majay86
Member
- Aug 30, 2013
- 84
- 11
Naweza unlock iphone 5 ya ktk UK kwa bei gani hapa tz na wapi??
Upo mkoa gani? Ni pm tumalize tatizo
Naweza unlock iphone 5 ya ktk UK kwa bei gani hapa tz na wapi??
Kwa anaehitaji kutoa iphone lock screen na icloud security tuwasiliane kwa namba hii 0714648822
Huu utapeli sasa
Kaka una ujuzi na software za smart phone? Ni vizuri ukataka kujua kwanza ndio ubishe, tofauti ya ios na android katika security system ni kwamba android ni compatible system kwenye Nguni mzima wa factory reset lakini ios ina mianya ipatayo mi 3 ambayo inachelewa kuwasiliana kutoka katika main software kwenda kwenye program na huo ndio udhaifu unaotumiwa kufanya chochote katika iphone na ios zote, hakuna kinachoshindikana katika swala zima la tecnology lisikutishe hilo jina la IPHONE
basi lete milioni 5 nikupe simu ya 2017...
Kwa anaehitaji kutoa iphone lock screen na icloud security tuwasiliane kwa namba hii 0714648822
Kwahy Unatak T Kutwambia T Kwa Ufup We Una Weza Toa Simu Ilyo Fungwa Na I Cloud Na Ikafanya Kaz?,
sio swala gumu kama mtazamo wa watu wengi ulivyo,iPhone in simu kama simu nyingine tofauti yake imeboreshwa zaidi katika upande wa apps na security inawezekana kuondoa screen lock na icloud kwa 100%
Sawa Unawatej Weng Humu Tupe Mrejesho Umewafanyia Kaz Na Iphon 6 Zao Maan Utakuw Umesha Pata Tenda ,ama **** Kuna Raia Amehudumiwa Na Ndugu Yet Wa Kutoa Passcod Na I Cloud Aj Atup Ushuhuda
Sawa Unawatej Weng Humu Tupe Mrejesho Umewafanyia Kaz Na Iphon 6 Zao Maan Utakuw Umesha Pata Tenda ,ama **** Kuna Raia Amehudumiwa Na Ndugu Yet Wa Kutoa Passcod Na I Cloud Aj Atup Ushuhuda
Me nataka bas mercedes benz 2017 ......
bado sijamuhudumia mtu yeyote hii post nimeiona juzi lkn kwa atakaeona anahitaji Huduma ya simu yake atanitafuta
Mkuu seriously ?-???-???-?? nikupm!??
Jamani kwa anayeweza kunisaidia kufungua apple account anisaidie maujanja ya kufungua bila kulipia maana ninejaribu kigumu gum imekataa nikienda kwenye email kufanya verification inaniambia user name incorect, atakayeweza kunisaidia kufungua bila malipo itakua poa sana
Kaka una ujuzi na software za smart phone? Ni vizuri ukataka kujua kwanza ndio ubishe, tofauti ya ios na android katika security system ni kwamba android ni compatible system kwenye Nguni mzima wa factory reset lakini ios ina mianya ipatayo mi 3 ambayo inachelewa kuwasiliana kutoka katika main software kwenda kwenye program na huo ndio udhaifu unaotumiwa kufanya chochote katika iphone na ios zote, hakuna kinachoshindikana katika swala zima la tecnology lisikutishe hilo jina la IPHONE
sio swala LA kubahatisha itakuwa vizuri ukija kuwaletea ushuhuda was JF ni pm
Mkuu pole kwanza, kosa wanalofanya watumia wa iPhone pindi wanaponunua ni kuweka passcode, hii inafanya kuwa ngumu kuitrack simu yako pindi unaibiwa, mfano mi iPhone yangu sijaweka passcode yoyote na bado ipo secured kwa sababu bado iCloud inafanya kazi kama kawaida, pindi ikiibiwa bado mwizi wangu ataendelea kuitumia kama kaiwada na nina chance kubwa ya kumshika nayo mkononi
Mkuu passcode unayoingelea ile ya kwenye screen ya kuacess files or na ile ya kwenye apps unavyotaka kupurchase or zote sijakuelewa
Mkuu hii ni dunia ya utandawazi, huwezi kudanganya watu kwa kigezo "hakuna kinashindikana chini ya jua"
Kutoa icloud lock ni swala la kiteknolojia halihitaji miujuza kama swala la imani, ni ama unajua fomula ya kutoa au hujui..... Period
Unataka kutuambia chini ya hili jua ni wewe pekee ndio unaweza kutoa icloud lock kwenye iphone 6!!!!!!?
Prove me wrong kwa kunionyesha mwenzio mmoja tu anayetoa
Mind that hii ni dunia ya utandawazi