Invasion USA (masikini wavamia USA)!

Invasion USA (masikini wavamia USA)!

Cha kushangaza hii Picha ni ya watu wa Venezuela wakielekea Brazil kile kipindi mabomu yalipomkosa Rais wao na maisha kuwa magumu wakatembea kuelekea Peru na Brazil sio USA kama tunavyodanganywa hapa na mtoa nyuzi....
Kumbe ni fake news jamaa kaingia chaka kama TBC na ile ya Trump kumpongeza mtu mkubwa.
 
Hawa maskini mbona wamependeza hivi kimavazi
Wenzetu ishu ya mavazi walishamalizana nayo zamani sana....hpo wanahangaikia maisha mazuri ya uhakika wa kula na kuwapatia watoto wao elimu ya kueleweka
 
Hollywood imedanganya watu sana, kila mtu anafikiria kwamba akiingia USA ataishi hayo maisha ya kwenye movies.
Pambana hapo ulipo kitaelewka.
Umenena mkuu!! Wakuskia na wakuskie
 
Hollywood imedanganya watu sana, kila mtu anafikiria kwamba akiingia USA ataishi hayo maisha ya kwenye movies.
Pambana hapo ulipo kitaelewka.
Umenena mkuu!! Wakuskia na wakuskie
 
Blaza acaha kupiga porojo mchana kweupe. Kule hakuna hata nafasi ya kugongea msosi kwa mtu km hapa bongo tunavyofanya unatega mida msosi unazamia kwa jiran unakula tena unakuja na kinywaji chako kabisa ( kule hayo maisha hakuna). Kule hata kwenda kwa uncle au aunt au ndugu yeyote pasipo sababu za msingi hakuna. Tz maisha muruwa sana.
Lakini serikali zao zinatoa ruzuku kwa wachovu. Huku serikali zinaminya kila kitu. Sasa hivi mfuko WA mbolea ni elfu 60,umeme Juu,petrol juu!
 
Ingekuwa Tanzania caravan toka Rwanda na Burundi inaelekea boda kuingia TZ Magufuli angeruhusu waingie tu kwa kuwa wanajiita masikini??
Ahh wapi and big hell no it will never happen walahi
 
Lakini serikali zao zinatoa ruzuku kwa wachovu. Huku serikali zinaminya kila kitu. Sasa hivi mfuko WA mbolea ni elfu 60,umeme Juu,petrol juu!

Tutafika tu, walahi
Punguza pressure utakufa siku si zako
 
Hollywood imedanganya watu sana, kila mtu anafikiria kwamba akiingia USA ataishi hayo maisha ya kwenye movies.
Pambana hapo ulipo kitaelewka.
True
Lakini mdhungu mjanja, Maana hilo kundi ni nguvu kazi, hizo law zitawabana hao masikini na watakuwa wanakatwa kodi na viwanda vitaanzishwa tena, mchina hoi!
Hii midhungu plan zao ni very unpredictable walahi
Mwenye Enzi Mungu tubariki Afrika na watu wake milele yote walahi
 
Karavani la masikini kutoka Honduras, Guatamala, Mexiko, Waarabu, Wahindi &Co. wakielekea USA, D.Trump ameapa hao masikini kamwe hawataingia USA, amesema atatuma US army kama JWTZ yetu ya USA kuzuia, ...


View attachment 907313



Hizo ndizo effects za capitalism .....Tungojee kuanguka kwa mataifa ya ubepari...unazalisha matajiri lakini ili wawepo matajiri wachache ni lazima masikini wawepo kwa mamilioni...masikini ndio wanaonyonywa na ndio wanaozalisha ili kuwafanya wengine wawe matajiri...sasa mfumo huu unafikia kikomo cha kuhimili vishindo vyake...the demise of capitalism is approaching...
 
Hizo ndizo effects za capitalism .....Tungojee kuanguka kwa mataifa ya ubepari...unazalisha matajiri lakini ili wawepo matajiri wachache ni lazima masikini wawepo kwa mamilioni...masikini ndio wanaonyonywa na ndio wanaozalisha ili kuwafanya wengine wawe matajiri...sasa mfumo huu unafikia kikomo cha kuhimili vishindo vyake...the demise of capitalism is approaching...
Kunya is next
 
Karavani la masikini kutoka Honduras, Guatamala, Mexiko, Waarabu, Wahindi &Co. wakielekea USA, D.Trump ameapa hao masikini kamwe hawataingia USA, amesema atatuma US army kama JWTZ yetu ya USA kuzuia, ...


View attachment 907313

Kweli ulaya sio kama Afrika masikini wengi ni vibonge huku matajiri ndo vibonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakimbia nini Kwao?warudi kwao

Wanakimbia umasikini, wanafanya kazi lakini malipo kidogo...demokrasia haiwaleti kula...wameandamana weee kama wanavyotaka wamarekani na vinara wa kinachoitwa uhuru wa habari lakini haikusaidia...sasa wameamua waendee huko kunakosemekana kuna asali...ndipo kitakapotokea kiama...ujambazi utaongezeka, kutakuwepo kwa tishio la vita mitaani...upo mwaka Marekani ilikuwa inawapiia debe wacuba waikimbie nchi yao kwa kinachoitwa kuukimbia mfumo wa ukomunisti huko cuba na kinachoitwa maisha duni...Fidel Castro akawasaidia wamrekani akawaruhusu waende huko Marekani kwa mitumbwi lakini akafanya kitu kingine cha ziada akafungulia magereza na majambazi, wavuta bangi na unga nao wakaungana kwenye boti zinazokwenda marekani...dah...Marekani akashituka but it was too late...
 
Trump Ni Kama Kichwa Cha Mwendawazimu
Kivipi? Kwa hiyo unataka waingie tu ili wakafanye nini na wakati wameacha nchi zao?
Kila mtu na abebe mzigo wake,America is for Americans, India is for Indians,Tanzania is for Tanzanians.
Mbaya zaidi wanataka kuingia bila kufuata taratibu za uhamiaji,yaani lundo la watu utadhani nzi wanaingia chooni,halafu unamlaumu Trump,kuna watu mnashangaza sana.
 
Really?? Kukosa hela ya club ndo kumfanye mtu avamie nchi nyingine na watoto wadogo, apigane na askari kulazimisha kuingia nchi nyingine shauri tu ya kupata hela ya kwenda club?
Hivi darasani ulikuwa unakuwa wa ngapi kwenye mtihani, kwa maana duh!
Nchi maskini kuliko zote pande za huko ni Haiti,lakini kwa vigezo wanavyotumia wachumi wa kidunia Afrika bado linaendelea kuwa na nchi zinazoongoza kwa umaskini duniani.
 
Really?? Kukosa hela ya club ndo kumfanye mtu avamie nchi nyingine na watoto wadogo, apigane na askari kulazimisha kuingia nchi nyingine shauri tu ya kupata hela ya kwenda club?
Hivi darasani ulikuwa unakuwa wa ngapi kwenye mtihani, kwa maana duh!
Tatizo Una papara mno kama mwenyekiti wako,tuliza kichwa kwanza ndo utaelewa,amemaanisha umaskini wa US ni tofauti na umaskini wa Tanzania na India.
 
Watz huwa tuna mentality eti sisi ndio tuna shida sana,oooh hatujui tunachokisema wengi wetu,kuna nchi ukipelekwa dk 10 nyingi utaomba urudishwe kwenu.
Mkuu umeishi nchi ngapi hapa Duniani?
Tanzania ni moja ya nchi ngumu mno kimaisha.
 
Lakini serikali zao zinatoa ruzuku kwa wachovu. Huku serikali zinaminya kila kitu. Sasa hivi mfuko WA mbolea ni elfu 60,umeme Juu,petrol juu!


Honduras, El salvador au Guatemala inapitoka caravan hakuna ruzuku yoyote ile ktk Serikalini ni kama Bongo tu!
 
Tatizo Una papara mno kama mwenyekiti wako,tuliza kichwa kwanza ndo utaelewa,amemaanisha umaskini wa US ni tofauti na umaskini wa Tanzania na India.


Wewe ndo utulize kichwa, umeelewa kwanza hata hii Mada inahusu nini?
 
Back
Top Bottom