iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

I Pad Pro 9.7" 16 GB on sell.
-------
Still new bought from first batch of its product in Europe.
2 Million negotiable.
Phone 0753005497
Mwanza
-----------
Reason for sale I want to change to 64 GB or more.
 
Jamani mm naombeni anaejua namna rahisi ya kuweka wimbo ninaoutaka uwe kama ringtone kwenye iphone,nimejaribu kugoogle kwenye net wameelekeza ila mm nimejaribu nimeshindwa maana ni njia ngumu sana

Mpka ununue au ujailbreak
 
simu yangu imezima ghafla, nilikuwa naicharge.... Tatizo linaweza kuwa nini?. ni iphone 4
 
ea48a2a992c5a008e97a0bf9e66ade89.jpg


Wakuu msaada nikitaka kupiga pic na camera ya nyuma inaonesha giza tuh nkiweka ya mbele inakubali nkirudisha ya nyuma inaniambia the iphone needs to cool down before you can use the flash
 
Kuhusu icloud lock hakuna anayeweza kutoa mimi hapa niliibiwa simu yangu ngara kwa msaada wa icloud niliipatia nzega maeneo ya kitangili bila shida kabisa,na mimi siku watu watakapogundua namna ya kuitoa hiyo lock nitabadiri simu ninunue simu aina nyingine.

Mkuu habar ya kwako, napenda tubadilishane mawazo, mimi nina ipad ya mtu alinipa nimsaidie kuifungua, kama unakumbuka kuna ajali ilitokea dodoma iliyosababishwa na mafuriko na kuua familia nzima mapema mwaka huu, ni ya aliyekua mlinzi wa IGP, sasa baba mkwe wa marehemu alichukua ipad baada ya masiba ikiwa locked na haina chaja yake, aliniletea nijaribu kuifungua, nilinunua chaja lakin siyo ya hiyo ipad, nilifanikiwa kuicharge, kuifungua ndio kimbembe kilianza na baadae chaja ikawa haicharge, nikiagiza chaja yake orijina naweza ifungua, kumbuka nilikuwa najaribu ku unlock kwa kutumia itune
 
Je ina icloud?? Kama inayo hiyo sahau kabisa ila kama haina waweza ifungua tu
 
ea48a2a992c5a008e97a0bf9e66ade89.jpg


Wakuu msaada nikitaka kupiga pic na camera ya nyuma inaonesha giza tuh nkiweka ya mbele inakubali nkirudisha ya nyuma inaniambia the iphone needs to cool down before you can use the flash
Kuna uwezekano uliiangusha hiyo simu na camera ya nyuma ikacheza ndiyo maana inafanya hivyo. Nmewahi kuoata hiyo experience kama mara mbili hivi
 
Niliemuuzia iphone yangu hataki kumalizia pesa.account yangu ya icloud sikuitoa vipi nikibadili password nin kitatokea na jamaa yupo mkoa mwingine
 
Nimenunua iPhone ya dili hapa 6+ elfu 40 kutoka kwa teja, but nimechomoa kimin cheap (laini) iliyokuwa inatumika ni Tigo, hii simu inauwezekano kufunguka? Maana ina password kwa kioo.. Wataalam nijuzeni
 
Back
Top Bottom