JOH CARLOS
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 579
- 270
ivi iphone 5s ndo betr zake hazifikish hata nusu siku au ninunue tuu betr nyingne
Mkuu bado unatumia IPHONE5?ivi iphone 5s ndo betr zake hazifikish hata nusu siku au ninunue tuu betr nyingne
Mkuu bado unatumia IPHONE5?
Any way nenda kariakoo kabadili battery
Mkuu bado unatumia IPHONE5?
Any way nenda kariakoo kabadili battery
Huwezi kuroot iphone bali ni kujailbreak. Kuroot ni kwa simu zinazotumia Os ya AndroidMsaada wa kuroot iphone
kama mdau alivyosema kunaitwa kujailbreak na siyo kila ios unaweza kuijail break nyingine hasa latest hawajatoa namna ya kuzijail break wazee wa kazi wakina TaiGMsaada wa kuroot iphone
ukaaji wake wa chaji
camera yake
vitu vinavyozinguaga6s ina camera nzuri kuliko iphone 6Wadau ninataka ninunue iphone 6 au 6s ningependa kufahamu yafuatayo juu ya simu hii..
ukaaji wake wa chaji
camera yake
vitu vinavyozinguaga
Nawasilisha!!!
Kwa nini usidownload iTunes app kwenye simu badala ya kupitia computer?Kuzingua ni mwendo wa itunes lazima uwe na computer kuweka nyimbo, videos, ila computer ambayo haina itunes utaweza kucopy pictures pekee sababu inafungua upande wa picha.
Apple iPhone 6s vs. Apple iPhone 6 - GSMArena.com
Hiyo sijawah tumia ya kua na itunes kwenye simu, so ukiweka itunes kwenye simu unaweza kudownload miziki na video na kuzifuta unapohitaji???Kwa nini usidownload iTunes app kwenye simu badala ya kupitia computer?
Hiyo sijawah tumia ya kua na itunes kwenye simu, so ukiweka itunes kwenye simu unaweza kudownload miziki na video na kuzifuta unapohitaji???
iTunes ni special kwa ajili ya ku-synchronize na ku-create backup ya iPhone yako kwenye PC.
Kwa kufanya synchronization unaweza kuingiza music au video kwenye iPhone kutoka kwenye PC na pia unaweza ku-delete music na video kwenye iPhone
Ip box 90. Percent itakubaliWadau naomba msaada jins ya ku bypass passcode kwenye iphone 6s haijawa locked na icloud.natanguliza shukran
Au flash ila unatakiwa usiguse userdataWadau naomba msaada jins ya ku bypass passcode kwenye iphone 6s haijawa locked na icloud.natanguliza shukran
Yes nafahamu ikiwa kwenye pc ndio natumia hivyo,ila mdau kasema unaweza iweka kwenye simu na ukawa una download miziki ndio nimemuuliza inafanya kazi hivyo kweli???
Habari wadau, simu yangu ya Iphone 5s inatatizo lifuatalo:-
Inajizima kila wakati na sehemu ya Betri inaonesha Empty na kurudi tena Full.
Hali hii inajitokeza mara kwa mara nimejaribu kuireset lakini tatizo bado linaendelea.
Naombeni Msaada tafadhali.
Asanteni.