Ingekuwa vyema kama nakala hiyo angepewa baada ya maoni kuchambuliwa na kuandaliwa kwa ufasaha...Lakini swali linakuja, ni nani amabaye atapeleka nakala ya hii debate kwa mheshimiwa presda?
Nani amekimbia wewe??? siku zote tupo hapa JF. Sometimes kukaa kimya ni jambo la hekma zaidi.Kumbuka hapa hakuna Usalama wa Taifa wala yule Jaji aliyehukumu kesi ya Lema kwamba watakuja kuwasaidia. Tutawashindilia hoja hadi mkimbie JF kama ndugu yenu Rejao na Mwita25! Zomba kwa Matola ni sawa na empty heard! Subiri uone!
TUMBIRI (PhD, University of Hull, UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Mkuu kwanza si unaona ni "golden member",nenda katizame hiyo status huwa inakuwa achieved kivipi,behind huo msura wa avatar there's something "dada" anaweza ingia mkenge lol!Kuna moja aliingia nayo mwanzo ya uchi lol!JF raha tupu sometimes...As unakutana na watu wa tofauati ambao katika maisha ya bila mtandao tusingekaa tuweze kukutana na kuwasikia,pia kuwasoma...
Hiyo sura yako? Umezaliwa hivyo? Hivi kweli utamuoa dada wa nani na sura hiyo.?????
Inshallah Mungu atupe uzima nitashiriki; ila mjadala utahusu maendeleo ya taifa au UDINI? Kwasababu inaeleweka ndani ya JF ni kama Lebanon miaka ile kuna makundi ya wanamgambo wenye siasa kali wa kikristo wakiungwa mkono na Israeli na wanamgambo wenye siasa kali wa kiislam wakiungwa mkono na Iran hapo ni silaha zote moderator sijui utaulinda vipi mjadala huu. Je moderator kuna wadau wengi wa nje wangependa kushiriki tungeomba uzingatie suala la mapishano ya muda;
Ritz, Zomba, Topical, Mkandara na wadau wote wa JF natawakia Ramadhan njema!
Chama
Gongo la mboto DSM
Haya ndio maanjumati yenyewe ya Ramadhan, siku nitakayofuturisha wana JF menu yenyewe ndio hii hapa.chama, Umeandika maneno mazito mkuu wangu katika ujenzi wa JF huru....tunapingana kwa hoja lakini bado ni wamoja ni jukumu letu sote kuifanya JF iwe shule....nawatakia Ramadhan njema wana JF wote. JF Daima.
This serves to invite all JF members to a debate. herewith the proceedings:
2. Debate itahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012;
[/INDENT][/FONT][/COLOR] wabongo mnapenda sana midahalo...huo muda wa kufanya kazi nyie mnapiga domo......tushachoka na debate
Hi safi sana na inapendaza kwa kweli .. Siku nyingine tutumie SKYPE...( is just a suggestion )
Upo bi dada
hahaha siwezi kuukosa huu mdahalo, ntaongea na Mwali anipe upendelea wa Swali moja kwa Zombami nipo nipo tu lawyer ..
we ndo umetukimbia kinamna..
Vipi uta join huu mdahalo au utakuwa kulee mlima .......?? unatuombea
hahaha siwezi kuukosa huu mdahalo, ntaongea na Mwali anipe upendelea wa Swali moja kwa Zomba
Hi safi sana na inapendaza kwa kweli .. Siku nyingine tutumie SKYPE...( is just a suggestion )