Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Namuaminia Iran ila vyombo viko njiani mda mrefu sana kila nikiangalia updates sioni vimefika afu vinapiga kelele balaa, binafsi nataka israel apigwe achakae

Ila nasikia vikikaribia kufika anaamsha yale madude ya dk 6 to Israel, wakipambana na drones vyuma vinatua
Aise Iran ni mbabe sana tuache masihara.

Yaani Israel anachakazwa kwa kutumia mchanganyiko wa zana hakuna kulala leo.

Fikiria hii mizigo iliyotumwa ambayo inatumia zaidi ya saa kupiga target imepita bila kupingwa sasa Iran akitumia yale makombora hypersonic ambayo yanafika Israel ndani ya dakika 5 si balaa hilo?😅
 
Aise kwakweli Israel na mabwana zake wana haki ya kuhaha kumhofia Iran maana hakuna mfumo wa anga wa Israel uliofanikiwa kuzuia mzigo kutua.

Sio Iron dome, THAAD wala Arrows 3 iliyoweza kuzuia.

Naona safari hii Iran anakung'uta hadi miundombinu ya kiraia hachahui pakupiga mamaee.
Vitu vinatua sio mchezo afu Israel wanasema wa Iran wanatuambia hio ni mwanzo tu bado hawajaona kitu
 
1000293133.jpg
Wakae tu huko kwenye MABANKA, kukikucha watafanya kazi ya kufukua vifusi ili watoke!!!
Alichofanywa kamanda wenu jana alikuwa chooni anakunya kachapwa live
Hakuna kupiga usiku kama mwizi
 
Tayari Iran ametuma awamu ya tatu ya makombora kuelekea Israel.

Tel Aviv inafuka moto muda huu na bado vyuma vipo njiani vinaenda Israel.

Kuna fal,a muisrael rangi ya tak,o alisema miundombinu yote ya kijeshi ya Iran imepigwa hivyo Iran hatakuwa na uwezo wa kurusha makombora tena.

Wamejibiwa chini ya saa 24 kuwatumia salamu kwamba Iran anaweza kupiga popote pale ndani ya Israel.
 
Iran anatuma vyuma kwenda Israel huku wamekaa mezani kunywa kahawa sio kama Israel hadi apeleke madege ndiyo ashambulie.

Dunia ya leo unapigana huku upo chumbani kwako unaendelea na mambo mengine sio hadi upoteze muda wako kwenda kupigana.

Israel bado anatumia mbinu za miaka ya 70 huko.
 
Back
Top Bottom