Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,815
- 14,440
- Thread starter
- #101
Bora ibaki vile vile iliMods msibadili heading tafadhali
wakanisa wapate nyimbo hahahaha
Bora ibaki vile vile iliMods msibadili heading tafadhali
Iran ataishambulia Iran!!!😄😄😄😄😄Vitu vipo njiani kuelekea Israel labda katika saa moja tutanza kuona vikishuka hapo Tela Aviv
Shem Ila nyie makobazi hamna hamshahamsha, mmepoa sana 😂 tatizo lenu kelele sanaOhooo uko wapi? Iran hii kwake ni revenge baada ya kuwaacha wavamizi wa kiyahudi, wawatandike usiku kucha. Wameanza wao sasa, mambo yako mubashara. Leo hakulaliki, jamani makobazi mimi nawaunga mkono japo si kobazi 😅😅😅😅😅😅😅
Ukweli wa hayo maghorofa yao utafahamika leo!Huo mji hua unashambuliwa sana ila mbona maghorofa marefu sana 😂 au mabomu ya magaidi hayana nguvu
Tayari vitu vimeshafika Tel Aviv
Mboni Al Jazeera English anga la Tel Aviv lipo kawaida tuOhooo uko wapi? Iran hii kwake ni revenge baada ya kuwaacha wavamizi wa kiyahudi, wawatandike usiku kucha. Wameanza wao sasa, mambo yako mubashara. Leo hakulaliki, jamani makobazi mimi nawaunga mkono japo si kobazi 😅😅😅😅😅😅😅
Kobas wa Mabwepande huyo...Heading"Iran itashambulia Iran",mtakuja mfe kwa presha za mambo ya,"nje za nchi nyinyi",😅😂🤣
Leo mmepata nyimboMtoa mada anahangaika na mods wabadili title em Ngoja tuone 😂
Shem mimi siyo kobazi, ila shabiki yao tu. Mimi kila kwenye haki utanikuta. US anavyomsaidia Israel amtandike Iran, vituko alivyofanyiwa vya kudunguliwa ndege ya Iran, kuwekewa vikwazo aah niko huku sana.Shem Ila nyie makobazi hamna hamshahamsha, mmepoa sana 😂 tatizo lenu kelele sana
Na jana umewapa kipigo 🔥Leo mmepata nyimbo
Itakuwa unaangalia Youtube, hauna hata jirani mwenye TV mkongwe!?Mboni Al Jazeera English anga la Tel Aviv lipo kawaida tu
Bc na Iran nae atafute sponsa kama mnaona wivu Israel kusaidiwa 😂Shem mimi siyo kobazi, ila shabiki yao tu. Mimi kila kwenye haki utanikuta. US anavyomsaidia Israel amtandike Iran, vituko alivyofanyiwa vya kudunguliwa ndege ya Iran, kuwekewa vikwazo aah niko huku sana.
Kuna makombora yaliyozuiliwa na kuna yaliyopita. Na ndiyo wameanza, hii itakuwa usiku kucha.Mboni Al Jazeera English anga la Tel Aviv lipo kawaida tu