Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Hahaha yeye si ndio mchezo wake kupiga majumba hujaona Tehran kapiga majumba mimi nataka aendelea kupiga majumba Iran ili Tela Aviv igeuzwe desert
Tunamuwinda KHUMANEI kwa Sasa.....bikra 72 wamewapokea leo viongoz wanne top leaders magaidi
 
Mm nataka hayo maghorofa ya Tel Aviv yadondoke Yote, bila hvy Iran n kama paka shume tuu
Hali ilivyo Tel Aviv...
Screenshot_20250613_220130_MailOnline.jpg
 
Iran imejivua aibu, inaenda kubaki kuwa Taifa lenye heshima yake. Unaenda mchezea chatu singeli tena kinyume nyume, acha wamezwe.
Mpaka muda huu mmeua kiongozi gn wa Israel, hata kama n balozi wa nyumba kumi kumi nitajie 😂
 
Haya mashoga ya humu jamii forum yenye elimu za kata yanakwambia Iran mnyonge , mbwa kabisa hizi , ndio maana nilishaachaga kuchangia mada za hii migogoro ya mashariki ya kati , vilaza wengi ndio wajuaji kwenye hili jukwaa na Udini wa kipumbavu kukashifu dini za wengine bila kuongea facts za mada husika .
 
Haipoi, tunashambulia tena hadi kieleweke, ila sielewi kwanini Israel asitume makombora bila ndege
 
Zika lipue vichaka
Wewe unasubiri kusimuliwa?

Watu wapo live kwenye tv channels mbalimbali wanaona vyuma vinavyoshuka ndani ya mji mkuu Tel Aviv na kusababisha majengo kuwaka moto.

Kufikia muda huu Israel anasema watu kadhaa wamejeruhiwa. Kama kawaida yao lazima wafiche vifo tofauti na Iran yupo open kwenye casualties.
 
View attachment 3367283

Leo huyu mzee amechafukwa hatari!!!
Huyu KHUMANEI siku zake zinahesabika huyu ndio anawacost wananchi wa iran...wananchi wenyewe hawataki kuongozwa kidini nchi inaongozwa kipumbavu watu Hawana uhuru na maisha yako..ndio mana hujasikia wakilalamika hapo wanaomba tu huyo KHUMA-NEI auliwe tu mana yeye ndio anawapa kichwa wengine , yeye mwenyewe kajificha
 
Huyo babu fala sana!

Yaani bado anaendelea kutumia Twitter?

Ndo maana wanaliwa vichwa kizembe sana.
Ila nadhani itakuwa sio yeye, itakuwa kuna kijana anahandle akaunti yake, maana sidhani kama kwa umri wake anaweza kuwa calm kiasi cha kutweet mfululizo tena wakati kama huu.
 
si mlikuwa mnanadi hivyo ? mnakana sa ivi ? Fattahs zaidi ya 1000 ziko njiani, zinatumwa kwa mafungu
hapa Iran anashusha zile Fattahs za mwaka 2020, za 2021 bado hazijaguswa
Sawa, mkiua hata balozi mmoja wa nyumba kumi kumi hapo Israel njoo uniite samia 😂
 
Nasikia Tel Aviv inatetemeka , halafu kuna kombora walilites juzi lina kichwa cha tani mbili lipo njiani...
 
Back
Top Bottom