Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Asante kwa wazo lako, ila 2 out of wahusika 3 waliomba iwe siku hiyo. Kwa vile debate itakua ndefu kidogo na itakua na breaks kuwaruhusu waende kusali/kufturu/kulala nadhani inaweza kuendelea on the 25th as well. Sisi ambao hatuto participate tunaweza kuja kuisoma baadae, kama during the weekend, na kuchangia.
Sawa. Nimekubali.