Megabits
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 532
- 586
Hapa ndipo point ilipo kama hajamkula au alimkula ila mara chache basi jamaa anataka tu asawazishe mambo apunguze maumivu ila kuhusu kusamehe ngumu sana hiyo kitu labda awe mwanaume sio hawa wavulana wa miaka ya leo, wanaume tuna mahesabu marefu😃nikuulize swali huyo jamaa alikua ameshammega huyo rafiki yako?
kama bado basi jamaa anataka aje apate kifuta jasho then asepe.