Ipi bora kati ya St. Francis Girls Mbeya na FEZA Girls Dar es Salaam?

Feza mtoto atapata exposure kubwa sana Hadi anakuwa ameshazoea mengi pia kukutana na watu wazito hiyo connection kuliko apate A zote with little exposure akienda chuoni anakuwa fungulia mbwa
 
Hii inamaanisha nini? Tunaomba ufafanuzi ili nasi wengine tujifunze
Hii shule ni zaidi ya shule, kila mtu anawajibika kuanzia mzazi mpaka mlinzi wote ni order and discipline. Siyo unalipa ada basi,wewe unatulia na kuanza kutamba tamba.
 
Feza mtoto atapata exposure kubwa sana Hadi anakuwa ameshazoea mengi pia kukutana na watu wazito hiyo connection kuliko apate A zote with little exposure akienda chuoni anakuwa fungulia mbwa
uchawa 😂😂
 
Feza girls

20220115_224057.jpg


20220115_224104.jpg


20220115_224110.jpg


20220115_224114.jpg
 
Mi naona kati ya hizo mpeleke ambayo unaona ipo karib na ww
Yaan nipo dar mtt kapata feza nijiangaishe na mambo ya mbeya over my dead body
Shule nzuri ss hv zipo kila mahali maadili ni mtt alivyolelewa
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom