Invitation to all JF members: Debate!

Invitation to all JF members: Debate!

Asante kwa wazo lako, ila 2 out of wahusika 3 waliomba iwe siku hiyo. Kwa vile debate itakua ndefu kidogo na itakua na breaks kuwaruhusu waende kusali/kufturu/kulala nadhani inaweza kuendelea on the 25th as well. Sisi ambao hatuto participate tunaweza kuja kuisoma baadae, kama during the weekend, na kuchangia.

Sawa. Nimekubali.
 
Haha ha ha ha ha! Mkuu Rejao heshima mbele. Umepotea sana siku hizi Mkuu wangu? Anyway mzima wewe? Familia Je?
Mambo yamekuwa mengi na majukumu yameongezeka. Ukizingatia tena na mfungo ndio huo tunauanza.
Tupo pamoja mkuu
 
Kiukweli hizo zitakuwa porojo zaidi. Zomba! Huyu huyu mpayukaji na mropokaji anayejua tu kuisifi ccm na mambo yake yote? Si bora angekuwa mwanakijiji na mtu mwingine makini?
 
Mambo yamekuwa mengi na majukumu yameongezeka. Ukizingatia tena na mfungo ndio huo tunauanza.
Tupo pamoja mkuu

Ah wapi Rejao sema tu ukweli kwamba umeondolewa kwenye payroll ya lumumba sasa unambwelambwela kuitafutia familia yako mkate wa kila siku ndio maana umekuwa adimu.
Ingawa limekuwa jambo la kheri kama umeanza kuchungulia japo mara moja moja.
 
Last edited by a moderator:
Ah wapi Rejao sema tu ukweli kwamba umeondolewa kwenye payroll ya lumumba sasa unambwelambwela kuitafutia familia yako mkate wa kila siku ndio maana umekuwa adimu.
Ingawa limekuwa jambo la kheri kama umeanza kuchungulia japo mara moja moja.
Mwita Maranya, hivi hiyo dhana ya payroll mmeipata wapi? Ina maana wewe upo kwenye Payroll ya Slaa na Mbowe? kama kuna watu wanaolipwa ni wao na acheni kugeneralize! Tupo hapa kutoa maoni yetu na kila mtu anao uhuru wa kuchangia kwa kile anchoona ni sahihi.
 
Last edited by a moderator:
Ideal nzuri ya debate, Zomba ni mtu sahihi kuja kutetea utawala wa JK ila nina wasiwasi na uwezo wa upande wa pili wa ushiriki, nafuu kidogo angekuwa mtu kama Mzee Mwanakijiji, debate ingekuwa safi.
 
Zomba siku hiyo Gagulo ulifunge na Mkanda, maana litakupwaya na kukudondoka tu...
 
Tuombe kheri Inshaallah

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ndio. So long as hamtoi majibu, na kama post zinahusu mada inayo jadiliwa, hakuna ubaya. wakati debate inaendelea tutapokea masuali (maswali) mbali mbali toka kwa members, na mwisho kabisa suali (maswali)tatu (matatu) zitachaguliwa (yatachaguliwa) kua suali (na kuwa maswali yenye nambari)13, 14 na 15.

Hakuna Mnakasha kwenye hayo marekebisho yenye rangi nyekundu kwenye mabano..........
 
Ni vigezo gani vitatumika katika uchaguzi wa hayo maswali 3? Tatizo moderators wengi wa JF ni pro Chadema tunachotaka ni fair play; si tu katika uteuzi wa maswali bali mpaka mtiririko mzima posts.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Zomba ampelekee si ndio mpambe wake!
Akishampelekea akadake chake!!

Halafu namshauri tu Ustaadh Al-Ulamaa Mwanazuoni Imam Sheikh Zomba kua siku hiyo iko ndani ya mfungo hivyo Uongo, Uzandiki, Unafiki, Uchochezi e.t.c wowote atakaoongea utamuharibia swaumu yake, hivyo anatakiwa awe mkweli.

Best wishes Kamanda Matola!!
 
Mambo yamekuwa mengi na majukumu yameongezeka. Ukizingatia tena na mfungo ndio huo tunauanza.
Tupo pamoja mkuu
aha wapi mkuu nasikia kuna mgogoro wa posho za propaganda mtandaoni pale lumumba
 
Back
Top Bottom