iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Msaada kidogo wakuu,baada ya kuupdate iOS 7-9 kwenye iPhone 5s Apps store imekuwa ikifunguka hakuna apps zinazoonekana,shida nn hapo?!
Pole mkuu hebu hakikisha network yako ipo strong au ikiwezekana tumia wifi, pia kama unatumia iOS 9 fanya ku update mpaka iOS 9.1 ambayo ni latest version
 
Big mistake..usijefanya ivo tena unless awe mgeni na iDevices' coz aki-sign out iCloud bas ishakua yake..bora ya passcord mtakosa wote coz hawez kuifkia iCloud ili ai-sign out acc yako!

Usiiache bila passcord utaikosa kabisa mkuu..

Mkuu huwezi kusign out iCloud bila kuingiza iCloud password, kama ulikuwa na hofu hii kuwa free sasa
 
Big mistake..usijefanya ivo tena unless awe mgeni na iDevices' coz aki-sign out iCloud bas ishakua yake..bora ya passcord mtakosa wote coz hawez kuifkia iCloud ili ai-sign out acc yako!

Usiiache bila passcord utaikosa kabisa mkuu..
Acha uongo wewe unataka kuwapotosha wenzio
 
Iphone ni simu kabisa so hizi icloud mtu akichukua poteza simi ni ngumu kutoka kabisa au kuna njia za kufuatilia
 
Me iphone yangu iko locked na password, mtu akikosea password front cam inapiga picha na kutuma kwenye email yangu, akinajibu kuzima inafanya hivyo pia. So ikupita kwa mtu unayemfahamu, ni rahisi kuipata. Au hata kutoa matangazo ya picha za mwizi

Mkuu samahani naomba msaada wa hizi setting nazipataje, iphone 6 ios 9.1
 
Big mistake..usijefanya ivo tena unless awe mgeni na iDevices' coz aki-sign out iCloud bas ishakua yake..bora ya passcord mtakosa wote coz hawez kuifkia iCloud ili ai-sign out acc yako!

Usiiache bila passcord utaikosa kabisa mkuu..
Hawa wana masihara, naona icloud online iko vizuri unaweza fanya chochote incase simu imeibiwa. fungua web browser yako zen icloud log in kuna option nyingi sana pale za kufanya. kama unataka kuenjoy smart phone basi njoo apple. hizo takataka zingine waachie michepuko
 
Yaani Kama umesahau security code ya icroud au umeuziwa kanyaboya, wanasema hata wao wenyewe watengenezaji wa iphone, wamekiri hawawezi kufungua, hivyo sahau...
 
Natumia ipad 4, ya apple. Nauliza je ina support Whatsapp ? Na ni application ipi kwenye application store ya apple ina support ? Maana nyingi ninazo download humo, zina goma...msaada tafadhali...
Wakuu..
 
whats app ni kwa ajili ya iphone tu , kuingiza whatsapp kwenye ipad ina mchakato ikiwa ni pamoja na kujail break
 
kumekuwa na post nying kuhusiana na iphone, uzi huu n maalumu kwa ajili ya mambo yote yahusuyo iphone na brand zote za aple. tupi maswal ama maujanja kuhusu @ios na mambo mengine
HADI MDA HUU HUTUJAPATA UFUMBUZI WA HAKIKA WA KUTOA I CLOUD EPUKA MATAPEL wataalamu karibun
kuna jamaa anataka niuzia desk top ya apple [mac] mouth na key pad yake tu used tsh ngapi atakuwa hajanipiga
 
Mwenye kioo cha iphone 4s cheupe anichek,,,,lakini pia wale wenye simu zao zina icloud nichek inbox icloud inatoka!!
 
Mwenye Display Ya I phone 6 Anichki ...My phone Imeaguka kioo chote kimekwisha
 

Attachments

  • 1448171766951.jpg
    1448171766951.jpg
    39.8 KB · Views: 362
Back
Top Bottom