Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

aaar.PNG



washeni THAAD
 
Oyaaaaaah weeeh!!!
Operation Promise 3 ndio imeanza rasmi, kama jirani yako ana WiFi sogea karibu ugongee MB, usikubali kupitwa kizembe, kama jirani yako ana runinga na una uhakika kalipia kisimbusi, nenda gonga mlango zama hadi sebureni, usione aibu, hii si ya kusimuliwa hii. Ni sehemu ya historia hii, oooh!
 
Aise kwakweli Israel na mabwana zake wana haki ya kuhaha kumhofia Iran maana hakuna mfumo wa anga wa Israel uliofanikiwa kuzuia mzigo kutua.

Sio Iron dome, THAAD wala Arrows 3 iliyoweza kuzuia.

Naona safari hii Iran anakung'uta hadi miundombinu ya kiraia hachahui pakupiga mamaee.
wamesahau kuwasha ile THAAD ? au ilirudi Marekani ?
 
mtaokota mpaka video za vichakani mwanaume kapiga mchana kweupe
Mnavizia usiku watu wako kwenye mabunker mnashambulia halafu mnajisifu tunamuweza mayahudi
Utoe na update za vifo vya majemedari wa israel pamoja na wanasayansi wao
Usikimbie uzi
Wakae tu huko kwenye MABANKA, kukikucha watafanya kazi ya kufukua vifusi ili watoke!!!
 
Back
Top Bottom