Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,120
- 104,646
Huo mji hua unashambuliwa sana ila mbona maghorofa marefu sana 😂 au mabomu ya magaidi hayana nguvuView attachment 3367234
😀😀Wamejikaza
Huo mji hua unashambuliwa sana ila mbona maghorofa marefu sana 😂 au mabomu ya magaidi hayana nguvuView attachment 3367234
😀😀Wamejikaza
We baniani kale pili pili unaonyesha unawashwaBenjamin netanyau amekimbilia kujificha yemen
Tayari huko kimeshawaka tel aviv ipo kwenye tahàdhariVitu vipo njiani kuelekea Israel labda katika saa moja tutanza kuona vikishuka hapo Tela Aviv
Unaumwa minyoo wwLeo ni siku rasmi kwa israel kufutika dunian inshallah
Hapo watu wanalegeza ADS kitu chenyewe kipo njiani.Naangalia Al Jazeera hapa, missile Moja ndo imepenya tel Aviv, tena wanasema ni kipande " part of missile"....... Unaangalia wapi huko na mie nihamie
Anyway Moshi nadhani ni madhara ya intercepted missiles!!
Vitu vimetua sehemu Israel wanasema ni A very sensitive we tulia tu usiwe na haraka.Huo mji hua unashambuliwa sana ila mbona maghorofa marefu sana 😂 au mabomu ya magaidi hayana nguvu
Yetu macho, ila Iran anashambulia Kwa kutuma missiles, Israel yeye anamfata Moja Kwa Moja kumpigia huko hukoHapo watu wanalegeza ADS kitu chenyewe kipo njiani.
Unadhani mbungi limeisha?
Na raia wa Tehran wanaishije?Mimi nachotaka kuona ni raia wakiishi kama digidigi hapo Tel Aviv.
Walisema Iran haina uwezo wa kujibu ngoja wsshuhudie shoo ya kiutu uzima...Hapo watu wanalegeza ADS kitu chenyewe kipo njiani.
Unadhani mbungi limeisha?
HahahahaWe baniani kale pili pili unaonyesha unawashwa
Itafahamika tu.Na raia wa Tehran wanaishije?
🤣🤣Naangalia Al Jazeera hapa, missile Moja ndo imepenya tel Aviv, tena wanasema ni kipande " part of missile"....... Unaangalia wapi huko na mie nihamie
Anyway Moshi nadhani ni madhara ya intercepted missiles!!
Ohooo uko wapi? Iran hii kwake ni revenge baada ya kuwaacha wavamizi wa kiyahudi, wawatandike usiku kucha. Wameanza wao sasa, mambo yako mubashara. Leo hakulaliki, jamani makobazi mimi nawaunga mkono japo si kobazi 😅😅😅😅😅😅😅Kweli?
Mtoa mada anahangaika na mods wabadili title em Ngoja tuone 😂Mods msibadili heading tafadhali
Yawezekana mabomu yao hayatui.Huo mji hua unashambuliwa sana ila mbona maghorofa marefu sana 😂 au mabomu ya magaidi hayana nguvu