iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Mkuu mi nataka nimtafute tumalize ubishi kwa dau lolote tena nampa hii yangu wala sihangaiki
Ninachojua watu duniani sasa hivi wanajivunia kujailbreak baadhi ya versions za iOS na sio kuhack security ya iCloud, hapo nyuma kulikuwa na scammers kibao waliokuwa wanajidai wanatoa iCloud walivyoshitukiwa wakapungua
Kama jamaa ataweza ninamhakikishia atakuwa milionea ndani ya mda mfupi kwa sababu mimi nitamtafutia wateja 100 ndani ya wiki mbili

Me kwa kila iphone ntamlipa $700 akitoa icloud
 
Natumia Iphon 4 najaribu kushusha movie but inazingua mweny uelewa zaid jins ya kuweza ku download movie/series plss
 
waheedy kama unachoongea kinatoka moyoni tuwasiliane mi nataka $300 tu namba yangu hiyo 0714648822

Mkuu kutoa iCloud $300?
Kutoa iCloud locked iPhone = $300 = used iPhone na used iPhone isiyokuwa locked == $300 or less depending on condition of the phone. Hapa tayari nina wasiwasi, maana kwa iPhone 4 hadi 4s mtu anapata mpya dukani hebu kuwa logic tufanye business mkuu
Cc: Jestkilla
 
Last edited by a moderator:
Me iphone yangu iko locked na password, mtu akikosea password front cam inapiga picha na kutuma kwenye email yangu, akinajibu kuzima inafanya hivyo pia. So ikupita kwa mtu unayemfahamu, ni rahisi kuipata. Au hata kutoa matangazo ya picha za mwizi
 
Msaada kidogo wakuu,baada ya kuupdate iOS 7-9 kwenye iPhone 5s Apps store imekuwa ikifunguka hakuna apps zinazoonekana,shida nn hapo?!
 
Kwann iPhones huwa znapata moto sana unaposwtch data on kwenye mtandao? kuna cha kufanya kuepuka hili ukiwa mtandaoni?

Msaada tafadhali
 
Mkuu pole kwanza, kosa wanalofanya watumia wa iPhone pindi wanaponunua ni kuweka passcode, hii inafanya kuwa ngumu kuitrack simu yako pindi unaibiwa, mfano mi iPhone yangu sijaweka passcode yoyote na bado ipo secured kwa sababu bado iCloud inafanya kazi kama kawaida, pindi ikiibiwa bado mwizi wangu ataendelea kuitumia kama kaiwada na nina chance kubwa ya kumshika nayo mkononi

Big mistake..usijefanya ivo tena unless awe mgeni na iDevices' coz aki-sign out iCloud bas ishakua yake..bora ya passcord mtakosa wote coz hawez kuifkia iCloud ili ai-sign out acc yako!

Usiiache bila passcord utaikosa kabisa mkuu..
 
Me iphone yangu iko locked na password, mtu akikosea password front cam inapiga picha na kutuma kwenye email yangu, akinajibu kuzima inafanya hivyo pia. So ikupita kwa mtu unayemfahamu, ni rahisi kuipata. Au hata kutoa matangazo ya picha za mwizi

Hii setting yake inakuaje mkuluu?
 
Salama wakuu, hivi tz iphone inesharuhusu 4g au LTE...maana ni mpaka apple i-certify mtandao ndo wanatoa software ya ku enable LTE
 
marekani bna ame plan kucontrol ulimwengu tu mana ametengeneza most expensive equipment Apple devices na kuzipandikiza firmware za spy akijua fika wataoweza afford kununua ni watu wenye status ya juu ambao ndio controller wa society mfano politicians,Lawyers, Engineers na doctors anajua fika aki wapekua watu hawa atapata usefull info through mawasiliano yao na kaweka security kali kabisa i cloud yani mean ata kibaka apole atarudisha kwa owner au atupe mpaka sasa kujail break I cloud ni changamoto kwa developer kwa kweli marekani anaona mbali sana

Nakubaliana na wewe Mkuu kwani kuna kipindi flani nilipata Habari za Samsung kua TV zao zina uwezo wa kurekodi mazungumzo yenu/yetu na taarifa zake zinatumwa kiwandani hivyo ulisemalo litakua ni sahihi kwa asilimia kubwa tu.
 
Back
Top Bottom