iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Mimi Nina iPad mini ila nikitaka upgrade iOS haikubali lakin kabla ili kua inakubali nifanyaje
 
Kwa sasa haiwaki hivyo iTunes haina msaada
Mkuu iphone ikipata tatizo usikubali mafundi wetu wa kibongo waifungue maana maranyingi sana matatizo huwa ni ya software na sio hardware unless kama unabadili kioo au battery

Sasa hapo ni mtihani huwezi jua labda hao mafundi wamesababisha tatizo la hardware ambalo ni gumu kutatua maana inabidi ulijue kinagaubaga

Labda niulize kabla haijafunguliwa itunes ilikua inaisoma

Je ukienda kwenye device manager kwenye pc na ukichomeka iphone pc inaitambua?
 
Mimi Nina iPad mini ila nikitaka upgrade iOS haikubali lakin kabla ili kua inakubali nifanyaje
Nenda Settings> General> software update uone kama ipad yako inahitaji update, hakikisha upo na net

Na kama update ipo je haikubali vipi? Fafanua inakwamaje
 
Naomba msaada, nina iphone 4 nilikuwa natumia Gevey -ios 4.2.1 nikaupgrade ios 5.0.1 sasa inahitaji niweke ios 7.2.1, imekubali kuingia tatizo inahitaji kuactivate na mm sina original sim carrier yake ni vodafone uk, so unanisaidiaje ili niweze kuiactivate?
Mkuu si kuna option ya kuactivate kwa wifi?
Create wifi hotSpot kwa pc yako then activate
Labda kama ipo carrier locked
 
Wakuu nisaidieni mwenzio, nina sim IPHONE 4, imekataa gafla kupandisha network. nifanyeje wadau?
 
Wakuu matatizo mengi sana madogo madogo ya iphone haswa kwenye issue za software unaweza kupata ufumbuzi wake online kwa ku google, utakutana na wenzio kibao waliopitia matatizo hayo na namna ya kuyatatua
Always make google your best friend......
 
Paul S.S. ilifikiwa wakati "reboot" ikagoma hivyo kwenye PC haionekani
Kama inafikia hapo basi itunes inaouwezekano mkubwa wa kuitambua na kama tatizo ni software basi unaweza kurestore au ku update

Hakikisha iphone imezimika, kwenye pc fungua itunes yako kabisa kisha chomeka cable kwenye iphone kwanza
Halafu bonyeza home button huku unachomeka waya kwenye pc yako, endelea kubonyeza na simu kabla haija boot itaingia kwenye recovery mode(itaionyesha waya na neno itunes) na hapo utakua na uwezo wa kurestore
Rudia hilo zoezi na ukifanikiwa ujue simu yako inanafasi ya kupona
 
Wakuu nisaidieni mwenzio, nina sim IPHONE 4, imekataa gafla kupandisha network. nifanyeje wadau?
Inamaana network imepotea ghafla tu mkuu au ulifanya update?
Jaribu simcrd nyingine au jaribu kufanya "Reset network settings"
 
Nina iphone 5s nikitaka kupiga picha inaandika there is not enough available storage to take photo na nimefuta kila ktu lakini bado inaleta iyo message nikitKa kipiga pcha pia nimejaribu ku reset
ErAse all content and setting bado inagoma nikiandika passcode inasema incorect
 
Habarin wakuu....nina iphone 5 haionesh option ya hotspot tethering soon baada ya kutoa chip ya voda kuweka halotel.....msaada wenu jaman
 
Nina iphone 5s nikitaka kupiga picha inaandika there is not enough available storage to take photo na nimefuta kila ktu lakini bado inaleta iyo message nikitKa kipiga pcha pia nimejaribu ku reset
ErAse all content and setting bado inagoma nikiandika passcode inasema incorect
Mkuu hiyo ulionayo ni iphone au mchina?

Ukichomeka kwenye pc yako itunes inaitambua?
Kama ndio, inaonyesha simu yako inanafasi kiasi gani?
 
Mkuu hiyo ulionayo ni iphone au mchina?

Ukichomeka kwenye pc yako itunes inaitambua?
Kama ndio, inaonyesha simu yako inanafasi kiasi gani?
Sio ya kichina ndugu ni og kabisa sijawai kuchomeka kwenye itunes
 
Nimekuwa mpenzi wa "electronics original" kwa muda mrefu km radio na tv - "SONNY: Computers - hp & DELL": Phone - iPhone" nk. Nimekuwa na iPhone 4S, 5S na iPad (Apple products).

Ulichosema "Apple" siyo rafiki kwetu na hakuna "after sale service", pamoja kwamba ni moja ya makampuni yenye vifaa bora.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom