Innaa lillahi wainnaa ilayhi raaji uun waislamu tumefikia hatua hii ?!!!

Status
Not open for further replies.
Mh. waziri MziziMkavu, unajuwa kitu kimoja hapa duniani. Unaweza kukuta watu wanaongea huko uchochoroni kwa hasira mpaka wanatokwa na povu ili tu waonekane na watu kuwa ni wajasiri. Mfano ulio hai, kwetu sie tuna waislam na wakristo ila waislam ndiyo wengi zaidi ndani ya ukoo wetu, kuna watu (waislam) wanakula nguruwe kwetu. Baba yetu mdogo ni muislam wa nguvu, na tulipokuwa wadogo kama watoto wake hawaendi kusali msikitini walikula viboko. Huyu mzee wetu bwana licha ya kelele zake za kulazimisha watu kuwa waislam ndani ya ukoo, alikuwa anakula nguruwe kisirisiri mpaka siku ndugu wakambamba na bakuri lake la kitimoto anafyonza mifupa kwa chapati. Ninachotaka kusema ni kwamba katika misaada wengi husahau kanuni zao za kidini na hupokea misaada ili wajivinjari mateso baadaye, kama yapo kwani dini ni imani tu ya mtu. Utakuta masheikh wanakuambia pombe haramu lakini sheikh huyo huyo anavuta bangi. Sasa jiulize, bangi na pombe ipi kali?
 
hizi dini ni majanga. wanapinga pombe uku wanapokea misaada inayotegemea pombe.kumbe ata wauza unga mtapokea misaada yao. njaaa kitu kibaya sana. sasa waruhusu waumin wanywe konyagi ili misaada iongezeke.dini zote zipinge aya mambo ni laana hizi.
 
Mh. waziri MziziMkavu, unajuwa kitu kimoja hapa duniani. Unaweza kukuta watu wanaongea huko uchochoroni kwa hasira mpaka wanatokwa na povu ili tu waonekane na watu kuwa ni wajasiri. Mfano ulio hai, kwetu sie tuna waislam na wakristo ila waislam ndiyo wengi zaidi ndani ya ukoo wetu, kuna watu (waislam) wanakula nguruwe kwetu. Baba yetu mdogo ni muislam wa nguvu, na tulipokuwa wadogo kama watoto wake hawaendi kusali msikitini walikula viboko. Huyu mzee wetu bwana licha ya kelele zake za kulazimisha watu kuwa waislam ndani ya ukoo, alikuwa anakula nguruwe kisirisiri mpaka siku ndugu wakambamba na bakuri lake la kitimoto anafyonza mifupa kwa chapati. Ninachotaka kusema ni kwamba katika misaada wengi husahau kanuni zao za kidini na hupokea misaada ili wajivinjari mateso baadaye, kama yapo kwani dini ni imani tu ya mtu. Utakuta masheikh wanakuambia pombe haramu lakini sheikh huyo huyo anavuta bangi. Sasa jiulize, bangi na pombe ipi kali?
Mkuu Mkereketwa_Huyu Hata kama huyo Baba wenu Mdogo alikuwa anakula nguruwe ni kwa ajili yake yeye Mwenyewe Uislam au dini ya

kiislam itabaki pale pale kuharamisha Nyama ya Nguruwe hata kama Makafiri watachukia na wachukie ukweli wa Mwenyeezi Mungu

utabaki siku zote ni ukweli na Mapenzi ya Mwenyeezi Mungu yatabaki pale pale. Si umeona Rais bush alivyo piga

IRAK,Afghanstan,Libya na sasa nchini Syria lakini dini ya Kiislam ipo pale pale wawepo waislam 1000 wanaokula nyama ya nguruwe

na Wanaozini na wanao kunywa Pombe ,lakini dini ya Kiislam itakuwepo mpaka Mwisho wa dunia hata kama Makafiri watachukia na


wachukie potelea mbali.
 
Mkuu Mkereketwa_Huyu Hata kama huyo Baba wenu Mdogo alikuwa anakula nguruwe ni kwa ajili yake yeye Mwenyewe Uislam au dini ya

kiislam itabaki pale pale kuharamisha Nyama ya Nguruwe hata kama Makafiri watachukia na wachukie ukweli wa Mwenyeezi Mungu

utabaki siku zote ni ukweli na Mapenzi ya Mwenyeezi Mungu yatabaki pale pale. Si umeona Rais bush alivyo piga

IRAK,Afghanstan,Libya na sasa nchini Syria lakini dini ya Kiislam ipo pale pale wawepo waislam 1000 wanaokula nyama ya nguruwe

na Wanaozini na wanao kunywa Pombe ,lakini dini ya Kiislam itakuwepo mpaka Mwisho wa dunia hata kama Makafiri watachukia na


wachukie potelea mbali.


Unachosema ni kweli ila napenda kuweka bayana kwamba kuna watu wengi waumini wa kiislamu wanatumia unafki kudanganya wenzao huku wao wakifanya maovu kama hayo aliyokuwa anafanya baba yetu mdogo. Kuna mengi tu yanafanywa na waumini kudanganya wenzao wakati wakijuwa wanawapotosha. Suala la Bush kupiga hizo nchi ulizozitaja kidogo lina mashaka kwani katika hizo nchi zote ulizozitaja kulikuwa na upuuzi licha ya kuwepo dini ya kiislam. Nasema upuuzi si kwa dini ya kiislam bali watawala wake walikuwa wapuuzi na wababaishaji na ililazimika kuwaondoa kwa nguvu tena nguvu ambazo hata wao walikuwa wanazitumia kwa raia wao. Wewe ungependa kunyanyaswa na Osama kule Afganstan, au na Sadam kule Iraq? Hawa jamaa walikuwa wananyanyasa watu tena walifikia hata kuwaua kiasi watu/raia walikuwa hawana uhuru. Kuchanganya dini na siasa ni upuuzi kwani kila mtu ana haki ya kuishi maisha yake, kama ile post uliyobandika ya gangsters. Wale gangsters wamechagua yale maisha, hivyo huwezi kuwalazimisha wale waishi maisha ya kawaida kwani wamechagua wenyewe kuishi violently, hivyo kitakachowatokea katika mfumo wao wa kuishi ni shida yao. Katika maisha kila mwanadamu ana njia yake ya kufuata, si kila mmoja wetu atauona wokovu wa Mungu. Sadam aliua watu kibao na wale wakurd aliowaua walikuwa hawamtaki naye akajuwa hivyo akawa anawalipua mabomu, sasa hapa unaweza kusema Sadam ni mtu mzuri? Huyu jamaa wa Syria naye hivyo hivyo, anaua watu kinoma kisha anajifanya msamaria kwa kutembelea wagonjwa hospitali ili aonekane mwema. Uislam si dini mbaya na ninaipenda japo mimi ni mkristu ila hawa viongozi wanaotaka kuingiza dini kwenye siasa ndiyo wanakosea. Usichanganye dini na siasa hata siku moja, haviingiliki lazima tu utavurunda muulizeni Morsi kule Misri alivyokiona cha mtemakuni, na sasa ananyea kopo.
 
inamaana ukiwa na duka akaja mteja kununua kitu utamuuliza hela umeitoa wapi?mnapokeaga hadi hela iliyotokana na malipo ya nguruwe eti mnaiacha ya bia?halafu nyie waislam upeo wenu wa kufikiri ni mdogo sana,mmekalia lawama za kijinga tu,kwani mmepewa vyakula na sio pombe,kama hamutaki acheni wehu nyie.
 
hizi dini ni majanga. wanapinga pombe uku wanapokea misaada inayotegemea pombe.kumbe ata wauza unga mtapokea misaada yao. njaaa kitu kibaya sana. sasa waruhusu waumin wanywe konyagi ili misaada iongezeke.dini zote zipinge aya mambo ni laana hizi.
Naeza kukwambia kwa kinywa kipana kua dini zimeleta laana, madhila na majanga makubwa ktk sayari hii kuliko pombe/
 
inamaana ukiwa na duka akaja mteja kununua kitu utamuuliza hela umeitoa wapi?mnapokeaga hadi hela iliyotokana na malipo ya nguruwe eti mnaiacha ya bia?halafu nyie waislam upeo wenu wa kufikiri ni mdogo sana,mmekalia lawama za kijinga tu,kwani mmepewa vyakula na sio pombe,kama hamutaki acheni wehu nyie.


Hahahahaha @Area taratibu mkuu
 
Hao ni wahitaji. Bahati mbaya(kwa mujibu wa mleta mada) msaada umetoka kwenye faida ya pombe. Wakose chakula kwa ajili hiyo? Naamini wangekua wanapata mahitaji ya uhakika toka kwa wauza soda na juice basi bila shaka wangeukataa msaada huo unaodaiwa kua ni haramu.
Pole kwa mliokwazika ila kama mnakemea hayo basi zibeni mianya ya hao kupata nafasi ya kutoa hiyo misaada kwa pesa zao.
Natumai nimeeleweka na mnisamehe kama kuna nilipowakwaza.
hapa ndio nimeshapita
 
Huo ni unafiki mkubw MziziMkavu. Ivi mimi nikipanga nyumba yko huku biashara yangu ni baa au bucha ya kitimoto, nikikulipa kodi utakataa?
Je hao konyagi wakitengeneza barabara ya lami, mashehe hamtaitumia?
Mbona kodi za makampuni ya bia zinatumika kujengea huduma za mahospitali na vyuo, na hatujawahi sikia mkijitoa mhanga?
Acheni unafiki wa kutawaza nje wakati mavi yapo tumboni.
 
Last edited by a moderator:
inamaana ukiwa na duka akaja mteja kununua kitu utamuuliza hela umeitoa wapi?mnapokeaga hadi hela iliyotokana na malipo ya nguruwe eti mnaiacha ya bia?halafu nyie waislam upeo wenu wa kufikiri ni mdogo sana,mmekalia lawama za kijinga tu,kwani mmepewa vyakula na sio pombe,kama hamutaki acheni wehu nyie.
Yani ubongo wao unazidiwa hata na wa sisimizi.
 
MziziMkavu
Uharamu wa huo msaada haupo kwa anaekula ftari.
Uharamu unabaki kwa mkusanyaji wa hizo pesa!. Na kwa kula tu ni rukhsa baba
Lkn kama ni masuala ya kujengea miskiti na madrasa hapo ndipo huruhusiwi kutumia pesa ya haramu!

Wakati wa vita ya kwanza ya kiislamu. Walioshiriki ktk kuulinda mji wa madina hawakuwa waislamu peke yao!
Na mtume s.a.w alikubali msaada wa wasio kuwa waislamu!
Kwa hivyo wewe ukikatiwa hela ya mboga kutoka breweries we kula tu!
Assalamu alaikum.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha @Area taratibu mkuu

hawa jamaa wanakera zana na akili zao za ajabu ajabu hizi,kwani wamelazimishwa kupokea msaada?eti anakuja kutulalamikia huku,inamaana yeye ana upeo mkubwa saaana wa kufikiria kuliko hao walioupokea msaada?
 
Naeza kukwambia kwa kinywa kipana kua dini zimeleta laana, madhila na majanga makubwa ktk sayari hii kuliko pombe/
Abdulhalim dini ya kiislamu haijaleta laana bali imeleta ukombozi na ustaarabu ktk ulimwengu huu.

Ni dini pekee inayomfundisha binaadamu kuanzia kuoga kupiga.mswaki, kuvaa kistaarabu , kulea watoto, kuishi na jirani.
Kufanya biashara. Ukulima bora. Kuhifadhi pesa benki. Sayansi na teknolojia mpaka namna ya kulala !!
. Na kila ambacho binaadamu anakihitaji kuishi kwa raha!

Lakini wachache wenye kulijua hilo.

Cc Izz
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Izz
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom