Hata mzingira pia ni mazuri ya kumuwezesha kusoma bila kikwazo chochote,hutajuta kumpeleka Mbeya japo kuna majira kunakuwa na baridi kali.Mpeleke mbeya mkuu taarifa zinadai shule ile ni nzuri kuanzia elimu hadi malezi
Pia mwanae ni kipanga hasa maana nafasi St Francis sio mchezoKwahiyo umekuja kutudolishia kwamba una mpunga shazi eeehhhh....🙂
Kilichonifurahisha ni kujua binti ana akili kuliko mzaziMsaada. Binti yangu amechaguliwa shule zote mbili, ipi shule bora na sababu na mapungufu
Ahasante.
Ni aibu kwa mzazi anayejielewa kuulizia ampeleke wapi mwanae anapopata nafasi katika hizi shule mbili.Hata mzingira pia ni mazuri ya kumuwezesha kusoma bila kikwazo chochote,hutajuta kumpeleka Mbeya japo kuna majira kunakuwa na baridi kali.
Kama ni mkatoliki mpeleke Mbeya. Kama ni kawaida tu mpeke Feza. Kama ni elimu ya kawaida. Zote ziko vizuriNi aibu kwa mzazi anayejielewa kuulizia ampeleke wapi mwanae anapopata nafasi katika hizi shule mbili.
Yani umpeleke mwanao akasome na mtoto wa Mwigulu?
Acha kufananisha St. Francis na vitu vya kijinga.Msaada. Binti yangu amechaguliwa shule zote mbili, ipi shule bora na sababu na mapungufu
Ahasante.
Umenishinda tabia mzee mwenzangu.. 😀Ni aibu kwa mzazi anayejielewa kuulizia ampeleke wapi mwanae anapopata nafasi katika hizi shule mbili.
Yani umpeleke mwanao akasome na mtoto wa Mwigulu?
2.8m nami najidai nina binti pale F4.St Francis ada umefika ngapi sasa?
Muandae Vema Mtoto Ili Akienda Kwenye Mtihani Pale Achaguliwe2.8m nami najidai nina binti pale F4.
watu wapo siriasi na elimu wewe unapuyanga tuMpeleke kantalamba sec.school hutojuta atatoka huko anajua na kuroga
atatusaidia kuiroga CCM 2025
Hii inamaanisha nini? Tunaomba ufafanuzi ili nasi wengine tujifunzeAcha kufananisha St. Francis na vitu vya kijinga.