555.. Asante mkuu kwa marekebisho.. Hizi tarakimu zinanipiga sana chengaMkuu ni 55k au 555k?
Hahahaaa... Sawa mkuu nadhan utakua unayo iyo icloud unless unajua kwajina la Apple ID or otherwise.Natumia i phone since 2008.. 3G .. Now natumia 5s .. Sitaki kuhama .. 6 naziona kama kubwa.. Labda nitatumia SE
nina same description ila 64GB mwenye 650K.Nina 5s .. Nyeupe .16 GB.. Kama una 55k .. Ni pm.. Haipungui
Mkuu unapatikana wapi?ninayo 5S ina icloud,nataka ku unlock.Leta hiyo kazi
Mkuu mimi ninayo 5s ina icloud,tuongee biashara.asee apo kama una kumbuka kila details zote ulizo fungulia io icloud WasiliNa na apple wenyew kamankweli niyako uhakika mana wata kuburuza na maswali adi uchukie uki win wana ku unlockia pia kama una risiti kolakitu unaweza kusaidiwa but ikikushinda Niuzie MM ni PigieProject zangU mana nakaznying sana amabazo zinasubir ni nunue Locked devices Toka ebaY
Mkuu mimi ninayo 5s ina icloud,tuongee biashara.
China wameanza huduma ya kuzi unlock iPhone Kwa bei ya 50 dollars
Wakuu hbr,ebwana nilipoteza iPhone yangu ina lock bt mazingira iliyopotea ni nyumbani so nahisi madogo walinipiga,then nina waswas maana my password was soo simple tukikaa masaa mawili utaijua tu,je naweza kuitrack vp? Apple ID ndo sio rahisi kuijua password yake mtu mwingine
Wakuu iOS 10 imetoka,kwa atakae upgrade naomba atupe mrejesho jinsi ilivyo. Nimefatilia kwenye forums mbali mbali watu wameiponda.
Wakuu iOS 10 imetoka,kwa atakae upgrade naomba atupe mrejesho jinsi ilivyo. Nimefatilia kwenye forums mbali mbali watu wameiponda.