Mkuu hivi ukiwa na ardhi unaweza kuwa masikini?Nadhani umasikini ndio lakini si wa kushindwa kula vizuri.labda ujitakie mwenyeweHata siku moja hauwezi kufanana. Umaskini wa kule ni wa kukosahela ya kwenda clab, kwenda tour na starehe zingine. Suala la kuvaa, kula na malazi mazuri walishayafikia kitambo sana.
Swali zuri sanaIngekuwa Tanzania caravan toka Rwanda na Burundi inaelekea boda kuingia TZ Magufuli angeruhusu waingie tu kwa kuwa wanajiita masikini??
Sidhani kama ni sahihi kusema USA haina wenyewe, Muzungu amejenga USA mwanzoni ilikuwa ni mapori tu kama Afrika, hivyo aliyejenga nchi ndiye mmiliki, na ndiye anayeamua nani aingie nani asiingie!
Blaza acaha kupiga porojo mchana kweupe. Kule hakuna hata nafasi ya kugongea msosi kwa mtu km hapa bongo tunavyofanya unatega mida msosi unazamia kwa jiran unakula tena unakuja na kinywaji chako kabisa ( kule hayo maisha hakuna). Kule hata kwenda kwa uncle au aunt au ndugu yeyote pasipo sababu za msingi hakuna. Tz maisha muruwa sana.Hata siku moja hauwezi kufanana. Umaskini wa kule ni wa kukosahela ya kwenda clab, kwenda tour na starehe zingine. Suala la kuvaa, kula na malazi mazuri walishayafikia kitambo sana.
Karavani la masikini kutoka Honduras, Guatamala, Mexiko, Waarabu, Wahindi &Co. wakielekea USA, D.Trump ameapa hao masikini kamwe hawataingia USA, amesema atatuma US army kama JWTZ yetu ya USA kuzuia, ...
View attachment 907313
Lakini cha kushangaza watanzania wenzake waliopata shida msumbiji hakutaka hata kuwasaidiaIngekuwa Tanzania caravan toka Rwanda na Burundi inaelekea boda kuingia TZ Magufuli angeruhusu waingie tu kwa kuwa wanajiita masikini??
Ingekuwa Tanzania caravan toka Rwanda na Burundi inaelekea boda kuingia TZ Magufuli angeruhusu waingie tu kwa kuwa wanajiita masikini??
Kule hayo maisha hakuna siyo kwa sababu ya umaskini. Ni kwa kutokana na utamaduni wao. Kwa watu weupe hamna kitu extended family na kuzamia zamia. Hata Ulayakila mtu anakula chake. Ni Waafrika tu ndo wana upendo wa kushirikianakaribu kila kitu. Kule hatamsiba watu hawana muda wa kuja kukaa na wewe kuomboleza.Blaza acaha kupiga porojo mchana kweupe. Kule hakuna hata nafasi ya kugongea msosi kwa mtu km hapa bongo tunavyofanya unatega mida msosi unazamia kwa jiran unakula tena unakuja na kinywaji chako kabisa ( kule hayo maisha hakuna). Kule hata kwenda kwa uncle au aunt au ndugu yeyote pasipo sababu za msingi hakuna. Tz maisha muruwa sana.
Karavani la masikini kutoka Honduras, Guatamala, Mexiko, Waarabu, Wahindi &Co. wakielekea USA, D.Trump ameapa hao masikini kamwe hawataingia USA, amesema atatuma US army kama JWTZ yetu ya USA kuzuia, ...
View attachment 907313
Karavani la masikini kutoka Honduras, Guatamala, Mexiko, Waarabu, Wahindi &Co. wakielekea USA, D.Trump ameapa hao masikini kamwe hawataingia USA, amesema atatuma US army kama JWTZ yetu ya USA kuzuia, ...
View attachment 907313
Waende Urusi kuna maisha mazuri watapokelewa warusi ni wakarimu sana kwa wahamiaji
..........Trump hamna mtu mule!Trump Ni Kama Kichwa Cha Mwendawazimu
Ila huoni kuwa yote hayo yametokana na kutokuwa na uwezo wa kuwahudumia wengineo(extended family) tofaut na huku kwetu? Bado utasema sisi maskini?Kule hayo maisha hakuna siyo kwa sababu ya umaskini. Ni kwa kutokana na utamaduni wao. Kwa watu weupe hamna kitu extended family na kuzamia zamia. Hata Ulayakila mtu anakula chake. Ni Waafrika tu ndo wana upendo wa kushirikianakaribu kila kitu. Kule hatamsiba watu hawana muda wa kuja kukaa na wewe kuomboleza.