iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Msada, tecno P6, nime root kwa kingroot. Nimeweka pollipop launcher lkn ina ganda ganda sanaa. Unaweza gusa contact, ikachelewaaa ...
TunazungumZia Iphone humu wafuate watumiaje wenzako wa Tecno mkuu
 
ImageUploadedByJamiiForums1455187081.327114.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1455187111.044001.jpg

ikiwa kwenye lock inakuwa kama hapo juu huku ikibadili lugha
ImageUploadedByJamiiForums1455187188.918061.jpg

kama akuna line inakuwa hivo
ImageUploadedByJamiiForums1455187264.424678.jpg

nikiweka line inasearch afu inakuwa hivyo wakati iko unlocked
ImageUploadedByJamiiForums1455187353.682105.jpg

nikichagua lugha inakuwa hivyo juu
ImageUploadedByJamiiForums1455187403.050729.jpg

nikichagua country inakuwa hivyo juu
ImageUploadedByJamiiForums1455187477.157679.jpg

nikichagua connect to itune inaleta kama juu na hapo ndo mwisho haifanyi chochote zaidi.
msaada wenu wajameni
 
Hiyo iPhone umenunua dukani or mtaani?...

Nauliza hivyo manake mpaka hapo inaonekana ipo "locked" sasa kuna mawili...

Either hiyo simu mmiliki wa mwanzo aliibiwa then kwenye kuingiza passcode imekosewa na sasa simu imeji-lock, kama hili ndio Tatizo sidhani kama utaweza kuifungua, kifupi ni Mali ya Wizi.

Sababu nyingine itakua simu imefeli kuji-restart kwa sababu hujaweka SIM card wala passcode ya screen lock.Kama italeta tena black screen kama hiyo ya picha ya mwisho kabisa, tafuta kompyuta yenye iTunes, zima simu the bonyeza Botton ya kuwasha simu pamoja na botton kubwa hiyo ya chini baada ya kioo kwa pamoja kama sekunde 10,then achia Botton ya kuwasha ukishaona logo ya Apple, simu itajiconnect kwenye iTunes ya kompyuta then itahitaji password na kadhalika ili kuji-restore...

Ku-restore una mawili, either uliwahi kufanya backup kwenye hiyo iTunes ya kompyuta kwa simu hiyo hiyo au ujiunge na bundle ya almost 2gb ili kudownload IOS mpya.
 
Hivi ktk iPhone naweza kushare nyimbo ambazo zipo ktk simu kupitia whatsapp??
Unaweza....endapo kama nyimbo hizo zipo kwenye "apps" kama Whatsapp,viber, VLC na kadhalika...kwa mfano kwenye Whatsapp utaratibu ni ule ule wa kubonyeza kwa muda na kusubiri "options" zitokee...

Kwa apps nyinginezo, utachagua nyimbo then utaona option ya "open with"..Mimi natumia IOS 8.1,sijui ya chini ya hapo kama options zipo.

Ila kama nyimbo imeingia kupitia iTunes then haiwezekani.
 
Itunes acc yang inazngua i dont see na wala cwez kuweka muziki zaid ya kuona itunes u tu af chaj pia haikai sana natumia 4s! Ushauri tafadhali
Jaribu ku-update iTunes ya kompyuta yako kila mara.Kuhusu charge, kumbuka kuzifunga apps kila unapozifungua, kuna baadhi ya apps huwa zina-run on background.Pia check vitu kama wireless (kama una tabia ya kuiacha simu itoe wireless kwa muda mrefu)
 
Hivi Iphone kuna fake manake bei zake hapa Bongo ni rahisi sana? Kwa mfano bei ya Iphone 6 kwenye apple store ni ghali ukilinganisha na hapa Bongo.
Inawezekana...ila iPhone original kwenye Istore zote duniani bei ni tofauti ndogo sana, kwa hiyo haiwezi kuachana mno (hasa kwa staili yao ya mauzo kwa dola ya kimarekani)
 
Swali langu ni juu ya rangi ktk sign ya battery wakati unaichaji!? sometime huwa yellow badala ya green! What does it mean?
 
View attachment 322535
View attachment 322537
ikiwa kwenye lock inakuwa kama hapo juu huku ikibadili lugha
View attachment 322539
kama akuna line inakuwa hivo
View attachment 322540
nikiweka line inasearch afu inakuwa hivyo wakati iko unlocked
View attachment 322541
nikichagua lugha inakuwa hivyo juu
View attachment 322542
nikichagua country inakuwa hivyo juu
View attachment 322543
nikichagua connect to itune inaleta kama juu na hapo ndo mwisho haifanyi chochote zaidi.
msaada wenu wajameni
Mkuu kabla ya yote toa historia ya hiyo simu
Yaani ilikuaje ikafika hapo

Kwa kawaida uki restore au ku update ios ndio utakutana na hiyo stage na ukiweka line ya simu ya mitandao ya kibongo hakikisha line ina bando la internet then kama iphone ina id ndio hapo itakudai uingize id ili kuactivate

Activation inataka internet ndio maana kuna option ya sim card yenye bando au chagua wifi kama kuna wifi hapo ulipo ili kuactivate
 
iPhone 5S miezi miwili sasa siitumii baada ya kuwa imeharibika. Iliaanza kuwa ina "reboot" na kuonyesha "blue screen". Mafundi wawili wamekwama pamoja na kuweka battery mpya. Mwenye kuweza kuitengeneza tafadhali.
 
iPhone 5S miezi miwili sasa siitumii baada ya kuwa imeharibika. Iliaanza kuwa ina "reboot" na kuonyesha "blue screen". Mafundi wawili wamekwama pamoja na kuweka battery mpya. Mwenye kuweza kuitengeneza tafadhali.
Ukiichomeka kwenye itunes inaitambua?
Kama ndio hunabudi ku restore

Njia rahisi downloawd ios 9.2.1 ipws then fanya restore
 
kuna njia moja rahisi sana ambayo itakusaidia kuzitunza hizo hardware za simu yako katika matumizi ya screen shot, kuturn off screen, apple wameweka hii kitu.
SETTING>GENERAL >ACCESSIBILITY> ASSISTIVETOUCH> WEKA ON kitakachotokea hapo utaenjoy sana kutumia apple. R.I.P Steve Jobs
Naomba msaada, nina iphone 4 nilikuwa natumia Gevey -ios 4.2.1 nikaupgrade ios 5.0.1 sasa inahitaji niweke ios 7.2.1, imekubali kuingia tatizo inahitaji kuactivate na mm sina original sim carrier yake ni vodafone uk, so unanisaidiaje ili niweze kuiactivate?
 
Back
Top Bottom