iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Bro samahan naomba share link ya iyo video cache niweze ipata playstore maana nmeisearch lkn cjaiona nataka ni download

IMG_2937.jpg
 
Vipi kwa ipad wakuu msaada upo? Mi wamenilock apple id nilikuwa wa nakosea kuweka password sasa inataka ni unlock apple id kwanza kwa kutumia email au security questions.. Sasa kwenye email ndo wanatuma email kwenye address hiyo ambayo ipo locked na security questions nakumbuka chache swali linaloanza skumbuki niliweka nini.. Nilijaribu ku reset kwa kutumia itune ila kwenye kuset upya ipad inataka lazima uweke hiyo apple id kwanza na kila nikiweka inaniambia ni unlock kwanza..

Sent using Jamii Forums mobile app
Reset password kwa kutumia alternative email ulijaza kama backup ya kurescue password unapokuwa umesahau, ni vizuri ukatunza kumbukumbu zako muhimu kama upo serious kila unapofungua account yoyote
 
Wakuu iphone 5s haisomi line inaandika "searching" nishaazima na kuiwasha still haisomi mtandao, msaada tutani. @Jestilla

Pole Mkuu, kama unaweza kutoa historia ya simu, ingesaidia kutoa mwanga/chanjo cha tatizo.

Mfano:
1. Kama imetoka nje, tatizo linaweza kuwa imelokiwa network.

- Ku-unlock network: itategemea na simu, mtandao na nchi iliyokuwa inatumika.

- Namna ya ku-unlock: mafundi wengi wa simu wanafanya hiyo kazi. Au kama unaweza kufanya malipo online unaweza kufanya mwenyewe ILA KUWA MAKINI, mtandaoni kuna wajanja wengi.

2. Kama tatizo halimuwepo awali inawezekana ni tatizo la hardware.

- Waone mafundi kwa msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom