Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Kweli kabisa. kuna demu moja wa kinyarwanda alinizungusha kama miaka 2 hivi aligoma kabisa kunipa papuchi licha ya kwamba nilikuwa karibu nae mpaka kufika kulala nae kitanda kimoja. sikukata tamaa nikajifanya fala.baada ya mda nilihamia mkoa mwingine urafiki ukaendela lakini mapenzi nae yalikuwa yamekwisha.
Siku ya siku akingia kingi akaomba aje kunitembelea. nikamkubalia akaja nikamtafuna wiki mbili mfululizo nikapunguza machungu ya kunizungusha miaka 2. Wanaume tuna mahesabu marefu.
Hahahah kabisa yani safi sana mkuu hahah
 
So wewe kusamehe na ku start afresh ni ngumu??
Nisiwe mnafiki yani kama utakuwa na muonekano flani hivi wa mwanamke ninayemuhitaji basi nitakusamehe mdomoni tu ili iwe rahisi kukupata kwa muda huo ila moyoni siwezi kukusamehe kamwe.
 
Yaani umefanya kosa tena la usaliti then unajistaki mwenyewe subiria malipizo yake nawe uwe tayari kumsamehe mana atafanya makusidi ili akuumize
 
Mwanaume ni kama jaji au hakimu, ukikiri kosa mbele yake hakumfanyi akupende zaidi, anakuchoronga miaka gerezani mbaa!
Mwanamke kataa, hata akikwambia aliyemwambia kuwa unachepuka ni mamake, mwambie na mimi nikianza kukueleza ya mamako utaachana nae? Au kwakuwa ni mimi ndio unaninyanyasa( anza kulia).
Mwanamke, kataa kuwa mkaa.
Acha uboya. Huwezi kumtenganisha mtu na mamake.
 
Tena hata ikifumaniwa, singizia pombe banaa, au hata bangi... Huku ukishikilia kuwa hujagegedana.... KUKIRI JAMBO HILO KUNAGHARIMU... kila kosa utakalofanya baada ya hapo LAZIMA UTAKUMBUSHWA ULICHOKIRI HADI MWISHO WA MAISHA YAKO
Nimekumbuka kitu dah maisha haya
 
Back
Top Bottom