Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Nisiwe mnafiki yani kama utakuwa na muonekano flani hivi wa mwanamke ninayemuhitaji basi nitakusamehe mdomoni tu ili iwe rahisi kukupata kwa muda huo ila moyoni siwezi kukusamehe kamwe.
Uwiiih'..
We are doomed, shikamoo wanaume!!🙌
 
Yaani umefanya kosa tena la usaliti then unajistaki mwenyewe subiria malipizo yake nawe uwe tayari kumsamehe mana atafanya makusidi ili akuumize
Wapo wenye mioyo yao mitamu ya kusamehe na kusahau mkuu..
 
Jambo muhimu best jamaa akikwambia njoo home kuanzia sasa usiende niamini mimi kaandaa magunia si chini ya 10 kwa ajili yako 😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂 Oooh' Lord my ribs.!!
Nimecheka kwa sauti kuu!!
Nitamshauri hili ila please msinivishe huu uhusika siwezi cheza rough kwa kiwango hiki..!
 
Huyo mwanamke asubiri azae watoto wawili apoteze uzuri wake wa awali ndo atajua kwanini wanaume hawasemehi ..

Mi nilianza mahusiano tu, nikakuta ex wake anamkumbushia mbona umenisusa hivo na nikajua wanachat hata baada ya kuwa na mimi,huyo ni mwanamke nayempenda sana na nipo nae hadi saivi anadai kabadilika na namuona kabadilika na ushahidi haukukamilika Ni chat simple sana lakini bcoz alikuwa ex wake tu basi nilitomb* nje Miaka 5 yote hadi leo kafuma msg za Wanawake hadi kachoka,nachompa km support Ni almost nothing na Nina mwanamke mwenye malengo nae nitakayemuoa,Kama adhabu namuhaidi nitamuoa lkn sitamuoa na pamoja na yote hayo sijamsamehe tu.. five good years of asking for msamaha plus kuvumilia useng* wangu wote na bado sijamseheme na anajua Hilo..
Usicheze na moyo wa mwanaume anayekupenda.. sababu kupenda kwetu Ni once na ni udhaifu unadhani biblia iliposema wanaume wapendeni wake zenu Ni kwanini?? mwanaume hajui kupenda kabisaaaaa.Namuonea huruma huyo dada tena sanaaa once a bitch,a bitch
Safii ingewezekana unaenda kumuacha nje ya kanisa kabisa halafu unasepa shenziiii.
 
Maalum kama ipi mkuu??
Obviously wakati huyo mwanamke anazingua kwa sababu na mimi napenda...ntakuwa sijajiandaa kumuacha.

Iko hivi...kumuacha mwanamke ambaye unampenda "huko ni kijitesa" LAKINI LAZIMA NIMUACHE.
Kwahiyo ntaendelea kuwa nae kama zamani ila ndo nakuwa nimesha piga breki(nimemuacha namtoa moyoni)
NADHANI UNAJUA HATA GARI LIKIPIGA BREKI LITAENDELEA KWENDA MPAKA LITAKAPO SIMAMA.

Soon deceleration time itaisha ndo anaachwa rasmi ila kama naona naweza kustop mahusiano bila mpact ya deceleration hapo naachana nae on the spot.
 
Hivii tofauti ya kusahau na kusamehe ni kubwa sana?
Yap kuna tofauti kubwa saana
Kusahau huja baada ya kusamehe

Na mara nyingi maumiv hutulizwa kwa matukio mazuri kama zawadi na upendo + lugha nzuri

Ndo maana ht mjamzito mtoto akifariki hutakiwa kupewa care ili aweze kusahau machungu

Mimi kwakweli kusahau nashndwaga.....!!
Kuna girl alnidanganyaga n bkr nkamsubiri mwaka mzima...!!then akaja kunambia kua alishawah kuwa na uhusiano....so sio bikir

Nilimsamehe....nkaendelea na mahusiano....!!lakini kila nilipokuwa namuona nlkumbuka alvonidanganya....kila tukisex nakmbka alvonidanganya.

Nikaona tusipotezeane mda....kila mtu asepe
 
Back
Top Bottom