huo ni unafiki mkubwa. Nchi hii chanzo kikubwa cha mapato ni pombe na sigara. Hiyo hela wafanyakazi hulipwa mishahara, kujenga shule, hospitali, barabara, bandarikununua vyombo vya kusafiria, nk. Kati ya hizo umewahi kugoma kutumia kwa vile vimetokana na pombe/sigara. Kt nyumba za ibada harambee/michango/sadaka hutolewa bila kuuliza pesa umepataje, fisadi,mwizi,kahaba, shoga, muuza madawa ya kulevya wote hotoa na zinapokelewa. Ni vema kutafakari kwa kina sio kwa ajili ya ramadhani tu.