nipo mbeya ninayo 4s kwa laki 2 imepasuka kioo ila kila kitu kiko poa!![/QUOTE][QnUOTE=Raaj;14960480]nahitaji iphone 4 au 4s je ni bei gani used au mpya?
Hakuna haja ya kuweka app, bonyeza button ya power na home button kwa wakati mmoja halafu achia utakuwa umemaliza kila kitu na screen shot yako utaipata kwenye photosNaombeni msaada wa app ya ku screen capture (screen shot) ktk iphone
Hakuna haja ya kuweka app, bonyeza button ya power na home button kwa wakati mmoja halafu achia utakuwa umemaliza kila kitu na screen shot yako utaipata kwenye photos
Hakuna haja ya kuweka app, bonyeza button ya power na home button kwa wakati mmoja halafu achia utakuwa umemaliza kila kitu na screen shot yako utaipata kwenye photos
Hapana huwezi share nyimbo, kwa sababu Apple wanataka ununue nyimbo na si kushare ila unaweza kushare videos na pichaHivi ktk iPhone naweza kushare nyimbo ambazo zipo ktk simu kupitia whatsapp??
+Tatizo limeanzaje ,inaweza kuwa kwenye blank mode kama hakijavunjika,Bonyeza kwa muda mrefu HOME + POWER kama 2-5 min!habari nina iPhone4 natafuta fundi simu ina tatizo la dislay haionyeshi chochote. Msaada please.
+TMobile ya country gani?zina tofauti ya bei kutokana na nchi,natafuta m2 wakutoa unlock carrier Kwenye iPhone 5
t mobile network
+ Weka kwenye DFU mode then restore kwa Itunes online au download file yake .....ipsw,kutoka iclarified site!nitafute nikupe msaada
Kama huna iTunes download halafu connect simu kwenye pc iTunes ita detect kisha fanya kui restore
kuna njia moja rahisi sana ambayo itakusaidia kuzitunza hizo hardware za simu yako katika matumizi ya screen shot, kuturn off screen, apple wameweka hii kitu.Naombeni msaada wa app ya ku screen capture (screen shot) ktk iphone
Kwa sababu hatuna tozo ya kodi kwenye hizi kitu, mf China hununui iphone bei yake iko juu sana thats y soko la iphone hapa bongo wateja wakubwa ni wachina. lakini pia wabongo wachache tunaonunua brand new wengi wetu tunanunua brand used.Hivi Iphone kuna fake manake bei zake hapa Bongo ni rahisi sana? Kwa mfano bei ya Iphone 6 kwenye apple store ni ghali ukilinganisha na hapa Bongo.
Hata nyimbo unaweza share kwa kutumia third party app eg shareapp lite ambapo utaweza kutuma muziki uliopo kwenye music storage... Au kama umejail break ukiinstall whatsapp+ Inakubali na unatuma miziki iliyopo kwenye music storageHapana huwezi share nyimbo, kwa sababu Apple wanataka ununue nyimbo na si kushare ila unaweza kushare videos na picha
Mimi huwa natumia dropbox niliyoinstall kwenye pc yangu ofcn zen naweka nyimbo hapo nazotaka, kwenye simu pia nimeinstall dropbox hivyo inakuwa rahisi kwangu kushare music kwa raia wangu.Hapana huwezi share nyimbo, kwa sababu Apple wanataka ununue nyimbo na si kushare ila unaweza kushare videos na picha
Mnazionaje features za ios 9.3, 3D. kwa wenye 6 plus , 6s wataenjoy sana all in all niwape hongera Pangu team kwa jaibreak, tulishaenjoy hizi faetures kwenye 9.2Kumekuwa na post nyingi kuhusiana na iphone, uzi huu ni maalumu kwa ajili ya mambo yote yahusuyo iphone na brand zote za aple. Tupia maswali ama maujanja kuhusu @ios na mambo mengine.
HADI MUDA HUU HUTUJAPATA UFUMBUZI WA HAKIKA WA KUTOA I CLOUD EPUKA MATAPELI, wataalamu karibuni.
Mkuu i phone 4s 32GB white .nimeitumia mimi wiki mbilii, imetoka australia muda si mrefu chaji yake na headphone zijazifungua.nahitaji iphone 4 au 4s je ni bei gani used au mpya?