Introducing teamrafiki

Introducing teamrafiki

images


hiyo ni maalum kwa Excel na Mashaxizo

Aaka Mndengereko hiyo ni ya Excel pele yake na ubazi wake!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wafadhili wanakaribishwa kama sehemu ya marafiki, Unataka kufadhili nini labda Mkuu? tuanzie tu hapo.
CC Mr Rocky, Ntunzu Mndengereko na #TR wote

mbona wenzio wote wanagoma? mm nasema i must give grants for your survival!

show me your financial books ili nione wapi nianzie!

siwezi kumwaga pesa tuuuuu halafu nisijue wapi zimeenda! you must be mathematical people! msianzishe mkusanyiko wa watu usiokuwa na manufaa!! Mndengereko, Ntuzu, Karucee, Mr Rocky... note this arguement!

it worthes billion dollars!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
mbona wenzio wote wanagoma? mm nasema i must give grants for your survival!

show me your financial books ili nione wapi nianzie!

siwezi kumwaga pesa tuuuuu halafu nisijue wapi zimeenda! you must be mathematical people! msianzishe mkusanyiko wa watu usiokuwa na manufaa!! Mndengereko, Ntuzu, Karucee, Mr Rocky... note this arguement!

it worthes billion dollars!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

tushakwambia chama chetu kinaenda kindugu zaidi hatuhitaji financia suport yako
 
tushakwambia chama chetu kinaenda kindugu zaidi hatuhitaji financia suport yako

undugu mwala mawe ama?.. msije mkapigana vijana?

btw, naombeni organisation structure... nahitaji hao watu niwaweke mkononi mapema!
 
Back
Top Bottom