Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Unajua zile Iron dome na mifumo mingine yote ni geresha kwa vikombora vidogo ,ila Israel na iran wakiamua kutumia nyuklia zote zitapita ni madhara tu ...
Aisee wauane huko huko kwao sisi watuavlche tuna mashida zetu
NO REFORMS NO ELECTION
 
Israel mapema sana alikuwa ameshawahisha makamanda wa makobazi kwenda kula Bikra ila mpaka sasa sijaskia hata mwenyekiti wa mtaa hapo Israel ameumia hata mguu 😂
Sisi lengo letu ni watu wakatiane upya viwanja hapo Tel Aviv, hiyo habari ya kuua viongozi sisi hatuna mpango nayo.
 
Jamani mkumbushen kiongozi wa makobazi Mzee wetu Ayatollah kuyachaji vzr hayo makombora mana kama vile hayana chaji vzr hvy hayana madhara 😂
 
Back
Top Bottom