Invasion USA (masikini wavamia USA)!

Invasion USA (masikini wavamia USA)!

Honduras, Elsalvador, Guatemala ni masikini sana tu, na ndiyo ukienda huko Honduras utaona watu wanaoishi kwenye milima kijima kabisa kama kwetu tu.

Usiseme mambo ambayo labda hauyafahamu, hizo nchi ni
Masikini sana na hakuna amani kwao ya kuishi na ndo maana wanakimbia.
Nimeishi Honduras miezi 6,aisee Tanzania ni pepo,japokuwa hawana maisha magumu sana kama ya Tanzania lakini ni nchi ya hovyo mno,kuuliwa kule ni sawa na mtu anaua mende
 
Kivipi? Kwa hiyo unataka waingie tu ili wakafanye nini na wakati wameacha nchi zao?
Kila mtu na abebe mzigo wake,America is for Americans, India is for Indians,Tanzania is for Tanzanians.
Mbaya zaidi wanataka kuingia bila kufuata taratibu za uhamiaji,yaani lundo la watu utadhani nzi wanaingia chooni,halafu unamlaumu Trump,kuna watu mnashangaza sana.
Wamesahau kila siku wanawakamata waSomali na wahabeshi wanaoelekea SA, tena ni wachache!
 
Hata siku moja hauwezi kufanana. Umaskini wa kule ni wa kukosahela ya kwenda clab, kwenda tour na starehe zingine. Suala la kuvaa, kula na malazi mazuri walishayafikia kitambo sana.
Si kweli!
 
Blaza acaha kupiga porojo mchana kweupe. Kule hakuna hata nafasi ya kugongea msosi kwa mtu km hapa bongo tunavyofanya unatega mida msosi unazamia kwa jiran unakula tena unakuja na kinywaji chako kabisa ( kule hayo maisha hakuna). Kule hata kwenda kwa uncle au aunt au ndugu yeyote pasipo sababu za msingi hakuna. Tz maisha muruwa sana.
Sisi bado tunaishi kijamaa mkuu..
 
Hollywood imedanganya watu sana, kila mtu anafikiria kwamba akiingia USA ataishi hayo maisha ya kwenye movies.
Pambana hapo ulipo kitaelewka.
Umemsahau yule dada wa mitandaoni blaza, sijui anajiita mange kimambi
 
Lakini serikali zao zinatoa ruzuku kwa wachovu. Huku serikali zinaminya kila kitu. Sasa hivi mfuko WA mbolea ni elfu 60,umeme Juu,petrol juu!
Blaza, nenda kafuatilie vizuri. Ila kwa taarifa ya juu juu ni kwamba Mataifa yaliyokuwa yanafanya hivyo ni mataiofa ya East Europe & Uarabuni. Saiv yamebaki baadhi ya East Europe. Latin America unakufa njaa na hakuna anaye jali mkuu.

Rudi kwenye chanzo chako cha habari/taarifa ukakague usahihi & uaminifu wake. Zaid ya hapo zitakuwa ni story za hollywood mkuu
 
Back
Top Bottom