Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

😅Umeanzaa,umeanzaa tena
Dozi tuu, asante babu Netanyahu

download.jpeg
 
Pakistan haitambui taifa la Israel mwanzoni kabisa ya miaka 1947 ,walikuwa na hostility mpaka leo ...Ila Pakistan hakutaka kuingia kwenye vita , Pakistan ana nyunklia ila haguswi ..Kama angekuwa anaingilia ugomvi moja kwa moja basi ingekuwa kama Iran .
Hahahaaa pakistani hana ata ma
Hakuna Cha intercepted missile makombora yamepiga kweli.
Ambulance zimeanza kuokota majeruhi Tel Aviv.View attachment 3367347
Hao wamejeruhiwa na vipande vya vyoo ambavyo vinapigwa na vyuma vya mabom yaliyotunguliwa wala sio fatal injuries.
 
Ndugu yangu makobazi, huna la kunifundisha em nendeni mkachaji hizo skrepa zenu ndo mzirushe tena 😂
Nenda ukapakwe mafuta huko, Ka mbali haukuhusu naona kinyeo kinakuwahsa ,fuatilia yako acha kujitekenya kama umekalia ukuni.
 
We hanithi ,nitajibu kwa ukali ,jino kwa jino hata baba yako ni hanithi .
Eh kumbe hadi dingi yangu nae alikuomba kitobo 😂 Dah Ila mzee wangu nae amezidi sasa 🙌 anawaomba Hadi walemavu 😂
 
Hahahaaa pakistani hana ata ma

Hao wamejeruhiwa na vipande vya vyoo ambavyo vinapigwa na vyuma vya mabom yaliyotunguliwa wala sio fatal injuries.
Shrapnel haitokani na interception peke yake.
Hata kombora likitua na kulipuka linaachia vyuma ambavyo vinaweza kukugonga.
Nimetuma picha zingine huko majengo yanaungua

Pia Pakistan usimchukulie mchumba bro.
 
Back
Top Bottom