way Tanzania would support the project if it is to be used for the manufacture of weapons because that carried the risk of leading to war.

Commenting specifically on his trip to the two Arab countries, Dr Shein said it was a remarkable success `as most of our objectives were achieved`.

He said the tour was meant to further cement the cordial links between Tanzania and the two nations.

`We reached agreement on many issues during my talks with the Iranian and Egyptian presidents, including cooperation in investment in Tanzania. Implementation will follow that should further boost our mutual relations which have existed for a long time,` he observed.

Dr Shein said he also met members of the two countries� business communities `and they showed interest in investing in our country after learning of the excellent opportunities and conditions in place`.

Planning and Economic minister Juma Ngasongwa and Foreign Affairs and International Cooperation deputy minister Seif Iddi would give more elaborate details on the tour today, he added.

* SOURCE: Guardian
 
But,what is that we don't support? We support anything so long as we can get msaada? We have become "a jack of all trades, and a master of none"-that is TZ mjomba!
 
Uranium tunayo na si vibaya tukiitumia kwa ajiri ya maitaji yetu baadaye.
Swali:- utaalamu tutaupata wapi?
 
2007-10-21 16:29:41
By Peter Mwangu


Nuclear energy is the permanent answer to Tanzania`s ailing electricity that consumes billions of Shillings in purchases from private power plants, a seasoned physicist has advised.

The Director General of the Tanzania Atomic Energy Commission (TAEC), Abraham Nyanda, said recently that adopting nuclear technology is becoming increasingly easier today than before as the plants are no longer massive following the technological advancements.

He said during a five-day regional training session on Advanced Detection equipment jointly held between TAEC and the International Atomic Energy Agency (IAEA) in Dar es Salaam that despite initial high costs the operations costs are relatively lower than that of thermal or hydropower plants.

Revealed Nyanda: ``One kilogram of Uranium - 235 is enough to operate a 1,000 Megawatts nuclear powered station for an entire year at the current national power needs of only 600 Megawatts.

The surplus 400 Megawatts can be sold to our neighbours to earn foreign exchange.``

The physicist advised policy makers to consider policy changes, commitment and time to solicit for the needed funds for a nuclear project that will place the country at an immense advantage in the longer terms.``Our leaders need to think ahead of 10 to 30 years not just five election years only.

We need a reliable source of energy if we need to develop economically and attract foreign investment to our country. Issues regarding expatriates remain to be a matter of preparations,`` he said.

Was Dr Shein prepairing for these expatriates?

Uranium and Plutonium, the main raw materials for nuclear technology, are currently under exploration by the Ministry of Energy and Minerals.
He also said that smuggling of nuclear and other radioactive materials in Tanzania is rampant with 12 incidences recorded since 1998 and many undetected because of the conducive geographical position of the country.


SOURCE: Sunday Observer
 
"The Government yesterday expressed its full support for Iran`s PEACEFUL use of nuclear energy."

As long as we stress the peaceful part i don't see the problem. Iran has the right to nuclear energy just as everyone else does.
 
Katika kuendelea na ule mjadala wetu wa Foreign Policy ya Tanzania ..looks like MOF Dar walifanya maamuzi ya busara ya kutoingia katika bandwagon ya kuwawekea vikwazo Iran

Kudos jamaa wa desk la Middle East na Membe kwenye hili
 
US walikuwa na strategy tu ya kudanganya over Iran kama Iraq- for political influence.

Msimamo wa Tz over this is good- though US wanaweza wasipende hilo!

So many other countries have nuklea- sasa Iran kwa nini iwe hatari? Kwa nini Isiwe hatari kwa Pakistani, India, Israel?
US wana double standards- huwashikia wengine bango selectively- Je hii ni haki?
 
Katika kuendelea na ule mjadala wetu wa Foreign Policy ya Tanzania ..looks like MOF Dar walifanya maamuzi ya busara ya kutoingia katika bandwagon ya kuwawekea vikwazo Iran

Kudos jamaa wa desk la Middle East na Membe kwenye hili

tumsubiri mkjj atupe mawiyo.

tanzania inaongozwa na chama makini, chama kinachojua wapi kisimame tokea kale misimamo yetu kimataifa ni bomba

Hongera CCM hongera na zidi kun'gara
na wakome tunaowakera mkjj na wenye papara
 
tumsubiri mkjj atupe mawiyo.

tanzania inaongozwa na chama makini, chama kinachojua wapi kisimame tokea kale misimamo yetu kimataifa ni bomba

Hongera CCM hongera na zidi kun'gara
na wakome tunaowakera mkjj na wenye papara
Kwi kwi kwi,Mtu wa pwani kuifuma hiyo moja tumeona mpaka jino lako la mwisho.Basi haya!
 
Unajua palipo na Ukweli uwongo hujitenga, Uwongo na Ukweli kamwe havifungamani.
zile rhehotoric zoote kumbe hamna kitu. jamaa walifikiri wairani ni wazembewazembe watu wa kuwapeleka peleka kumbe wapi, jamaa wako very smart katika hili game la diplomacy.

kiufupi nilikuwa nikifuatilia hii ishu kwa karibu sana ,kitu nilichojifunza ni kwamba kumbe diplomacy ni kama game flani ya chess au draft, unasukuma kete hii kisha unasubiri mwenzako asukume kete ile.

Kwa mfano ukiangalia toka Mwanzo Wairani walisukuma kete yao ya kwanza mwaka 2003 kwa kusimamisha kueinrich uranium.Wakatulia kimyaa huku Mmarekani akiendelea kuipata joto ya jiwe Irak.

Then akaingia raisi Ahmednejad madarakani, wakati huo wamarekani wako bussy kwelikweli Iraki.jamaa akasukuma kete nyingine akasema Irani ina haki ya kuendelea kueinrich uranium kwa ajili ya umeme kulingana na mkataba wa IAEA.
Western countries wakaja juu wakasema hawaiamini Irani, wakasukuma kete yao ya economic incentives kuivutia Iran iache kueinrich Uranium.Wairani wakasema hili haliwezekani kwa sababu huko mbeleni hakuna guarantee yoyote ya nchi za kimagharibi kubeba jukumu la kuipa Iran einriched Uranium kwa ajili ya mitambo yake ya kuzalishia umeme.

Wazungu wakasukuma kete ya vikwazo wakaitwanga Irani vikwazo mara ya kwanza. Wairani wakasukuma kete ya support kwa nchi zisizofungamana na upande wowote(non-aligned movement countries),nchi zikatoa matamko kwamba zinaunga mkono tekinolojia ya nyuklia kwa Matamizi ya Amani.wakati huohuo Irani ikasukuma kete ya diplomacy kwa adui wa marekani hugo Chavez,kukawa kuna alliance ya kuipinga marekani kwa sauti kubwa kwenye UN, (kumbuka hotuba ya chavez alivyomuita Bush shetani katika UN general assembly).

Then Wamarekani na wenzi wao wakakusanya nguvu wakacheza kete yao nyingine hatari sana, wakawatwanga wairani vikwazo kwa mara ya pili. kuona hivi wairani wakaona hali ngumu ikawabidi wajipange kisawasawa ili kukontrol gemu, wairani wakasema tutasolve ishu yetu Na IAEA,jamaa wakacheza kete yao nyingine, wakafanikiwa kuwaconvice IAEA kwamba hawana mradi wa Mabomu ya Nyuklia. IAEA wakatangaza wakasema hatujaona dalili za mabomu ya Nyuklia Iran.
Hii iliwaudhi wakubwa, wakawa sasa wanatapata ili kupata credibility ya kuwatwanga Wairani vikwazo kwa mara ya tatu.
sasa this Time uroho wa Wamarekani wa kutawala dunia ukaingilia kati gemu nzima, wakakwaruzana na Urusi kuhusu mpango wa kuweka Anti ballistic missile Polland. warusi wakaja juu wakasema hii ni kujaribu kupunguza nguvu (detterance) za ballistic missile za warusi na mabomu yao ya Nyuklia, Warusi wakaanza kuqustion ajenda ya Wamarekani.

Wairani wakacheza kete yao nyingine, this time ukaandaliwa mkutano wa caspian sea nation, wakamwalika Putin kwenda Tehran, jamaa akaenda wakakubaliana kwamba mataifa yenye kushirikiana caspian sea wasiruhusu ardhi yao kutumika na taifa lingine kumpiga mmoja wao, Hii ikawa ni kete ngumu kwa Wamarekani na wenzi wao;

Then hatujakaa sawa Wamarekani Wakamuita Dalai Lama aliye ukimbizini(kiongozi wa kiroho wa jimbo la tibet -uchina) Congress wakampa nishani ya juu ya heshima, hii kitendo iliwaudhi Wachina vibaya mno, wakaanza kususia hata mikutano ya kuiwekea vikwazo Irani.

Then sasa mafuta yakaanza kupanda bei kwa kasi ya ajabu,pipa moja likafikia hadi dola 99, hii ikawa ni situation ngumu.maana kila Marekani akitishia hali ya shari kwa irani pipa la mafuta linaongezeka bei,

Sasa naona wamarekani wamegundua kwamba hili gemu walilomchezea saddam husein limekuwa taffu kwa Wairani,wameamua sasa kuweka wazi mambo ambayo mimi naamini wanayafahamu fika ila ujeuri tu.
wanatafuta namna ya kusave face.
ila sasa nadhani wameelewa kwamba uwongo hata uupake mafuta namna gani utabaki kuwa uwongo tu
 
Katika kuendelea na ule mjadala wetu wa Foreign Policy ya Tanzania ..looks like MOF Dar walifanya maamuzi ya busara ya kutoingia katika bandwagon ya kuwawekea vikwazo Iran

Kudos jamaa wa desk la Middle East na Membe kwenye hili
Hili lilikuwa wazi tangia wakati wa Mama Migiro; aliwahi kueleza msimamo wa Tanzania kinagaubaga juu ya hii ishu ya Iran, hadi wakati wa uteuzi wake kule UN baadhi ya nchi za Afrika walijaribu ku-quote hiyo statement kutaka kum-disqualify.

Inafurahisha kuona foreign policy yetu imekuwa haiyumbishwi na propaganda za muda mfupi.
 
IRNA - October 20, 2008

Iran and Tanzania on Sunday signed a Memorandum of Understanding for economic cooperation.

The MoU was at the end of their fourth joint economic commission in a ceremony attended by Iran's Minister of Agricultural Jihad Mohammad Reza Eskandari and Tanzanian Minister of Foreign Affairs and International Cooperation Bernard Membe.

Based on the MoU, the two sides agreed to promote agricultural cooperation in the field of research, training, cattle farming, technical services, irrigation and production of chemical fertilizers.

They would also cooperate in the fields of transportation, energy, industry, protection of cultural heritage, promotion of tourism, banking and financial activities as well as making investments.

Tehran and Dar es Salaam also decided to hold the next (fifth) meeting of Iran-Tanzania joint economic commission in 2010 in the Tanzanian capital.

Membe arrived in Tehran on a three-day visit to attend the fourth meeting of Iran-Tanzania joint economic commission.

The Tanzanian minister also held separate meetings with his Iranian counterpart Manouchehr Mottaki, President Mahmoud Ahmadinejad and head of Iran Cultural Heritage, Handicrafts and Tourism Organization Esfandiar Rahim Mashaei.
 
Back
Top Bottom