Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Private messageHivi pm manake nin wapendwa?
Private messageHivi pm manake nin wapendwa?
ni cheki kwa namba 0765-096851 unieleze vzur naweza kuku saidiaNimenunua iPhone ya dili hapa 6+ elfu 40 kutoka kwa teja, but nimechomoa kimin cheap (laini) iliyokuwa inatumika ni Tigo, hii simu inauwezekano kufunguka? Maana ina password kwa kioo.. Wataalam nijuzeni
Sasa najaribu kufikiri labda binti yangu aliibadilisha ID maana kuna wakati nilimpa aitume. Lakini pamoja na hilo bado ID inayodisplay naona ni ya kwangu sasa hata nikiifungua through other devices na kuingia kwenye www.iforgot... inaniambia hii ID haipo .'doesn't exist in apple store'
Naombeni ushauri nifanyaje niweze kuiretrieve hii simu wapendwa
Nimefanya hivyo but still inaniambia wrong I'd or passwordJe unakumbuka password? Kama unakumbuka,hiyo password yako anza kwa herufi kubwa.
Nimefanya hivyo but still inaniambia wrong I'd or password
Nadhani aliibadilisha hiyo ID and everything lakini kwenye icloud inadisplay ID yangu still ila nikiingiza password inagoma. Ndipo nilipojaribu kwenda kwenye iforgot.com but ikaniambia hii ID haiexistJe ajabadili password?
Ushawahi kutumia iPhone mkuu?Una setije i cloud?
Nadhani aliibadilisha hiyo ID and everything lakini kwenye icloud inadisplay ID yangu still ila nikiingiza password inagoma. Ndipo nilipojaribu kwenda kwenye iforgot.com but ikaniambia hii ID haiexist
asee apo kama una kumbuka kila details zote ulizo fungulia io icloud WasiliNa na apple wenyew kamankweli niyako uhakika mana wata kuburuza na maswali adi uchukie uki win wana ku unlockia pia kama una risiti kolakitu unaweza kusaidiwa but ikikushinda Niuzie MM ni PigieProject zangU mana nakaznying sana amabazo zinasubir ni nunue Locked devices Toka ebaYHello Wangwana naombeni msaada simu yangu ya iPhone 6 inanisumbua mno
Nipo na shida ya iphone 5 icloud nyeupe mwenye nayo anipm tuzungumze biashara
Rudisha hio chip na mrudishie mwenyewe simu.. I phone yenye lock huwezi kuifungua na hakuna fundi anayeweza kuifungua. FBI wenyewe walijenyaNimenunua iPhone ya dili hapa 6+ elfu 40 kutoka kwa teja, but nimechomoa kimin cheap (laini) iliyokuwa inatumika ni Tigo, hii simu inauwezekano kufunguka? Maana ina password kwa kioo.. Wataalam nijuzeni
Natumia i phone since 2008.. 3G .. Now natumia 5s .. Sitaki kuhama .. 6 naziona kama kubwa.. Labda nitatumia SEUshawahi kutumia iPhone mkuu?
Siku ukinunua utajua maana hutoweza kununua Apps yoyote adi Apple ID au iCloud.
unless utumie na itune store.... otherwisw i realy love iPhone and cjui kama ntaama kwenye hii brand.
Ha ha .. Badae atakuambia nipe e mail n password yako.Zipo kibao kuna watu posta kkoo wangekua matajiri mana unaweza sema icloud locked unatoa kumbe unaanza kuniuliza passwed ya email angu n ipi
Nina 5s .. Nyeupe .16 GB.. Kama una 55k .. Ni pm.. HaipunguiNipo na shida ya iphone 5 icloud nyeupe mwenye nayo anipm tuzungumze biashara
Nina 5s .. Nyeupe .16 GB.. Kama una 55k .. Ni pm.. Haipungui
Wana LTE piaKwenye iphone hakuna
Kwenye iphone wana E,3G,4G