wadau nahitaji iphone kuanzia 5s,6 au 7 mwenye nayo aniambie sh ngapi
Upo wapi mkuu.Kuna anae weza ku unlock I cloud kweny I phone s5
Upo wapi mkuu.
We comment yangu imekuuma nini? Kanunue tecno yako ya bei ya iphone panya buku we!




Security is my number 1 priority baba ake usipanik na kua friendly user hapa ndo kwao hyo 3G nimeitumia enz zile huna hata demu nimeitumia 3G mwaka 2008 mwezi wa 11.hapa nilipo nina iphone 7 zipo 2 moja nimeiweka tu kwa box pia nina almost gadget zote za apple from tablet laptop watch na vinginevyo huniambii kitu.Teamapple baby kila mwaka nahis nakua mtz wa kwanza kua na sim zao zikitoka hua sijali bei.





Kwanini unajuta mkuu?Marafiki zangu habarini
Naomba msaada wenu natumia iPhone 6s
Baada ya Apple kutoa iOS ya 11 nami nikai-update yangu kutoka 10 kwenda hiyo ya 11
Kiukweli kutoka moyoni mwangu najuta
Je hamna namna ya kurudi ile iOS ya 10 tena?
Msaada tafadhali
Kwanini unajuta mkuu?
Kuna tatizo gani na ujue lazima u-update usipo update baada ya muda utakuwa unapata errors nyingi kutoka kwa apps mbalimbali.
Kurudi nyumba haiwezekani labda uwe ulisave shsh blob kabla ya kufanya hiyo update
Mkuu wewe ni mgeni kwa iphone? Uwa ios inaweza kuwa na errors so wata release updates mara kwa mara kufix error na security holes mpaka ikae sawa.Kiukweli nikushukuru sana Ila ktk hii iOS ya 11 kuanzia muonekano wa simu inavyokuwa ni mbaya naamini hadi utendaji kazi wake huenda ndiyo maana iliwachukua wiki 1 kutoa ile ya 11.0.2 na sasa wapo 11.0.3 naamini hata wao wanajua kabisa kuwa ktk hii kuna dosari
Mkuu wewe ni mgeni kwa iphone? Uwa ios inaweza kuwa na errors so wata release updates mara kwa mara kufix error na security holes mpaka ikae sawa.
Personally sijafanya update bado niko 10.3.3 ila soon nita update sijapata wireless nzuri
Ina bugs ndiyo, huwezi kurudi mkuu kama hukusave shsh blob.Hahahahaha Nope sio mgeni na pia naamini nawe unatumia hiyo ya 10 sasa siku ukiingia hii ya 11 utanambia tu
But kwa sasa wewe endelea tu na hiyo ya 10
Ina bugs ndiyo, huwezi kurudi mkuu kama hukusave shsh blob.
Sema wape mwezi tu wafix hizo bugs maana naona soon watatoa release ya 11.04 naona wana update kuondoa bugs then itakuwa sawa tu.
Kuhusu muonekani ni upya tu maana watu tunapenda tumia tulivyozoea sana kama windows 8 ilivyopata shida kisa watu wamezoea 7