Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
s​ana we acha tu!!Aaah baridi eeeh???
Ladies and gentleman napenda kuchukua nafasi hii nikiwa kama co-founder wa #team RAFIKI nikiambatana na mwenzangu utafiti kuwatambulishia rasmi(official announcement) ya #team RAFIKI
#team RAFIKI ni nini?(origin ya #team RAFIKI ) .#team RAFIKI ni matokeo ya uhitaji wa timu ya marafiki wanaoshauriana na kupeana mikakati mbalimbali inayodumisha amani,upendo na maadili hapa jamhuri ya MMU na cc(chit chat) so lengo la kuanzishwa kwake ni kupeana ushauri katika mambo mbambaliya kimaisha pamoja na kuongeza urafiki wetu members wa jamiiforums cause tunaamini jf ni means tu ya kukutana lakini urafiki wa kweli upo au unatokea mahali popote.
Nani anaweza kuwa #team RAFIKI ??
Kwa ufupi kila mtu anaweza kuwa #team RAFIKI coz lengo kuu ni kudumisha urafiki wetu and nothing else so far kuna senior member na junior members wa #team rafiki nitawataja kwa ujumla wao bila ya ku classify yupi yupi ni yupi ukiacha cofounder Mndengereko na bw. utafitti member wengine ni miss chagga mwallu Ntuzu Mr Rocky Ntuzu Mokoyo miss nedy Mentor Heaven on Earth @ Tized kukucd Lady niece Sungura 1980
(kama kuna mwingine nimemsahau naomba kukumbushwa tafadhali)
updates: newest member: J.lee atug HHHK Dinazarde @karucee
So nyooooooote mnakaribishwa katika #team RAFIKI .
Pia ukiwa na swali au lolote la kuchangia unakaribishwa katika uzi huu pia kama kuna chochote ambacho nitakuwa nimekisahau members wenzangu watanisaidia kurekebisha au kuongeze,naomba kuwasilisha
CC : Nicas Mtei , mwekundu
Mkuu utafiti majukumu yamekuwa mengi sana na najaribu kuyapunguza kadri niwezavyo ila nipo mkuu
Msalimie sana Passion Lady
cc Mndengereko, Tized, Ntuzu, sungura1980
binamu mic u,haki ya yesu!!
Passion Lady baridi imezidi bans si unaona hali ya hewa ilivyo baridi imekaba mpaka kidole utafiti wewe huna wa kukutoa baridi mana naona unatoa macho tuu
...hata mimi miss u shem...
hahahaaa.. Chediii
hunishindi mimi shem langu!
cheeediii!!
Passion Lady baridi imezidi bans si unaona hali ya hewa ilivyo baridi imekaba mpaka kidole utafiti wewe huna wa kukutoa baridi mana naona unatoa macho tuu
hahahaaa.. Chediii
baby hajambo, wal mtori na thupu tu saivi..
Passion Lady nimekumiss mbaya yaani mpaka basi na usiwe na wasi wasi nipo binamu yangu
Ladies and gentleman napenda kuchukua nafasi hii nikiwa kama co-founder wa #team RAFIKI nikiambatana na mwenzangu utafiti kuwatambulishia rasmi(official announcement) ya #team RAFIKI
#team RAFIKI ni nini?(origin ya #team RAFIKI ) .#team RAFIKI ni matokeo ya uhitaji wa timu ya marafiki wanaoshauriana na kupeana mikakati mbalimbali inayodumisha amani,upendo na maadili hapa jamhuri ya MMU na cc(chit chat) so lengo la kuanzishwa kwake ni kupeana ushauri katika mambo mbambaliya kimaisha pamoja na kuongeza urafiki wetu members wa jamiiforums cause tunaamini jf ni means tu ya kukutana lakini urafiki wa kweli upo au unatokea mahali popote.
Nani anaweza kuwa #team RAFIKI ??
Kwa ufupi kila mtu anaweza kuwa #team RAFIKI coz lengo kuu ni kudumisha urafiki wetu and nothing else so far kuna senior member na junior members wa #team rafiki nitawataja kwa ujumla wao bila ya ku classify yupi yupi ni yupi ukiacha cofounder Mndengereko na bw. utafitti member wengine ni miss chagga mwallu Ntuzu Mr Rocky Ntuzu Mokoyo miss nedy Mentor Heaven on Earth @ Tized kukucd Lady niece Sungura 1980
(kama kuna mwingine nimemsahau naomba kukumbushwa tafadhali)
updates: newest member: J.lee atug HHHK Dinazarde @karucee
So nyooooooote mnakaribishwa katika #team RAFIKI .
Pia ukiwa na swali au lolote la kuchangia unakaribishwa katika uzi huu pia kama kuna chochote ambacho nitakuwa nimekisahau members wenzangu watanisaidia kurekebisha au kuongeze,naomba kuwasilisha
CC : Nicas Mtei , mwekundu
ndo ukome siku nyingine nikikwambia hela uwe unatoa acha ubahili
kama hela ndo zinzkufanyaga unapiga kelele on bed sawa
ndiyo lazima unionyeshe hela kwanza...
Hela my athi
Kalale na BOT