Mpango wa Israel kutanua uko katika historia yote ,hawajaanza leo ,tangu mimi na wewe hatujazaliwa ...Kilichotokea pale Iran alitakuwa kuwe na haki ya wapalestina ... Israel mwambie chochote ila sio kulitambua taifa la Palestina.Sasa mkuu palestina aja haki ya kumkataa israel ..? Mbona
Pakistan aliweza kumkwepa ,kama unavyoona anavyomchokoa Iran hivyo hivyo ,na kingine Pakistan alijiweka mbali na maslahi ya Israel kwenye mipango yake ,kama pale palastine .Pakistan alichomoa kivipi?
🤣🤣Makobazi mmesahau kuchaji makombora yenu, hayana madhara kabisa
Umetizama maeneo yote na kuthibitisha kuwa silaha hazina nguvu?Jamaa anapiga mitaa aina watu walishafichwa mda mrefu, anapiga majengo tupu, nimeona kabom kameanguka barabarani kanawaka kama njiti ya kiberiti, kiufupi hana siraha za kutisha kama alizonyolewa nazo asubuhi.
Yaa uo moshi ni wa intercepted missilesView attachment 3367234
😀😀Wamejikaza
Hayo makombora tunayorusha saa hii ni yale tuliyoyapanga nje, yalikosewa kidogo katika utengenezaji. Tukianza kuchukua vyuma vya store somo litaanza kueleweka taratibu, na tushamuambia Ayatollah azime simu.Majengo yapo pale pale hayana hata mtikisiko, mkumbushen Ayatollah kuchaji hayo makombora 😂
Pakistan haitambui taifa la Israel mwanzoni kabisa ya miaka 1947 ,walikuwa na hostility mpaka leo ...Ila Pakistan hakutaka kuingia kwenye vita , Pakistan ana nyunklia ila haguswi ..Kama angekuwa anaingilia ugomvi moja kwa moja basi ingekuwa kama Iran .Pakistan alichomoa kivipi?
Waziri wa ulinzi yupi huyo 😂tumenza na waziri wa ulinzi kwanza, tulia hapo hapo
Hakuna Cha intercepted missile makombora yamepiga kweli.Yaa uo moshi ni wa intercepted missiles
Hakikishen mnayachaji vzr Ndo muyarushe mana hizo skrepa mlizotuma hazijasogeza Hata mchanga 😂Hayo makombora tunayorusha saa hii ni yale tuliyoyapanga nje, yalikosewa kidogo katika utengenezaji. Tukianza kuchukua vyuma vya store somo litaanza kueleweka taratibu, na tushamubia Ayatollah azime simu.
Miji 7 imepigwa mpaka sasa, ikiwemo Jerusalem.Haifa pia inawaka moto
Ndugu yangu makobazi, huna la kunifundisha em nendeni mkachaji hizo skrepa zenu ndo mzirushe tena 😂We hanithi nakufundisha😅😅sio unajitekenya kama fala ...Unaongea .
😅Umeanzaa,umeanzaa tenaMtoa mada anahangaika na mods wabadili title em Ngoja tuone 😂
Lazima uniite hanithi mana nilikataa kukupa mimba 😂We hanithi nakufundisha😅😅sio unajitekenya kama fala ...Unaongea .