Mvua ya Fattahs inashuka, hiyo THAAD izuie hizo kama mwanaume kweli
God Bless Tehran
Iran kwa mdomo nawapa 100% Ila vita nyie n sisimizi tuu.Anao washirika wake naye mfano Russia. Ila Israel abako yeye kama yeye, atachapika. Ila Iran tuna vimdomo 🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Moto unawaka halafu wawe gizani?Tela Aviv inawaka moto kuna sehemu zingine wameisha poteza umeme wako gizani.
😅😅 Leo naona phase za kurusha makombora zitakuwa hata sita maana nasikia hapa awamu ya nne imetumwa ni mwendo wa kuwasha kiberiti pale Tel Aviv usiku kucha.tuwashe ile THAAD basi, raundi ya tatu hiyoo yaja
Huyo nafasi yake imeshazibwa mapema sana!
Unawapangia watu muda wa kujibu uchokozi wako, umepagawa mkongwe!?
Mbona skyline ya Tel Aviv iko vile vile tu?Tela Aviv inawaka moto kuna sehemu zingine wameisha poteza umeme wako gizani.
Halafu makamanda wa israel watakufa kama hawa?😅😅 Leo naona phase za kurusha makombora zitakuwa hata sita maana nasikia hapa awamu ya nne imetumwa ni mwendo wa kuwasha kiberiti pale Tel Aviv usiku kucha.
Naona maghorofa ya Tel Aviv yanawaka moto. Hii inaitwa ngadu kwa ngadu.
Hahaha yeye si ndio mchezo wake kupiga majumba hujaona Tehran kapiga majumba mimi nataka aendelea kupiga majumba Iran ili Tela Aviv igeuzwe desertHaya ngoja na Israel aanze haribu majengo yenu kama alivyofanya Gaza
Fattahs zaidi ya 3000 ziko store hazijui wapi pa kwenda😅😅 Leo naona phase za kurusha makombora zitakuwa hata sita maana nasikia hapa awamu ya nne imetumwa ni mwendo wa kuwasha kiberiti pale Tel Aviv usiku kucha.
Naona maghorofa ya Tel Aviv yanawaka moto. Hii inaitwa ngadu kwa ngadu.
USA baby 🇺🇸🇺🇸BREAKING:
The U.S. starts moving its naval assets to the Middle East.
The USS Thomas Hudner and another destroyer have been sent toward the region.
They are expected to shoot down any Iranian ballistic missiles fired toward Israel or U.S. forces in the region.
Halafu makamanda wa israel watakufa kama hawa?Round ya 3 iko njiani, tuwashe zile THAAD basi
Mfumo upi mkuu? Watu wapo live hapa wanasema mifumo yote mitatu mikubwa ya Israel imeshindwa kuzuia makombora.Mfumo wa Israel upo thabiti.Majibu ya Israel mtaomboleza
Mm nataka hayo maghorofa ya Tel Aviv yadondoke Yote, bila hvy Iran n kama paka shume tuuKuna makombora yaliyozuiliwa na kuna yaliyopita. Na ndiyo wameanza, hii itakuwa usiku kucha.
Nikiripoti tokea kwa kamanda mpya wa usalama Iran 😁