iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Kwangu kuna tatizo lilijitokeza kwenye imoges za watsapp kama smile, love .etc kuto onekana yan nilikuwa siwez kuweka ka imag kutoka watsapp je amby alisha pata tatizo la namna hi!
solution ake nili download watsapp imoges i store ikakubal

Mkuu unatumia version gani ya iOS?
 
Wakuu naomba mwenye link ya ITUNE mpya aniwekee hapa.
 
Naweza unlock iphone 5 ya ktk UK kwa bei gani hapa tz na wapi??
 
Nina Tecno L3, nili lock screen. Sasa mdau ka unlock mara kadhaa. Ime lock jumla. Sasa hapo nafanyaje? Msaada tafadhari!
 
Natafuta display ya iPhone 5 wadau...kuna watu wawili huwa nanunua kwao lakini zimewaishia kwa sasa.
 
Nielekeze sasa, so kuni criticize bila hata kuniongoza, wengine sisi vipofu
 
Nahisi ni Ngumu hata dealers wenyewe mi nilishawahi kumtengea 600,000 anitolee akaniambia haiwezekani. Japo tunatengeneza na kutoa Ushauri juu ya hizi simu.

Nitengee mm..nakuwekea account yako ya i cloud
 
Ndugu umetokea kigoma nini search Forum zote duniani wanalia na I cloud ni uchawi uliowekwa kiwandani na very difficult to remove sasa kwa nini unasema nothing possible under the sun halafu unasema kuna watu wanaweza kufungua.

Hakuna uchawi wewe...unatumia i phone lakini??usije ukawa unaongea kwa kusikia story za vijiweni...
 
Apple ni Nyoko ile iCloud nimewanyooshea mikono haya wale wa kutaka kufungua apple ID bila credit card aya toa maelezo yako nakufungulia .
TEAM APPLE SINCE IPHONE.
 
Back
Top Bottom