Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Israel ikienda kushambulia tena Iran ijiangalie maana Iran imeshafanya restoration ya Air defense system zote tena usiku huu huu lamamayee😂😂😂😂.
Umeongea utadhani Ndo mara ya kwanza Israel kugawa dozi hapo makobazin
 
😅😅😅😅 anampenda mwenyewe, hiki kibabu, kitapata mateso zaidi ya Sharon, huyu hatokaa koma ila ataoza kiungo kimoja kimoja anajiona. Kwa kila mtoto wa Gaza, wanawake na wazee wasio na hatia anaowauwa kila sekunde.
Asante sana babu Netanyahu, mitano tena babu

download.jpeg
 
Shrapnel haitokani na interception peke yake.
Hata kombora likitua na kulipuka linaachia vyuma ambavyo vinaweza kukugonga.
Nimetuma picha zingine huko majengo yanaungua

Pia Pakistan usimchukulie mchumba bro.
Fatality ya tel aviv ni ndogo sana ukilinganisha na yaliyotokea tehran
 
Kibabu kioga kufa hiko, last time nyumba yake ilishambuliwa kalikuwa kameshakimbia. Hata sasa ukute kako US, ila ana siku yake tu.
JAna mchana ayatollah alikuwa anatwit kwenye bunker huku makamanda wake wanauwawa wakiwa chooni
 
😅😅😅😅 anampenda mwenyewe, hiki kibabu, kitapata mateso zaidi ya Sharon, huyu hatokaa koma ila ataoza kiungo kimoja kimoja anajiona. Kwa kila mtoto wa Gaza, wanawake na wazee wasio na hatia anaowauwa kila sekunde.
Ila kwa Gaza Yale mateso wanapitia aisee,sijui kama mbinguni tutaingia....
Yaan nikila msosi ukabaki,nikiwaza kutupa nakumbuka Gaza,somalia,congo...mateso wanayopitia wenzetu..mh!
 
Fatality ya tel aviv ni ndogo sana ukilinganisha na yaliyotokea tehran
Kaka mashambulizi yanaendela majibu yatatoka baada ya mashambulizi kuisha.
Ambulance ndio zinazunguka.

Kuna jengo hapo nyuma limepapaswa mpapaso sumu hadi umeme umezima kwenye hilo jengo.
Na sidhani kama kulikua hakuna watu.

Screenshot_20250613-224843.png
 
Akirudi na kitoto cha kiajemi ndiyo mtaelewa. Siwashi VPN muda huu, niko busy Tehran na Tel Aviv, kwahiyo sijaona ni nini ulichotuma. Nimeipata toka kwa mabeberu wenyewe.
Mabeberu wenywe wakina syrianlady 🤣
 
Ila kwa Gaza Yale mateso wanapitia aisee,sijui kama mbinguni tutaingia....
Yaan nikila msosi ukabaki,nikiwaza kutupa nakumbuka Gaza,somalia,congo...mateso wanayopitia wenzetu..mh!
Babu Netanyahu endelea kugawa dozi babu, bado marehemu anapumulia mashine huku

download.jpeg
 
Nenda ukapakwe mafuta huko, Ka mbali haukuhusu naona kinyeo kinakuwahsa ,fuatilia yako acha kujitekenya kama umekalia ukuni.
Njoo na ww nikutekenye, yangu nmeipaka pilipili Lazima ikupe raha Duniani
 
Ila kwa Gaza Yale mateso wanapitia aisee,sijui kama mbinguni tutaingia....
Yaan nikila msosi ukabaki,nikiwaza kutupa nakumbuka Gaza,somalia,congo...mateso wanayopitia wenzetu..mh!
Acha tu, mimi hata nikiona humu ndani, wanafanya mzaha kwa vita vya Gaza si sawa. Congo nayo mateso yasiyoisha, Sudan, Somalia hawa wameshindikana Ukraine na Russia aah!!!. Dunia si sehemu salama tena kwa kuishi. Wanaokufa bila hatia ni wengi sana. Tuombe mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom