Invitation to all JF members: Debate!

Invitation to all JF members: Debate!

Mkuu wanaume hawasifiwi kwa sura nzuri wanaume wanasifiwa kuingia benki na kutoa pesa.

japo huwa hauna point kabisa,lakini inshallah natumaini Mshereeshaji wetu hapa JF utakuwepo pia kushelehesha,cz ndio unachoweza.
 
This serves to invite all JF members to a debate. herewith the proceedings:

1. Hii thread inawaalika JF members wote jukwaa la siasa tarehe 24, saa saba EAT kwenye debate kati ya zomba na Matola (July 24, 2012, at 13:00 EAT);

2. Debate itahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012;

3. Debate itaongozwa na Mwali katika lugha mbili: Kiswahili na Kiingereza;

4. Mwali ataanda na kupost masuali kumi (10) yatakao jadiliwa na waalikwa kwenye thread hiyo, suali la kumi na moja na la kumi na mbili (11 na 12) zikiwa masuali toka kwa waalikwa wenyewe, la kumi na tatu, kumi na nne na kumi na tano (13, 14 na 15) ni suali toka kwa members;

5. Siku ya debate Mwali atauliza suali moja mmoja na kuwapa waalika, each at his own time , nafasi ya kujibu suali hilo. Waalikwa watapewa not more than 20 min kujibu masuali;

6. Baada ya waalikwa kujibu suali toka kwa Mwali (au baada ya muda wa dakika 20 kupita), waalikwa wataruhusiwa kuulizana suali la ufafanuzi wa majibu (suali moja kila upande);

7. Baada ya jibu la ufafanuzi Mwali ataleta suali lenye kufata, na kuendelea na debate. waalikwa pekee ndio watakao jibu masuali, majibu mengine yote yatafutwa;

8. Masuali yote 15 yakisha jibiwa, debate itafungwa ila members wengine wataalikwa kuchambua na kuwahoji waalikwa ambao watakua huru kujibu au kutojibu masuali;

9. thread itakua stuck kwa muda wa mwezi mmoja ili members mbali mbali watoe majibu yako kwa masuali ya debate;

10. Masharti ya JF kuzingatiwa kila wakati.


Kama kuna maoni yoyote naomba myafikishe kwa kupitia thread hii, kabla ya saa sita mchana tarehe 23 July 2012.

Asanteni wote na karibuni.


Update:

Debate itaanza saa nane kamili (14:00, EAT) as per Zomba's request (post #5)






hiyo EAT ni East Africa Television au ni East Africa Time? Inachanganya maana kuna hii tv station inayotumia acronimy za EAT.
 
Zomba ataanza kukusanya madesa kwa Nape kuanzia leo!

Sio kwa nape bali kwa mpenda ndizi na Magufuri. Ushauri wangu ni kwamba afute mpango wa kutumia takwimu za kilometer na viwango vya rami za magufuri sababu nina ushahidi wa kutosha kwamba, kwa kuanzia tu records zote alizozitoa pale Jangwani siku wanafanya mazoezi ya kuhutubia wakiwa kama wapinzani kuanzia 2015 zilikuwa na mapungufu makubwa sana kama sio uongo kabisa kuanzia kwenye kilometers, contractors, gharama, na financer.

Kilometer nyingi alizioverstate chache sana aliunderstate na hakuna aliyotoa takwimu sahihi
Baadhi ya barabara hakuna contractor alikuwa field sababu ya ukosefu wa fedha
Baadhi ya barabara ujenzi ulikuwa umesimama sababu ya ukosefu wa fedha
Barabara nyingi zikofinanced na nchi na mashirika wahisani wakati alisema zinagharamiwa na serikali ya ccm
gharama zote alizotaja zilikuwa za uongo.

Akisubutu tu kutumia takwimu hizi namlipua.

Pia ajiandae kujibu swali langu moja tu. Serikali imesitisha ujenzi wa shule za kata na imekili kwamba ni BOMU, Je serikali ya CCM inafanya maandalizi gani kuwalipa fidia wanafunzi wote waliopitia katika shule hizo na kuwapotezea muda?
 
mod hapo mnamtwisha mzigo mkubwa mno zomba matola ni moja ya vichwa muhimu na adimu sana humu jf si saizi ya zomba namuonea huruma sana huyu zomba namuomba mungu niwepo siku hiyo
 
kaka matola mtabata mwenzangu kaa pale sanene au nderingo na mvinyo mwanana andaa makombola kusambalatisha kilaza zomba mimi nakueshimu na kukuamini sana
 
Ingekuwa vyema kama nakala hiyo angepewa baada ya maoni kuchambuliwa na kuandaliwa kwa ufasaha...Lakini swali linakuja, ni nani amabaye atapeleka nakala ya hii debate kwa mheshimiwa presda?

Labda mtu aende akamsomee pale pale Ikulu lakini kusema mmpe makaratasi, hayasomi ng'o!!!
 
Mungi,

Naona umerukia kujibu post yangu mie nakujibu hivi... Debate inahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012...

Kwa hiyo siasa haipo hapa?
sasa CHADEMA inaingiaje kwenye ufanisi wa serikali ya Jakaya.
 
This serves to invite all JF members to a debate. herewith the proceedings:

1. Hii thread inawaalika JF members wote jukwaa la siasa tarehe 24, saa saba EAT kwenye debate kati ya zomba na Matola (July 24, 2012, at 13:00 EAT);

2. Debate itahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012;

3. Debate itaongozwa na Mwali katika lugha mbili: Kiswahili na Kiingereza;

4. Mwali ataanda na kupost masuali kumi (10) yatakao jadiliwa na waalikwa kwenye thread hiyo, suali la kumi na moja na la kumi na mbili (11 na 12) zikiwa masuali toka kwa waalikwa wenyewe, la kumi na tatu, kumi na nne na kumi na tano (13, 14 na 15) ni suali toka kwa members;

5. Siku ya debate Mwali atauliza suali moja mmoja na kuwapa waalika, each at his own time , nafasi ya kujibu suali hilo. Waalikwa watapewa not more than 20 min kujibu masuali;

6. Baada ya waalikwa kujibu suali toka kwa Mwali (au baada ya muda wa dakika 20 kupita), waalikwa wataruhusiwa kuulizana suali la ufafanuzi wa majibu (suali moja kila upande);

7. Baada ya jibu la ufafanuzi Mwali ataleta suali lenye kufata, na kuendelea na debate. waalikwa pekee ndio watakao jibu masuali, majibu mengine yote yatafutwa;

8. Masuali yote 15 yakisha jibiwa, debate itafungwa ila members wengine wataalikwa kuchambua na kuwahoji waalikwa ambao watakua huru kujibu au kutojibu masuali;

9. thread itakua stuck kwa muda wa mwezi mmoja ili members mbali mbali watoe majibu yako kwa masuali ya debate;

10. Masharti ya JF kuzingatiwa kila wakati.


Kama kuna maoni yoyote naomba myafikishe kwa kupitia thread hii, kabla ya saa sita mchana tarehe 23 July 2012.

Asanteni wote na karibuni.


Update:

Debate itaanza saa nane kamili (14:00, EAT) as per Zomba's request (post #5)







Itakuwa vyema ukutupatia na code of conduct as well specific kwa thread hii.........vinginevyo patakuwa pachungu humu......nashauri members
watukutu wapewe debarrment ya thread hii(sio absolute ban) ili tuende vizuri.....many thanks for the good idea!
 
Wazo zuri.

Ila nina pendekezo (ingawa mimi si kati ya wapambanaji wa mnakasha? huo), muda huo ni siku ya Jumanne, siku ambayo wengi wetu (naamini hata wapambanaji) tupo kwenye shughuli za kutuwezesha kuweka chakula mezani. Sasa unaonaje kama mnakasha? huo ukifanyika mwisho wa juma tarehe 28 au 28? Muda unaweza ukabaki kama ulivyo.

Ni wazo tu.

Asante kwa wazo lako, ila 2 out of wahusika 3 waliomba iwe siku hiyo. Kwa vile debate itakua ndefu kidogo na itakua na breaks kuwaruhusu waende kusali/kufturu/kulala nadhani inaweza kuendelea on the 25th as well. Sisi ambao hatuto participate tunaweza kuja kuisoma baadae, kama during the weekend, na kuchangia.
 
hiyo EAT ni East Africa Television au ni East Africa Time? Inachanganya maana kuna hii tv station inayotumia acronimy za EAT.

East African Time. Nilidhani it was explicit since imefatana na time. Asante kwa ku-point out.
 

Itakuwa vyema ukutupatia na code of conduct as well specific kwa thread hii.........vinginevyo patakuwa pachungu humu......nashauri members
watukutu wapewe debarrment ya thread hii(sio absolute ban) ili tuende vizuri.....many thanks for the good idea!
Asante kwa wazo lako. Nadhani itakua vigumu kuwajua members watukutu. criterion zinaweza kua zipi mfano? tunaamini kila active member ana uhuru wa kupost. ikiwa ataende kinyume na masharti ya JF Moderators will simply apply the rules. Let's hope that we'll all behave like the great thikers we claim to be.
 
Asante kwa wazo lako. Nadhani itakua vigumu kuwajua members watukutu. criterion zinaweza kua zipi mfano? tunaamini kila active member ana uhuru wa kupost. ikiwa ataende kinyume na masharti ya JF Moderators will simply apply the rules. Let's hope that we'll all behave like the great thikers we claim to be.

Roulette,

..nadhani wale members wenye tabia za udini-udini wazuiliwe ktk thread hii.
 
haya ndio mazingaombwe ya jf, mtu alishapigwa ban ya maisha kwa string of utumbo threads+ posts leo anarejeshwa kutangazwa kufanya debate JF..yangu macho.
 
Back
Top Bottom