Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Watoto wa siku hizi bhana we umecheat hujakamatwa unajishtak mwenyewe unakuwa na akili kwel????alisharikoroga ogopa mtu analiyekuamin alafu ukaja kuharibu sku moja,ndio anaweza kukusamehe lakini hujui anachokiwaza.
Wadada,kamwe kamwe usije kukubali kwamba umechepuka,najua kuna wanaume atakwambia baby ukinieleza vzur bila kunificha m ntakusamehe,narudia usithubutu,yaani kama hujanifuma laivu sahau kukwambia ndio nilifanya hik kitu.
Yaani kama hujanifuma naruka mita miambili
 
Watoto wa siku hizi bhana we umecheat hujakamatwa unajishtak mwenyewe unakuwa na akili kwel????alisharikoroga ogopa mtu analiyekuamin alafu ukaja kuharibu sku moja,ndio anaweza kukusamehe lakini hujui anachokiwaza.
Wadada,kamwe kamwe usije kukubali kwamba umechepuka,najua kuna wanaume atakwambia baby ukinieleza vzur bila kunificha m ntakusamehe,narudia usithubutu,yaani kama hujanifuma laivu sahau kukwambia ndio nilifanya hik kitu.
Yaani kama hujanifuma naruka mita miambili
Ni ku act like anything has ever happened..!
Unachoma na ushahidi hahaha!!
 
Apart from kuhisi kwamba hajasamehewa ajiulize ka bado ana hisia nae. Maana inawezekana hata haogopi kua hajasamehewa,ni kwamba anatafuta njia ya kurudisha mazima majeshi kwa ex(kashanogewa).

Ila kama bado anampenda,sio mbaya to take a shot. Kuna kukosa na kupata. Moyoni unakua na amani nilijitahidi kurudisha mahusiano ikashindikana. Bas. Kuliko kuhis hisi.
 
Obviously wakati huyo mwanamke anazingua kwa sababu na mimi napenda...ntakuwa sijajiandaa kumuacha.

Iko hivi...kumuacha mwanamke ambaye unampenda "huko ni kijitesa" LAKINI LAZIMA NIMUACHE.
Kwahiyo ntaendelea kuwa nae kama zamani ila ndo nakuwa nimesha piga breki(nimemuacha namtoa moyoni)
NADHANI UNAJUA HATA GARI LIKIPIGA BREKI LITAENDELEA KWENDA MPAKA LITAKAPO SIMAMA.

Soon deceleration time itaisha ndo anaachwa rasmi ila kama naona naweza kustop mahusiano bila mpact ya deceleration hapo naachana nae on the spot.
Wanaume mna mahesabu ya mbali walaqhi..!!
 
Yap kuna tofauti kubwa saana
Kusahau huja baada ya kusamehe

Na mara nyingi maumiv hutulizwa kwa matukio mazuri kama zawadi na upendo + lugha nzuri

Ndo maana ht mjamzito mtoto akifariki hutakiwa kupewa care ili aweze kusahau machungu

Mimi kwakweli kusahau nashndwaga.....!!
Kuna girl alnidanganyaga n bkr nkamsubiri mwaka mzima...!!then akaja kunambia kua alishawah kuwa na uhusiano....so sio bikir

Nilimsamehe....nkaendelea na mahusiano....!!lakini kila nilipokuwa namuona nlkumbuka alvonidanganya....kila tukisex nakmbka alvonidanganya.

Nikaona tusipotezeane mda....kila mtu asepe
duuh'..!!
Mnavumilia mengi kumbe!!
Sema wanaume uvumilivu mnauweza bwaana.!!
 
Apart from kuhisi kwamba hajasamehewa ajiulize ka bado ana hisia nae. Maana inawezekana hata haogopi kua hajasamehewa,ni kwamba anatafuta njia ya kurudisha mazima majeshi kwa ex(kashanogewa).

Ila kama bado anampenda,sio mbaya to take a shot. Kuna kukosa na kupata. Moyoni unakua na amani nilijitahidi kurudisha mahusiano ikashindikana. Bas. Kuliko kuhis hisi.
Anadai anampenda jamaa ila huo msamaha ndo kitu anahofia hana uhakika nao, na kwa comment za wanaume nilizisoma hapa aiseeh' a move on tu.!!
this is suicide..!!
 
Hi guys,
Hope mmeanza weekend poa.!!

Niende kwa mada, Nina rafiki yangu wa kike alikuwa ana date mpenzi wake ambaye yupo abroad kimasomo, time passes by wakiwa wanaendelea vizuri kwa mahusiano yao wanawasiliana tu vizuri na mara kwa mara..!!

Wakiwa wanaaminiana huku kila mmoja akiahidi ku keep promise as walikuwa committed to each other..

the bad day arrived as girl alikuwa ako na ex wake yupo mkoa mwingine anafanya kazi huko, so ex akawa amerejea akamfuata binti mpaka kwao anaomba waonane japo waongee tu.!!

Hapo ndo pahala mrembo akabugi akaenda onana naye, wakazungumza vizuri huku wanakunywa wine na nafasi ya usaliti ikajitokeza hapo, Na imagine alikuwa amekaa muda mrefu bila kufanya kosa while akimsubiri mpenzi wake,

After that, akakosa gut ya kuongea vizuri na mpenzi wake maana akawa anafeel guilty, Mpenzi wake akagundua changes kwa communication yao, akawa ameforce kutaka kujua what's going down?

Binti uvumilivu ukamshinda akasema ukweli na kuomba radhi, the guy aliumia ila after a while akamuambia kuwa amemsamehe..!!

Sasa tatizo binti ana feel guilty sababu kavumilia muda mrefu kaja kuvunja jungu mlangoni, Pili haamini kama kweli the guy kamsamehe maana kamuambia amvumilie anarudi very soon waongee, ila mrembo anataka aachane naye tu kabla hata hajarudi sababu anasema kama ameweza kum cheat this time after all promises, obviously anahofia hili laweza kujirudia hata ikitokea kamsamehe anaweza muumiza tena..

Kajaribu kumuambia bora iishe ila the guy kagoma katu katu kumuacha, hivi wanaume unaweza salitiwa na mpenzi wako na ukafahamu, na ukamsamehe kwa moyo mmoja na ukawa tayari kuendelea naye bila kinyongo chochote??

hapa ndipo utakapo jua kuwa cha msingi baina na mwanaume na mwanamke ni kugegedana na sio jengine
pili ni kwamba long distance never works if they say it does basi kaa ukijua one of both parties are cheating.
 
hapa ndipo utakapo jua kuwa cha msingi baina na mwanaume na mwanamke ni kugegedana na sio jengine
pili ni kwamba long distance never works if they say it does basi kaa ukijua one of both parties are cheating.
So you mean it's a rare case eti ukute both parties hawa cheat??
 
So you mean it's a rare case eti ukute both parties hawa cheat??

hamnaga kitu hicho bwana wewe.....kama ingekuwa hivyo people wouldnt bother getting into relatioships. watu tunaingia kwenye relatioship ili tupate papuchi na mgegedo...intimacy is the core of any relation. mambo ya kudanganyana eti or sijui tutapigia simu siju skype, hamna kitu kama hicho.
 
Wanaume huwa hawasamehi usaliti kamwe..kwanza kwanini alimwambia angebaki na siri yake moyoni...Hapo mwanaume atakuwa anamtafutia timing amlipizie. Jamani wanawake kama mwanaume hajakufumania live usikubali kwamba umemsaliti narudia tena usikubali kabisa huwa hawasamehi kabisa.

Hata mimi nimeshangaa sana juu ya hilo. Bwana huyo huko alipo, lazima naye anatenda kama kawa..
 
hamnaga kitu hicho bwana wewe.....kama ingekuwa hivyo people wouldnt bother getting into relatioships. watu tunaingia kwenye relatioship ili tupate papuchi na mgegedo...intimacy is the core of any relation. mambo ya kudanganyana eti or sijui tutapigia simu siju skype, hamna kitu kama hicho.
Hili jibu linakatisha mno tamaa!!
 
Back
Top Bottom