dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,601
- 60,849
Hii Ndo Iran, Fattahs zaidi ya 1000 ziko njiani, zinatumwa kwa mafungu, hakuna THAAD ya kuzuiaVyuma vimeaanza kushuka Tel Aviv muda huu bila kupingwa.
Iran imetangaza muda huu ame launch awamu ya pili ya makombora kwenda Israel yaani hakuna kupoa usiku huu.
Waisrael wapo mashimoni kama panya kudadadekiii.
Hakuna cha Iron dome wala THAAD inayoweza kuzuia missiles za Iran.