jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Sina tatizo na "wanaharam" lol!however point taken,debate yako wewe si tarehe 24?Ninachofanya ni kujaribu kuona udini hautatawala pindi mjadala wenu ukianza,maana hapa unaplay a "mediator" na wakati mimi nimeshaona mijadala yako dhidi ya watu wenye udini,hopefully na wewe utalifunika hilo kombe.
Last edited by a moderator: