Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 306
- 815
Mdogo wangu amepata Division 1 ya point 16,,, physics C, chemistry B, biology B, mathematics C. Mwanzo alichaguliwa CBG kwenye shule ambayo haina PBC. Yeye anataka akasome PCB, tunajaribu kumtafutia shule ya serikali kwa hapa Dar es salaam.
Naomba msaada wa kuzijua shule za serikali zenyewe kombi ya PCB kwa Dar es salaam.
Naomba msaada wa kuzijua shule za serikali zenyewe kombi ya PCB kwa Dar es salaam.