iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Aggrey kariakoo icloud zinanyofolewa deile

Acha maneno weye
I cloud hii ni mwisho wa shughuli, haifunguliwi kizembe hivyo,
Kwa ufahamu tu, Pistorius mkimbiaji mlemavu wa South Africa, baada ya mauaji ya girl frnd mwanamitindo Reever mahakama ilitaka kujua wiki moja kabla aliwasiliana nini na nani , na baada ya mauaji aliwasiliana na nani kwa Simu yake ya IPhone , IT expert wa S/Africa walishindwa jambo hili kwa maana ya hizi passcord na I cloud,
Mahakama ikahitaji serikali iombe msaada kwa Apple wenyewe US, Apple walikataa kwa maana ya siri ya mteja wao, Kiufupi haikufahamika mpaka kesho,
Kuna mifano mingi huko uchina na German ukihitaji tutaiweka hapa,

So tusije hapa na habari za mtaani,Android takataka inafunguliwa popote na si OSi, Soma kidogo kuhusu I cloud how it operate security yake nk,
 
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia

Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud

So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo inauzwa na ina icloud lock naomba anisaidie kunijuza hata kwa pm....... Tafadhali
Zawadi nono itatolewa
 
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia

Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud

So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo inauzwa na ina icloud lock naomba anisaidie kunijuza hata kwa pm....... Tafadhali
Zawadi nono itatolewa

Pole Xna Bro Daah! Tuna Amin Utaipa Huja I Trace Location? Weka Matangaz Ya Kuhtaj Sim Na Iwe Na Sifa Kama Yako Myb Utaipta
 
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia

Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud

So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo inauzwa na ina icloud lock naomba anisaidie kunijuza hata kwa pm....... Tafadhali
Zawadi nono itatolewa

Nenda Kkoo mtaa wa agrey ujaribu kuuliza unataka icloud locked iphone 6+
 
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia

Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud

So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo inauzwa na ina icloud lock naomba anisaidie kunijuza hata kwa pm....... Tafadhali
Zawadi nono itatolewa

Mkuu pole kwanza, kosa wanalofanya watumia wa iPhone pindi wanaponunua ni kuweka passcode, hii inafanya kuwa ngumu kuitrack simu yako pindi unaibiwa, mfano mi iPhone yangu sijaweka passcode yoyote na bado ipo secured kwa sababu bado iCloud inafanya kazi kama kawaida, pindi ikiibiwa bado mwizi wangu ataendelea kuitumia kama kaiwada na nina chance kubwa ya kumshika nayo mkononi
 
Mkuu pole kwanza, kosa wanalofanya watumia wa iPhone pindi wanaponunua ni kuweka passcode, hii inafanya kuwa ngumu kuitrack simu yako pindi unaibiwa, mfano mi iPhone yangu sijaweka passcode yoyote na bado ipo secured kwa sababu bado iCloud inafanya kazi kama kawaida, pindi ikiibiwa bado mwizi wangu ataendelea kuitumia kama kaiwada na nina chance kubwa ya kumshika nayo mkononi

Mmh mmh is it? Mimi nimelink iPhone,iMac & iPad. Hata ikiwashwa hukooo mbali let say mwanza na mm niko Dar. Naweza track kujua iko wapi hata activities za hii simu vs imac & ipad. Nadhani sijakuelewa vzr
 
Mmh mmh is it? Mimi nimelink iPhone,iMac & iPad. Hata ikiwashwa hukooo mbali let say mwanza na mm niko Dar. Naweza track kujua iko wapi hata activities za hii simu vs imac & ipad. Nadhani sijakuelewa vzr

Hujaelewa sim ukitia lock ile password ya ku access apps bas ikiibiwa ina maana kama ilkua offline kwenye internet huwezi jua iko wap na inakua mwsho wa hyo sim kuipata ndo mana anashaur ww sign in Icloud au find my iphone then ile passwed lock weka tu slide to unlock then ikiibiwa n kopo
 
Nashukuru wadau kwa maoni yenu
Kesho jmatatu naamkia Agrey kuulizia kwa mafundi

Nakubaliana na hoja ya kuweka password haileti matokeo linapokuja swala la kuitrack simu maana hana access ya kuwasha data hivyo kuitrac inakua ngumu ikiwa offline
 
Iphone 4 unlocked.... 180k... Used...

Usipate tabu kuhangaika na locked iphones... Njoo upate iphone unlocked
 
Kwa anaehitaji kutoa iphone lock screen na icloud security tuwasiliane kwa namba hii 0714648822
 
Hiyo i cloud lock inatoka tena kabisa, iphone zote zinazotumia ios 6 kushuka chini zina uwezokano wa kufunguliwa icloud kwa kutumia IMEI namba tuwasiliane 0714648822
Zenye IOS 6 kushika chini zilishatoswa na Apple nadhani ni kuanzia iphone kushuka chini hizo zimepigwa kibuti, ila iphone 4s kwend juu hizo jamaa bado wapo nazo na ndio maana juzi imetoa ios 9.1 nawatu wana uodates
 
Zenye IOS 6 kushika chini zilishatoswa na Apple nadhani ni kuanzia iphone kushuka chini hizo zimepigwa kibuti, ila iphone 4s kwend juu hizo jamaa bado wapo nazo na ndio maana juzi imetoa ios 9.1 nawatu wan uodates

Hizi iphone ni trick phone ambazo mpaka sasa kuna njia kama 3 za uhakika za kupenyeza unlock sakina, na kama apple watazifunga hizi njia zote 3 kwa wakati 1 kuboresha security later simu ya iphone itapoteza ubora wake kwa 25% mpaka 30% na Apple hawapo tayari kwa hilo na ndio maana wanajaribu ku upgrade hizi ios version ili kuchelewesha muda kwamba mpaka uki hack security yao nao pia wanakua wameshaiboresha kwa njia nyingine. Kwa mwenye iphone yenye tatizo lolote la security tuwasiliane tufanye kazi uhakika 100% 0714648822
 
Back
Top Bottom