Iran yajaribu kupitisha Uranium Tanzania!

Moyo huwa unaniuma ninapoona mtu mmoja anatukana na kunyanyasa watu katika hii Forum!! hadi amesababisha watu wengine kama M..etc wamekimbia hii Forum! .

Na hata kama akiombwa msamaha yeye hutukana tu!

Jamani tunakuomba msamaha au unataka watu wote wakuachie huu uwanja?

anyway, tuwe wastaarabu jamani kama mtu una point zako watu au wana forum wasomaji wakisoma wanakujua sasa sifa za nini tena.

Tunaomba humu katika forum na siyo matusi. Kama mtu mmoja akiona wengine hawajui au hawana point NI VEMA UTUELEWESHE KWA POINT NA SIYO KUSEMA MJINGA NK.

HAYO NI MAWAZO YANGU NINAUNGANA NA FD WE NEED PEACE BROTHER!.
 
Kama huna point ni vyema kuachia uwanja wenye point waweke zao, kama unapenda amani kama unavyodai ungekuwa wa kwanza kumjibu mzee FD na maneno ya "Mtu wa ajabu",

Kama huna point go home bro! lakini usilete maneno ya kuzunguka kama vile watu ni wajinga hapa, mimi simchokozi mtu hata siku moja ila ukianza sitoi free pass, huyu bwana toka BCS ananitafuta mpaka kuniita January Makamba nimeshamuonya mara nyingi lakini hasikii,

Mr. M...... wako kama unavyomuita amekimbia kwa sababu, the kitchen was too hot! na wewe unaweza kumfuata lakini acha ulaini hapa, mtu akileta ujinga kwangu atapewa huo huo ujinga, ukianza mimi ninamalizia huwezi tena ku-dictate on my side,

halafu kumbuka huwezi kujua amani kama hujui kupigana vita, halafu usilete maneno ya kuachiwa uwanja kama kisingizio cha kunifanya ninyamaze mimi sikumchokoza huyu pumbavu na punguani, kama wewe ni mstaarabu kama unavyotaka kujionyesha basi ungeanza naye kabla sijamjibu,

halafu Who are anyway? Na mimi ninaungana na wewe na FD kutaka amani lakini mtu yoyote humu akichokozwa ana haki ya kujibu tena on his pace na sio kuingiliwa na mtu yoyote aliyekuwa kimya wakati anachokozwa,

Hayo ya sifa na kujua ni NONESNSE, mimi niko hapa kutoa michango kwa ajli ya taifa langu asiyetaka akanywe chupa, lakini siwezi kuwa laini hata siku moja kuridhisha watu wasiokuwa na cha kuandika bali kufuata futa wengine, halafu kukimbilia kuomba samahani, that is foolish bro!
 
Ndio Jasusi,i'ts been awhile since bcstimes,but you have asked me about Ngabu,i'm absolutely have nothing to do with that chap infact i don't deal with people from some org .(christian organizations).
peace!!!!!
Willo
 
Willo said:
Ndio Jasusi,i'ts been awhile since bcstimes,but you have asked me about Ngabu,i'm absolutely have nothing to do with that chap infact i don't deal with people from some org .(christian organizations).
peace!!!!!
Willo

Willo
I am not Ngabu's spokeman but i am offended with your comments. Please explain what are you tying to say.
 
Ahahahaaahhhhhha

Kazi kweli kweli, hypocrisy, hypocrisy, hypocrisy......

Jamani niliuliza, kwanini Marekani wachukue hizo Uranium? sisi hatuna wataalam wenye kuweza kuzi handle? Naomba nielimishwe!

FD
 
FD
Good question. Good question. Au labda tumeshasalimisha sovereignty yetu kwa Marekani?
 
Mzee Sam,

Huyu jamaa toka BCS, ukiangalia utakuta siku zote yuko upande ule ule wa pili, wa jamaa aliyekimbia, yaani wa Mujahadina! Mzee Ngabu, did a great job kupambana na Ponjoro, hakuna mfano wake,

na siku zote alikuwa neutral kwenye mambo ya udini, lakini alikuwa mkali kwa akina Mujahadina na hasa mambo ya vikatuni, does that make him a member of Christian organization?

Then tuko wengi humu toka hizo Christians organizations?

Mzee Mwanakijiji, nafikiri sasa unaweza kuona ni nani mzee "Statesman!"
 
Guys
Naona watu wanaogopa kuingia kwenye hii forum.

http://207.158.234.203/yaforum/topic.asp?TOPIC_ID=11587

Mwanakijiji waambie watu wako waje tu tunawakaribisha humu. Critic, Kamanda na Curtis mshkaji wako wanatakiwa waje humu tuwashiane moto wasiwaonee watu kwenye soft forums. Mwambie Mkandala tunamuomba arudi huku yeye ndiye aliyetuleta kwenye hii forum sasa sijui kwa nini amekimbia.

Willo
Nasubiri majibu yako.
 
Mzee ES
Mimi sijamuelewa anataka kuongelea nini hapa, nasubiri majubu yake.
 
Mkandara, amezamia kwenye maoni.... Kuna beef nisiyoielewa kati ya watu wa YA na the former BCStimes.... wanajua tuko hapa...
 
Mwanakijiji
Sidhani kama kuna beef yoyote na YA, na kunatofauti kubwa kati ya waliokuwa member wa former bcstimes na YA. Kule YA mnafahamiana karibu wote in real life kwa hiyo mtu unapotoa mawazo unatakiwa usim-offend mtu ama baba yake au mama yake. Kule bcstimes nadhani unakumbuka ulikuwa mtu lazima ufikirie kabla hujaandika na ndiyo hiyo standard pengine tutaifikia hapa huko mbeleni. Nakumbuka hata wewe ulipojiunga na sisi ulitaka kukimbia siku ya pili yake. Do you remember? Sasa hivi naona kila mtu anaandika anachotaka lakini time will tell tufafikia hiyo standard. Napenda sana Curtis aje humu kwa maana yeye anadhani mawazo yake ni final na hapendi mtu akimpinga. Mwambie FD na Jasusi wanamsubiri hapa.
Mwanakijiji
Nadhani na wewe umefika wakati wa ku-move one step forward, watu wameanza ku-copy what you do. You have to create a real news coorporation hata ikiwa online labda inaweza kuwa full time yako unaweza kutafuta watu wa ku-sponsor shows zako pengine ukawa na pesa za kuafuta wawakilishi wako nchi mbalimbali. Anything is possible under the sun. Pia nimekuandikia email kwenye journalist.com email yako kuna kitu muhimu sana natafuta.
 
mawazo mazuri... Sam.. nayafanyia kazi kwani wiki hii bandwidth yangu wameimaliza huko podomatic....
 
Sam,

YA nilijiunga, ila kuna urasimu nilikumbana nao, nikahisi itakuwa inaendeshwa na serikali ya Tanzania...ahahah mara admin mpaka akubali etc, nikaona ni utoto. Pili wanajuana wote wale hakuna anaechangia mawazo kwa uwazi wanaogopana. Humu uongo hata nikiandika we SAM "Mjinga nini?"(mfano) unajibu kesho tunaendelea na ikitokea tukikutana hakuna beef. Wale beef zinaenda mpaka kwa wazazi:) humu kila siku mawazo yanagongana lakini hakuna tatizo, wenye ubinafsi unaona wanakimbia, sisi tuna moyo na taifa hili tupo humu humu!!!!

Mwanakijiji, Mbona sioni Beef kati ya YA na BSC? oohooo Ngabu na yule mtoto wa Ndosi au? BTW Old Ngabu alimtisha sana yule dogo ikabidi dogo atishike lakini baadae dogo alitulia, sijui yupo wapi?

Peace bros!
 
CHANZO>>HabariLeo; Wednesday,January 31, 2007 @00:06

RAIS Jakaya Kikwete amesema Iran, kama nchi nyingine duniani, ina haki ya kutumia nguvu za nyuklia kwa ajili ya maendeleo. Rais amesema pia kwamba muundo mpya wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lazima uzingatie suala la kuipa Afrika angalau viti viwili vya kudumu vyenye kura ya veto.

Aliyasema hayo jana kwa wakati tofauti katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Rais wa Iran ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Manoucher Motaaki na Balozi Koichiro Sato wa Japan anayeshughulikia masuala ya Afrika.

Rais Kikwete alisema Tanzania inasisitiza kuunga mkono matumizi ya nguvu za nyuklia katika masuala ya maendeleo ya uchumi, kama vile nishati na utengenezaji wa dawa.

Alisema kwamba Tanzania ni nchi ambayo imesaini mikataba ya kimataifa ya kupinga matumizi mabaya ya nyuklia na kwamba itaendelea kupinga nchi zinazotengeneza silaha za nyuklia. “Tunaunga mkono nchi yoyote ambayo inatumia nguvu za nyuklia kwa masuala ya maendeleo, amani, lakini tunalaani vikali matumizi mabaya ya nguvu za nyuklia. Huo ndiyo msimamo wa serikali yangu,” alisema.

Alisema kwamba hata Tanzania ina madini ya uranium, na hata wakati wa kipindi kigumu cha matatizo ya umeme, wapo baadhi ya wananchi na wataalamu walioshauri kwamba pengine ilikuwa ni wakati muafa kwa Tanzania nayo ingeanza kufikiria kutumia nyuklia katika kuzalisha umeme.

Katika mazungumzo hayo ambayo pia yalihudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Rais alisema ni vema waziri huyo aende Iran kuibua maeneo ya ushirikiano, hususan katika masuala ya viwanda, uwekezaji na teknolojia.

Akizungumzia mabadiliko ya mfumo wa Umoja wa Mataifa, hususan ongezezo la idadi ya wajumbe katika Baraza la Usalama, Rais Kikwete alisema yanabidi yazingatie maslahi ya Afrika.

“Msimamo wa Afrika ni nafasi mbili za kudumu na zenye kura ya veto na si vinginevyo. Hatuipingi Japan wala Ujerumani nazo kupata nafasi, lakini si kwa kutunyima nafasi Afrika. Huu ndiyo msimamo wangu lakini ndiyo msimamo wa Umoja wa Nchi za Afrika,” alisisitiza Rais.

Afrika ni bara pekee lenye wanachama wengi katika Umoja wa Mataifa ambalo halina mwakilishi wa kudumu na mwenye kura ya veto katika Baraza la Usalama. Rais Kikwete alisema kwamba kuna dalili kwamba maslahi ya Afrika yanaelekea kutopewa umuhimu kipaumbele katika mabadiliko ya mfumo mpya wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Japan ni miongoni mwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa ambayo inawania kuwa mjumbe wa kudumu wa Baraza la Usalama huku ikiwa na nguvu ya kura ya turufu.

Rais Kikwete alisema kimsingi Afrika haipingi nchi kutoka mabara mengine kuwania nafasi ya ujumbe wa kudumu katika Baraza la Usalama lakini isingependa jambo hilo likifanyika kwa hila, kuikandamiza au kuinyima Afrika nafasi ya kuwa na angalau wawakilishi wawili na wenye kura ya veto
 
Tumeona Mpiga kura!,Lakini huu Uongozi wa Nchi sio kuwa na muscles za kusema kila mahali,kuna sehemu nyingine inabidi uwe makini kwenye kutoa comments,usipoangalia tu!utaongeza maadui na kupoteza hata wale marafiki wachache ulionao.Ule Ubabe wa Mwalimu wa kutokujali wenye nguvu nafikiri umepitwa na wakati!Nchi yetu ni tegemezi,kwa maana hiyo tuendelee na tabia hii hii ya Umalaya ya kubalance mabwana zetu.Tuwasifu na kuwakumbatia wale wanaotupa pesa ya kujenga visima na Barabara,na tuwanyenyekee wale wanaotujengea Bandari na kutupa pesa za Campaign.
Kuna Mtaalamu mmoja ameandika huko nyuma nini "Foreign policy ya Tanzania"? suala hilo linabidi lijadiliwe kwa kina,vinginevyo tutajikuta tunaburutwa bila kujua tunataka ku-advocate nini!Hii nafikiri Mh.Membe ataifanyia kazi,lakini kama ameanza kutumwa Iran napata wasiwasi kuwa westerners watatuangalia kwa miwani yenye lens kali na ukizingatia Rais wetu anaitwa "Hussein".Ndio kabisaaaa!
 
Aaah uliposema anaitwa "Hussein" nilishtuka, lakini nadhani una maan ya kuwa "muislamu" na sio Sadam Hussein mwingine.

I agree Tanzania hatuna foreign policy, tunaangalia upepo na kupokea chochote kwa mikono mitatu. Hivi ukimuuliza mtu wa kawaida swali. Je, foreign policy inasemaje kuhusu mambo ya msingi ya ushirikiano wa kimataifa inasemaje. You will get an answer only from JK himself, not even a foreign minister.

JK amekaa foreign ministry for 10 years akifikiria jinsi ya kuupata uraisi na sio kuiweka nchi yetu iwe na sera nzuri. Je ataweze leo hii keshaupata?
 
Iran-Tanzania cooperation in animal husbandry

Sunday, February 26, 2006 - ©2005 IranMania.com

LONDON, February 26 (IranMania) - Iran's Ambassador to Tanzania Abbas Vaezi conferred with Tanzanian Minister of Animal Husbandry Shukuru Kawambwa on expansion of mutual cooperation in the sector, IRNA reported.

At the meeting, the Iranian ambassador highlighted Iran's capabilities in animal husbandry and poultry and voiced the country's readiness to further broaden mutual cooperation and share its experience in the field.

There are some 120 mln of heads of cattle in Iran, he said adding that there are also numerous industrial slaughterhouse equipped with latest modern technology which have created grounds for the country's great success in animal husbandry sector.

Referring to the expansion of poultry farms in Iran, he said Iran stands 14 in the world and sixth in Asia in terms of sophisticated poultry farms.

The Tanzanian minister, for his part, said his country ranked third in terms of number of heads of cattle in the African continent after Ethiopia and Sudan.

Tanzania welcomes Iran's investment and cooperation in the sector through construction of industrial slaughterhouses, he said.

Lauding Iran's massive scientific breakthrough, he said Tanzania is interested in importing relevant machinery and equipment for poultry farms and animal husbandry from Iran.

He voiced readiness to visit the Islamic Republic of Iran at an appropriate time

(A year later what came out of this meeting? - Mwanakijiji)

Iran-Tanzania-Cooperation (May 13, 2006)
Iranian Ambassador to Tanzania Abbas Vaezi discussed ways to promote bilateral industrial cooperation with Tanzania in separate meetings with two Tanzanian ministers in Dar-es- Salaam on Friday.

Ambassador Vaezi, during his meeting with Tanzanian Minister of Industries, Trade and Marketing Nazir Karamagi, spoke of Tehran's capacity to proudce automobiles, tractors, spare parts and other industrial items.

Karamagi welcomed Iran's cooperation in those fields and stressed that Dar-es-Salaam would facilite investment and acitivities of Iranian companies in Tanzania.

Meanwhile, during a separate meeting with Tanzanian Minister of Water Stephen Wassira, the Iranian diplomat said Iranian companies were eager to cooperate with Tanzania in dam construction, digging of wells, water purification and water pump manufacture.

Vaezi pointed out that Iran was among the world's top five countries in dam-building technology.

Noting the Tanzanian economy's great dependency on water, Wassira said his country was in dire need of dams and would welcome the help of Iranian companies in dam construction.

Vaezi also briefed the two Tanzanian ministers on Iran's peaceful nuclear programs and said Ministers Karamagi and Wassira both supported its right to engage in nuclear activities.

The two ministers stressed that Dar-es-Salaam would support Iran's legitimate right to access nuclear technology for civilian purposes in international fora.

(So, how are we doing in attracting investment from Iran in "dam construction, digging of wells, water purification and water pump manufacture."? what about using "Tehran's capacity to proudce automobiles, tractors, spare parts and other industrial items."? in the country - Mwanakijiji)

Tanzania and Iran to create closer ties in tourism (May 23, 2006)

Tourism authorities of Tanzania and Iran came closer and discussed the benefits of a potential cooperation between the two countries. Anthony Diallo, Tanzanian Minister of Natural Resources and Tourism met with Iran`s Ambassador to Tanzania Abbas Vaezi. In the meeting, the two sides discussed ways of expansion of bilateral cooperation in the fields of tourism and natural resources.

Vaezi said there are appropriate grounds for developing tourism activities, exchange of information in the field of natural resources and exchange of experience in the field of protection and maintenance of archaeological works between the two countries.

Tanzanian minister, for his part, referred to historical relations between the two countries and said, "Tanzania wishes to use Iran`s experiences in different cultural fields, including tourism and preservation of archaeological works." He added "Tanzania welcomes Iranians` investment in the fields of hotel building and tourism services."

He expressed hope that more facilities are provided for Iranian tourists who visit Tanzania.
Michael Verikios (michael@traveldailynews.com) -- Tuesday, May 23, 2006

(so, how many tourists have we welcomed from Iran? - Mwanakijiji)

August 31, 2006
Iran-Tanzania-Housing
IRI Ambassador in Tanzania announced Iran's readiness to invest in that country's housing and agricultural sectors on Wednesday in a meeting with Tanzanian Minister of Lands, Housing and Urban Development.

Abbas Va'ezi opened the bilateral session elaborating on the history of our country's relations with Tanzania, particularly after a visit by a special representative of President Mahmoud Ahmadinejad, adding, "Iran can assist your country in construction of cheap houses."
Referring to the IRI Agriculture Ministry's willingness to open an office in that country's official capital city, Dodoma, Va'ezi said, "Iran ranks fifth in the world in dam building."
Elsewhere in his remarks, the Iranian Ambassador elaborated on various technical and engineering services that Iran can offer Tanzania, including the assembly of pre-fabricated houses, adding, "Our two countries have great potentials for the further expansion of cooperation."
The Tanzanian Housing Minister of Lands, Housing and Urban Development, John Magufuli, too, during the meeting expressed pleasure over the good and still improving level of his country's ties with Iran, stressing "Dodoma attaches great importance to expansion of ties with Tehran."
Appreciating the wise stands adopted by the Iranian President on significant international affairs, Magufuli said, "The world big powers assume that scientific and technological advancement is monopolized for them, denying any type of rights for the other nations in those respects."

(what about building cheap houses, where are we on this? - Mwanakijiji)

Tanzania-Iran-Nuclear October 7, 2006
Tanzania's Foreign Minister Asha-Rose Migiro on Friday supported Iran's right to access peaceful nuclear energy.

In a meeting with Iranian Ambassador to Tanzania Abbas Vaezi, Migiro called on signatories to the Non-Proliferation Treaty (NPT) to remain committed to their undertakings on dismantling their atomic weapons.

She praised positive trend in political and economic ties with Iran and called for further bolstering of bilateral relations in all fields.

Vaezi, for his part, assessed as "very important" bilateral cooperation between the two countries in international fora including the United Nations and praised Tanzania's support for Iran's nuclear stance.

He pointed to a recent meeting held between the Iranian and Tanzanian presidents on the sidelines of the 7th Summit of the African Union (AU) in Banjul, Gambia, and a recent visit by Iran's agricultural jihad minister, as President Mahmoud Ahmadinejad's envoy, to Tanzania, saying exchanges of visits showed the two sides' determination to broaden mutual political ties.

The ambassador said an upcoming official visit by Tanzania's president to Iran, scheduled to take place in 2007, would be a major step to further expand bilateral cooperation.

Referring to activities of Iranian firms in the fields of export of liquefied gas, foodstuff, industrial goods, home appliances, dried fruits and technical and professional services, he hoped establishment of the two countries joint commission would boost mutual cooperation.

In a separate meeting between Vaezi and Tanzania's Minister of Energy and Mineral Resources Ibrahim Msabaha, the two sides discussed the latest developments in bilateral ties.

The envoy said an upcoming visit by a 13-member delegation of Tanzania's Electricity Organization to Iran would be an appropriate opportunity to discuss Iran's potentials in the fields of dam construction, production and repair of all types of turbines for generating electricity, installing and implementation of wind, gas and fossil power plants.

He also voiced Iran's readiness to help remove all existing shortcomings for power generation in Tanzania.

The Islamic Republic of Iran is ready to cooperate in various fields as investment, export of technical and engineering services to Tanzania, he underlined.

The Tanzanian energy minister, for his part, expressed satisfaction with the current level of relations with Iran and voiced his country's readiness to negotiate with Iranian companies active in construction of power plants.

Referring to the activities of Iran's Construction Jihad Bureau in Tanzania in the past, he welcomed reopening of the office in the country.

(how did the Iranians helped in "removing all existing shortcomings for power generation in Tanzania." - Mwanakijiji)

Tanzania-Iran-Meet August 19/2006
Visiting Iranian Minister of Agriculture Jihad Mohammad-Reza Eskandari on Saturday handed a message from President Mahmoud Ahmadinejad for his Tanzanian counterpart, Jakaya Kikwate, inviting him to visit Iran.

Eskandari, who arrived in the Tanzanian capital Dar-es Salaam on Friday heading a high-ranking delegation, held talks with President Jakaya on Saturday.

The Iranian minister, who briefly spoke of Iran's potentials and capabilities in various economic areas, stressed the importance of following up matters raised at a meeting between the Iranian and Tanzanian presidents on the sidelines of the 7th Summit of the African Union (AU) held in July in Banjul, capital of Gambia.

The Tanzanian president, for his part, thanked Ahmadinejad for his invitation and promised to pay a visit to Iran in the near future.

He said the two countries' decision to expand their agricultural cooperation taking into account their huge potentials was a "constructive" move.

The Iranian delegation headed by Eskandari also met with Zanzibar's President Amani Abeid Karume and discussed avenues for bolstering bilateral economic cooperation.

Tanzania-Iran-Ties
New Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe said Thursday in Dar-es-Salam that his country was determined to further boost its ties with the Islamic Republic of Iran.

In a meeting with Iranian Ambassador to Tanzania Abbas Vaezi, he said a planned visit to Iran in the near future of the Tanzanian president and vice-president shows the country's will to promote its ties with Tehran.

As to Iran's peaceful nuclear program, Membe stressed that pursuit of peaceful nuclear energy is an inalienable right of countries, including the Islamic Republic of Iran.

The Iranian ambassador, for his part, noted that the Iranian and Tanzanian nations share many historical and cultural commonalties.

Referring to the enormous resources of both countries, he called for further expansion of bilateral cooperation in all areas.

Regarding the participation of Iranian companies in various development projects in Tanzania, Vaezi said such participation would pave the way for further expansion of bilateral cooperation between the two states.

(what expansion? - Mwanakijiji)
 
I salute ya all at JF!

Mzee Mwanakijiji can you please relate this trend of events to the US and Western medias' opposition to madam Asha Rose Migiro on grounds of her support to Iran?
 
Pinokyo.... of course the Western government had to look with some kind of suspicion. Ila sijaelewa hadi sasa, ni kwanini tuko mbele sana kufurahishwa Wairani. Na kama umesoma huko Rais ataenda huko hivi karibuni na Makamu wake pia.. what is going on? Tumepata manufaa gani hadi sasa ya kuendelea kuunga mkono na kuwatetea Wairani?
 
You forgot to mention the financial assistance our president received for his campaigns in 2005. I think we also still remember the Malecela-Iran conspiracy in which the former allegedly received millions of dollars from Iran for his campaigns in 1995. Of course, had it not been Mwalimu, the history for our third president would have been different!
 
Back
Top Bottom